Wazaliwa wa mkoa wa Tanga tukutane hapa

Wazaliwa wa mkoa wa Tanga tukutane hapa

Watanga mkuje uzi usipoe huu yaan wale chato watushinde na uz wao kwanz kwao porin[emoji18][emoji18][emoji18][emoji29][emoji29][emoji29][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
 
Tanga ndio home.... Nipo Dar kwa sasa... Mikanjuni , Donge, Makorora.... Maeneo ya kujidai nikiwa TANGA....
 
Makorora karibu na kanisa la Anglikana/soko la makorora,jioni pale mafenesi,mihogo ya kuchemsha,samaki wa kukaanga dah,December lazima nikale krismass Tanga...
 
Watanga mkuje uzi usipoe huu yaan wale chato watushinde na uz wao kwanz kwao porin[emoji18][emoji18][emoji18][emoji29][emoji29][emoji29][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Mchokozi ww
 
Back
Top Bottom