ABiClever Junior
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 948
- 548
- Thread starter
-
- #341
umevuka ila hujapataja Bweni ,Mimi ni wa Pangani Mjini kama ni mwenyeji Mzee wangu ni ALMaarufu kwa Jina Shariffu Saidi HassanPangani kubwa, kipumbwi, mkalamo, madanga, sakura au masaika?
Atakuwa wa kolomije huyu [emoji87]Nasubir jibu lake namim
Hadi Kipumbwi unakujua lolPangani kubwa, kipumbwi, mkalamo, madanga, sakura au masaika?
Hehehe kwenye huu uzi ee? Sometime unajitoa akili ili kuona kama wazawa wanaweza kutetea kwao kwa factsNimeona sehemu maneno yako ya shombo.
Tanga ndio kwetu haijalishi kukoje wacha tujisifie bwana kila mji una vituko vyake na ubaya wake.
Tangaa ooyeee.
Sana tu mbonaHadi Kipumbwi unakujua lol
Nyie mumezoea ufukwe wa rasikazone sisi tumezoea wa kipumbwiHadi Kipumbwi unakujua lol
Usijali Ngoja kupambazuke ntakuweka sawa na utaikubali tu Tanga hata kwa shingo upande [emoji23] [emoji23]Hehehe kwenye huu uzi ee? Sometime unajitoa akili ili kuona kama wazawa wanaweza kutetea kwao kwa facts
Huna lolote.Ewaaa, jirani yangu kabisa wa damu
Hehe you real a native broo.umevuka ila hujapataja Bweni ,Mimi ni wa Pangani Mjini kama ni mwenyeji Mzee wangu ni ALMaarufu kwa Jina Shariffu Saidi Hassan
Hehe basi kama hutaki kuwa jirani yangu ngoja nisogee kwa wengineHuna lolote.
Haya bwana nimefurahi kusikia hivyo. [emoji23] [emoji23]
Happy tooHuna lolote.
Haya bwana nimefurahi kusikia hivyo. [emoji23] [emoji23]
Huyu mtoto wa pangani mjini kabisa inaonekanaAtakuwa wa kolomije huyu [emoji87]
Nampata vilivyo ana maduka mawili. ALMAARUFU MRANGIHehe you real a native broo.
Namsikia huyu mzee, unamjua hamad mlangi yule mzee mwenye duka mkono wa kushoto kama unatoka halmashauri?
Mbona mnatuogopesha sasa?Kwangu mimi wala situmii nguvu ataikubali tu mwenyewe Tanga.
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
kabisaaaKwangu mimi wala situmii nguvu ataikubali tu mwenyewe Tanga.
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Asante. Basi mimi mgeni wako siku ya iddNampata vilivyo ana maduka mawili. ALMAARUFU MRANGI
Ngoja nilale best. Baadae [emoji2]Huyu mtoto wa pangani mjini kabisa inaonekana
Ok dear, naona unajiandaa kula daku unasingizia kulala[emoji3]Ngoja nilale best. Baadae [emoji2]