Wazamani (wahenga) tukutane hapa

Khantwe ndoa ni zaidi ya kusema "I do" au "huyu ni Mke/Mume wangu" ndoa ni maisha baada ya kuoana. Ndiyo maana kufumaniwa ni kosa linalostahili mtu kushitakiwa. Mnaweza kwa nje kuwa kama Mume na Mke lakini kwa ndani huo mfumo haupo.
 
Hahahaha, na samaki
Posta yote bandarini imejaa meli mbovu tu

au enzi za Kununua kadi tahfif na ice cream pale snow cream
Utoto raha, tulikuwa tunaiba majaladio pale Tahfif walikuwa wanayaweka kama kwenye ndoo hivi mlangoni.

Zile meli ilikuwa kabla biasha ya Scrap haijaanza.

Pia tukitoka shule tunaenda kunywa maji Hotel ya Salamander. Wakati mwingine tukipata bahati tunapewa juice wakati mwingine ndio hivyo.

Mabasi tulikuwa tunapanda Shela Beach, Kaka Trans kwa njia ya Ubungo Posta, Chai Maharage zilikuwa Mwenge - Stesheni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tulikiwa tunatoka Sinza hadi Mikocheni kwa baiskeli, tunazungumka Beach yote. Wazazi walikuwa wanachukulia poa.

Ila cha kushangaza siku hizi mwanangu haruhusiwi hata kwenda mtaa wa pili kucheza.
Mountain bikes, kuna zile tukaita dilela nadhani, walinzi ndio walikua na phonex ,Shanghai
Halafu zamani baiskeli tulikua tunaendesha sana tu watoto

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ahsante muhenga..shikamoo
 
Sana. Nakumbuka Manzese yote, Mburahati, Mabibo, Sinza, Tandale, na magomeni yote vituo vya polisi vilikuwa viwili tu. Urafiki na Magomeni. Kote huko wananchi walikuwa wanajilinda wenyewe na kuendesha maisha yao kwa jinsi wanavyoona!!
Sinza tulikuwa tunatumia Mabatini ni cha zamani pia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Hizo za tundu ndio sikuziona.
 
Nilikuja kugundua baadae baabda ya kwenda nje ya nchi kama zile Range milango 6 ni gari za msafara wa kwenye misiba. Zinabeba wafiwa.

Sasa wakati sisi wadogo tukimuona Sheikh Yahya anapita nalo mtaani tulikuwa tunamkimbia.
Ha ha ha hii katikati ilikuwa na ka-tv ka chogo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…