Wazabuni 66 wajitokeza mradi wa umeme wa Stiegler’s Gorge

Wazabuni 66 wajitokeza mradi wa umeme wa Stiegler’s Gorge

Mimi ni Tomaso wa kwenye bibilia. Wala sio ufipa wala sio Lumumba. Wala mabasha.. Simo kwenye lingi za bongo. Naangalia tu.
Baadae ndo alipeleka Injili India so na ww subir wakat wako ufke
 
Chagadema siwaoni kabisa ktk uzi huu!
Tupo katika wazabuni.
pesa zishatengwa hata kabla ya zabuni hazitumwa [emoji3][emoji23]
na kujua thamani ya mradi...
mradi mzuri una changamoto zake na pesa.
Hizo pesa zimetengwa na bajeti gani...
sio kila kitu ni siasa.
huo mradi uta cost 8trllion .. kwa bajeti gani in 36 months? Au ubia mpya kama IPTL
 
Kalemani nae ni kazi maalum?? Amepiga deal zote z nishati na madini miaka zaidi 15 akiwa mwanasher hapo wizarani lakini hagusiki!!!! Chezea kanda maarumu
 
After cutting all trees , eating the last fish and poisoning all water we will realize we cant eat money
 
Back
Top Bottom