Al Zagawi
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 2,508
- 1,566
Wabara huziita soda za tanga....[emoji1] [emoji1] [emoji1] ....Oyoooooooooooooomambo ya tanga hayo![]()
Wajua mi nkifika Ta....majisoda mengine hayapandi....mwendo wa healtho tu....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wabara huziita soda za tanga....[emoji1] [emoji1] [emoji1] ....Oyoooooooooooooomambo ya tanga hayo![]()
Hahahhahah Anjari nomahOyoooooooooooooomambo ya tanga hayo![]()
Achachacha......home jamani home.dah! home Moro ila nipo Lukozi nauza mavovo(mbogamboga) I love Tanga
Huhuu tanga moj hiiKumbe na wewe mtanga mmhh nimekuogopa tangu leo
Kweliiii sisi tupo gadoooNaona wadau wengine wamecharuka naona wameanzisha thread yao ya Mwanza ila hawatuwezi Tanga ndio penyewe au sio wakuu twende sawa
TeeeeeeWee, mnapandikiza na milimao ni magwadu hatari
Hahaha majisoda umenikumbush mbalWabara huziita soda za tanga....[emoji1] [emoji1] [emoji1] ....
Wajua mi nkifika Ta....majisoda mengine hayapandi....mwendo wa healtho tu....
Waje....tuna sumaku za ndani kwa ndaniWeshu, usiwatishe hawa. Waache waje halafu walishwe mavitu wasirudi kwao hawa wanyika. Tunahitaji nguvu kazi.
Haha umeanza maneno yenu ya vibarazaniHata ukiona kaburi langu utasema halinyooka
AsanteKaribu sana.
Mwambie uyo alokuja mjini kwa mbio za mwengeKomredi tutake radhi, Tanga ya jana si Tanga ya leo!!
Zimewafikia woteWoyooooooo nisalime 19
Hakuna cha special mkuu. Muache limbwata uone mtakavoteseka kwenye mapenziwatanga katika suala hili tupo spesho![]()
Najua ni wivu tu maana ukilinganisha na uko kwenu bara naona tumewaachia vumbi[emoji23] [emoji23]Hamna lolote magwadu sana
hamna cha limbwata..haya mambo tumetunukiwa kama kipawa mkuuHakuna cha special mkuu. Muache limbwata uone mtakavoteseka kwenye mapenzi
Mkuu unajua lugha nzuri (nyama ya ulimi) ni aina ya limbwata.Hakuna cha special mkuu. Muache limbwata uone mtakavoteseka kwenye mapenzi
Ya bara hujawahi yala utalinganishaje sasa kwa mfano. Mimi nimekula yote bara na pwani najua taste zoteNajua ni wivu tu maana ukilinganisha na uko kwenu bara naona tumewaachia vumbi[emoji23] [emoji23]
minazi ipo inapatika Pangani Kijiji cha Mauya wew itakuwa unatafuta minazi pangan MjiniUtafiti upi tena mkuu ambao sitatumia macho kuona kama imekufa.
Siambiwi naona mwenyewe kwa macho, wilaya ya nazi nyingi ni pangani kwa mkoa wa tanga kule ndo kuna waarabu wa minazi mingi lakini siku izi imekufa na ndo maana coconut annual yield ni ndogo sana kulinganisha na miaka ya nyuma.