Wazalendo tunaoamini TAIFA STARS hawatatoka na point hata moja tukutane hapa

Wazalendo tunaoamini TAIFA STARS hawatatoka na point hata moja tukutane hapa

Yaani utashangaa mtu yupo humu kupinga Taifa stars na bado mechi ataangalia..

Mimi kitu ambacho sikipendi hata kukifatilia sina huo muda..
 
Kiukweli kabisa timu yetu imepita kuwa miujiza tu, ni timu mbovu kabisa ambayo uwezo wa wachezaji tu ni mbovu.

Tulipaswa kutengeneza timu yetu hata kwa miaka 20 kama ilivyofanya Senegal

Hatuwezia kuwa na timu ambayo Aina chemistry katika kujengeka katika umoja.

Mpira sio mapenzi ambayo unafanya ukitaka watu wasione unaweza lakini Mpira haupo hivyo.

Najaribu tu kuwa mkweli katika hili

Yani karibu wabunge wote wanataka kwenda huko ili ni dalili za hali mbaya ya uchumi katika nchi yetu.

Nasema hatuwezi kupata hata point moja katika makundi.

Nasema ni kipingo tu.

mr mkiki.
sio point tu even hata kagoli kamoja hawawezi kufunga
 
Taifa stars itapigwa goli nyingi zaidi na Kenya MK254 utakuwa shahidi!
 
Taifa stars itapigwa goli nyingi zaidi na Kenya MK254 utakuwa shahidi!

Wazalendo mandazi nyie, ishabikieni timu yenu ya taifa na kuitakia ushindi. Mimi kama Mkenya nitaishabikia Taifa stars pale itacheza dhidi ya mataifa ya mbali, lakini wakikumbana na timu yetu basi uzalendo mbele.
 
Wazalendo mandazi nyie, ishabikieni timu yenu ya taifa na kuitakia ushindi. Mimi kama Mkenya nitaishabikia Taifa stars pale itacheza dhidi ya mataifa ya mbali, lakini wakikumbana na timu yetu basi uzalendo mbele.
Bado hatujapata timu ya taifa la Tanzania hao tumepeleka wakafanye trial tu warudi, Kenya itaambulia point tatu ila wote tunarudi hata kwa best losers hamtafua dafu
 
Kama timu ikifanyaga vizur wanasema ni juhudi za Serikali ya awamu ya tano basi hata ikifanya vibaya pia waseme vivyo hivyo....
 
Kiukweli kabisa timu yetu imepita kuwa miujiza tu, ni timu mbovu kabisa ambayo uwezo wa wachezaji tu ni mbovu.

Tulipaswa kutengeneza timu yetu hata kwa miaka 20 kama ilivyofanya Senegal

Hatuwezia kuwa na timu ambayo Aina chemistry katika kujengeka katika umoja.

Mpira sio mapenzi ambayo unafanya ukitaka watu wasione unaweza lakini Mpira haupo hivyo.

Najaribu tu kuwa mkweli katika hili

Yani karibu wabunge wote wanataka kwenda huko ili ni dalili za hali mbaya ya uchumi katika nchi yetu.

Nasema hatuwezi kupata hata point moja katika makundi.

Nasema ni kipingo tu.

mr mkiki.

Mkuu timu wameigeuza ni mali ya CCM na wala sio ya wananchi wote unategemea nini?

Wachezaji wenyewe sio wote wanaoipenda CCM mle!

Wanageuza mambo ya nchi kua ya kisiasa na kivyama!

Hii team hata niikute inazama mtoni naisukumiza zaidi m@m@ee zao!
 
Jamani wasenegali wenzangu mmeamkaje huko??

Hawa pimbi wa magufuli fc Wana bahati Sana shenzi zao!
 
Back
Top Bottom