Wazaliwa wa mkoa wa Tanga tukutane hapa

Njia panda kwakaeza shusha
 
soma toka mwanzo kama umevamia kati kati ndio utanishangaa
Me mbona nilikuwepo toka mwanzo sema kuna muda nilienda kuswali labda mkaniacha.

Haya mwenzangu wewe wa wapi? Chumba geni au mkinga?
 
Mama katokea potwe muheza na baba katokea bwembwera muheza lakini cjazaliwa Tanga
 
Mhumue zeze umu nyumbai cc shunie madame b mkuje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…