Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Atarudi bana wacha kumtisha mwenzio [emoji85] [emoji85]Sidhani kama atarudi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atarudi bana wacha kumtisha mwenzio [emoji85] [emoji85]Sidhani kama atarudi!
[emoji122] [emoji122] [emoji122] . Togora
Machendego, achetu osi manaombwa tsetsetse ukaona uuraphizire mayo zehuIam in
From 10 to 21years
Nimekuwa tanga
So Mimi ni ndugu enu bana
Nimewafaidi sana wadigo wanashobo sana kwa wageni
Anakoma zamlunguni hiye mriche undamtia tego aawiwe maakoTeeeh!!!! Unaambadze uwe??? We jitire koma na koma zina enye
Kamanya aendaro mriche iye.Machendego, achetu osi manaombwa tsetsetse ukaona uuraphizire mayo zehu
Mbavi mchivyere, haya vyererani. Tsona chiarikeni chikaya mrondavyoUkaramkaze kivyere
Uchiona hivyo umanye aronda muunge udugu muaroze anachenu, vivyere mmenjane jamaniHahaha kivyere tena kwa nani mayoo
Mie n mnono simanya uwe aah za siku nyingi? Ukaderwaa?
We unataka uchumi gani ? Tanga haina njaa mkuu na uchumi uko stable sana. Unaifananisha na mkoa gani labda ?mji umedorora mno kiuchumi, licha yakua navitu vyote ulivyoongelea apo lakin bado kwakias kikubwa vimekua sio tija latika kusogeza uchumi wawakazi.
nahisi tatizo lipo kwenye mindset zetu naelimu hafifu juu yajinsi gani tunaweza kutumia rasilimali zilizopo kujinufaisha
Hii hatari, wanaosema tanga uchumi haupo wamefika tanga gani ? Njooni muone mahanjumati hayoooooooo. Kama huna hela utanunulia nini ? Badala ya kuja tanga eti mwenda dodoma. Mayoooooo kweli zimtini.
Wapi! Rudi hapa[emoji124] [emoji124]
Nini, ebu acha basi kunitilia mkosiNa wala hutakipata [emoji125] [emoji125]
Kipindupindu tanga tangu lini ? Hahahahaha nzi hagusi hapo watu wanajilia live bila chengaKIPINDUPINDU HAMUOGOPI
Labda yeye ana nguvu ya ziada, mwambie kuna wabara wenzie wameshashindwa kurudi kwaoAtarudi bana wacha kumtisha mwenzio [emoji85] [emoji85]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Labda yeye ana nguvu ya ziada, mwambie kuna wabara wenzie wameshashindwa kurudi kwao
Umeshawahi kusikia tanga kuna kipindupinduKIPINDUPINDU HAMUOGOPI
Aje nae aoge maji ya iriki tu[emoji3][emoji23] [emoji23] [emoji23]
Niache nini sasa best. Wakati hujasema kitu chenye unachokitafuta [emoji85] [emoji85]Nini, ebu acha basi kunitilia mkosi