Wazaliwa wa mkoa wa Tanga tukutane hapa

Wazaliwa wa mkoa wa Tanga tukutane hapa

68f0da86de02f4280114592af2485373.jpg
[emoji122] [emoji122] [emoji122] . Togora
 
mji umedorora mno kiuchumi, licha yakua navitu vyote ulivyoongelea apo lakin bado kwakias kikubwa vimekua sio tija latika kusogeza uchumi wawakazi.
nahisi tatizo lipo kwenye mindset zetu naelimu hafifu juu yajinsi gani tunaweza kutumia rasilimali zilizopo kujinufaisha
We unataka uchumi gani ? Tanga haina njaa mkuu na uchumi uko stable sana. Unaifananisha na mkoa gani labda ?
 
Akumbukwe,..
Shedafa
Shekimwei
Shekiondo
Shekinyashi
Shembiu
Shekoia
Shekifu
Shekinyashi
Shemanyaze
Shekoa
Shekomta
 
Back
Top Bottom