Wazabuni na wakandarasi mnayoidai serikali mtasubiri sana, Naibu Waziri Fedha asema wanahakiki wakipata pesa watalipa

Wazabuni na wakandarasi mnayoidai serikali mtasubiri sana, Naibu Waziri Fedha asema wanahakiki wakipata pesa watalipa

Mzee wa Code

Member
Joined
Sep 23, 2024
Posts
61
Reaction score
91
Tatizo la Kutokulipwa wakandarasi na wazabuni nchini limekuwa sugu nchini ambapo leo bungeni wabunge wameihoji serikali ni lini watawalipa watoa huduma hao wanaoidai serikali kwa kuwa kitendo cha kutokulipa kuna sababisha kudora uchumi

Mbunge Viti Maalum Asia Alamga Ccm, yeye alihoji ni lini Serikali italipa wazabuni walitoa huduma za chakula katika shule za sekondari nchini, ambapo naibu waziri wa fedha Ahmad Yusuph Chande akijibu swali ili alisema kuwa Serikali inahakiki madeni illipe
Kwa upande wa Mbunge Cesilia Pareso Chadema aliuliza ni lini wakandarasi wa ujenzi watalipwa madeni yao

Nae mbunge viti maalum Grece Tendega alihoji uhakiki huu unaendela kufanyika mpaka lini kwa sababu wangine wanadai madeni kwa kipindi kirefu

Baada swali ili naibu waziri alibadilisha majibu akiongeza kuwa wanafanya uhakiki na serikali ikipata pesa watalipa akiongeza na usemi wa dawa ya deni ni kulipa

 
Back
Top Bottom