Zanzibar 2020 Wazanzibar nguvu yenu Dua, amkeni usiku Tahajjud mumshitakie Mwenyezi Mungu

Zanzibar 2020 Wazanzibar nguvu yenu Dua, amkeni usiku Tahajjud mumshitakie Mwenyezi Mungu

Labda niwaambie kitu kimoja ndg zangu Wazanzibar

Ikiwa mnataka Zanzibar ijitoe katika Serikali hii...na mpate Serikali nyengine itakayowapa Dunia yenu....bila ya kuchunga Mipaka ya Allah na maamrisho yake.....Basi ni sawa kutumia njia hizi mnazotumia kwasasa

Ila
Tahadhari sana
Msitumie kivuli cha Dini kwa lengo la kuipata Dunia

Wallah hamtofanikiwa hata siku moja

Dunia huletwa na Dunia yake
Mbele ya Dunia....Hakuna Halali wala Haramu...Vyote ni sawa

Lkn Dini
inahitaji ufuate kanuni zake...ikiwa mnakusudia Dini

Bila ya hivyo
mnampigia mbuzi gita
wape ushauri sasa, wafanyeje ili wawe ndani ya dini na kisha wapate dunia yao, maana dunia si haramu ni sehemu ya maisha ya mwanadamu.
Maana mtume alifundisha watu waitafute ahera yao lakini wasisahau dunia yao.

Eleza sasa acha kuzunguuka, wafanyeje ili waipate dunia yao
 
Ndg yangu
Nilishatoa jibu kama ww ni mfuatiliaji mzuri na mwenye kuzingatia

Embu tazama Hadithi hii
kisha naomba ufahamu wako

هذا الحديث رواه أحمد (4987) وأبو داود (3462) وصححه الألباني في صحيح أبي داود .

عَنْ ابْنِ عُمَرَ رَضِيَ اللَّهُ عَنْهُما قَالَ : سَمِعْتُ رَسُولَ اللَّهِ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ يَقُولُ : (إِذَا تَبَايَعْتُمْ بِالْعِينَةِ ، وَأَخَذْتُمْ أَذْنَابَ الْبَقَرِ ، وَرَضِيتُمْ بِالزَّرْعِ ، وَتَرَكْتُمْ الْجِهَادَ ، سَلَّطَ اللَّهُ عَلَيْكُمْ ذُلًّا لَا يَنْزِعُهُ حَتَّى تَرْجِعُوا إِلَى دِينِكُمْ) .


Naomba ufahamu wako katika haya maneno ya Mtume wako صلى الله عليه وسلم

wape ushauri sasa, wafanyeje ili wawe ndani ya dini na kisha wapate dunia yao, maana dunia si haramu ni sehemu ya maisha ya mwanadamu.
Maana mtume alifundisha watu waitafute ahera yao lakini wasisahau dunia yao.

Eleza sasa acha kuzunguuka, wafanyeje ili waipate dunia yao
 
Kisha rejea nyuma

Maneno ya Omar Ibn Khatwaab رضي الله عنه

pale aliponukuliwa akisema

لقد كنّا أذلاء فأعزنا الله بالإسلام ، فإذا إبتغينا العزة بغيره ِ أذلنا الله
 
Ndg yangu
Nilishatoa jibu kama ww ni mfuatiliaji mzuri na mwenye kuzingatia

Embu tazama Hadithi hii
kisha naomba ufahamu wako

هذا الحديث رواه أحمد (4987) وأبو داود (3462) وصححه الألباني في صحيح أبي داود .

عَنْ ابْنِ عُمَرَ رَضِيَ اللَّهُ عَنْهُما قَالَ : سَمِعْتُ رَسُولَ اللَّهِ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ يَقُولُ : (إِذَا تَبَايَعْتُمْ بِالْعِينَةِ ، وَأَخَذْتُمْ أَذْنَابَ الْبَقَرِ ، وَرَضِيتُمْ بِالزَّرْعِ ، وَتَرَكْتُمْ الْجِهَادَ ، سَلَّطَ اللَّهُ عَلَيْكُمْ ذُلًّا لَا يَنْزِعُهُ حَتَّى تَرْجِعُوا إِلَى دِينِكُمْ) .


Naomba ufahamu wako katika haya maneno ya Mtume wako صلى الله عليه وسلم
Toa tsfsiri, siyo kila mtu anajua kiarabu
 
Kisha rejea nyuma

Maneno ya Omar Ibn Khatwaab رضي الله عنه

pale aliponukuliwa akisema

لقد كنّا أذلاء فأعزنا الله بالإسلام ، فإذا إبتغينا العزة بغيره ِ أذلنا الله
Toa tafsiri
 
Kapige goti kwanza
kisha njoo useme jambo la Dini
Elimu haina mwisho wewe.

Hata ukijua Aya moja tu ni Elimu, na wenye Elimu wanazidiana.

Sasa wewe unaogopa hata kutoa elimu humu halafu unataka watu waitafute!.

Au kutumia mitandao kutoa elimu ni haramu? hahahaha

Salafi Saalihun huwa mna misimamo fulanifulani hivi tata sana!
 
Chief
Kwani Allah hakutuwekea utaratibu wa maisha....mpaka leo tunatafuta nguvu kupitia utaratibu uliowekwa na Binaadam ....

Chief
Zanzibar ya leo,Mashoga ndio nambari 1 kwa Tanzania
Zanzibar leo,Madawa ndio soko kuu

Tumeacha mafundisho ya Mola wetu
Tumeacha mafundisho ya Mtume wetu

Tukaona yamepitwa na wakati
Tukaikumbatia Dunia na Watoto wake

Kwa haya na mengine meeengi
Hivi nusra ya Allah,itakuja kweli

Hivi!unasemaje,ikiwa haya matatizo,ni adhabu itokayo kwake....kwa makosa tuliyoyafanya na tunayoyafanya...!!!

Hivi tumeisahau aya hii

وَأَنَّ هَذَا صِرَاطِي مُسْتَقِيمًا فَاتَّبِعُوهُ وَلا تَتَّبِعُوا السُّبُلَ فَتَفَرَّقَ بِكُمْ عَنْ سَبِيلِهِ

NA HAKIKA HII NDIO NJIA YANGU ILIYO NYOOKA,BASI IFUATENI,NA WALA MSIFUATE NJIA(NYENGINE),MKATOFAUTIANA(MKAPOTEA)NA NJIA YANGU.........

SWALI
Hivi,Njia ya Mtume wa Allah,ni Demokrasia na Maandamano......?!!!

Na njia zipi hizo,tukizifuata,tutapotea na kuachana na njia ya Mtume wetu صلى الله عليه وسلم....?!!!


Embu Msikilize Omar Ibn Khataab

anasema

إنا كنا أذل قوم فأعزنا الله بالإسلام فمهما نطلب العزة بغير ما أعزنا الله به أذلنا الله .

HAKIKA YA SISI,TULIKUWA WATU MADHALILI MNO,ALLAH AKATUPA UTUKUFU KUPITIA UISLAM

VYOVYOTE VILE,TUKITAFUTA UKUKUFU KINYUME NA NJIA TULIYOTUKUZWA NAYO(KINYUME NA UISLAM),BASI ALLAH ATATUDHALILISHA..

SWALI
Sisi tunafuata Uislam kweli....?!
au
Sisi tunafuata matamanio ya nafsi zetu?!!!

Turuduni kwa Allah kwa kufuata Uislam Sahihi

Tuachane na ujanja ujanja huu tunaoufanya

Kinyume na hivyo
Tutatadhibiwa kila siku,huku tukipiga kelele
Tutaadhibiwa kila siku,huku tukiomba Dua asubuhi na jioni,bila ya kujibiwa

Tunamuomba Allah atuonyeshe njia ya sawa,na atupe nguvu ya kuifuata


K
Zanzibar ni koloni la Mtanganyika.Heri ya aliekuwa Sultan kuliko Mtanganyika mweusi.Tafuteni uhuru wenu kwa jasho na damu.


Hakuna mwarabu wala mshirazi wala muhindi wala mchina aliyekuja Zanzibar na akakaribishwa kuishi na kufanya ushenzi kwa wazaliwa wa visiwa hivi.

Hawa wanaojifanya waafrika weusi wenzetu na kujifanya ni ndugu zetu baada ya kukaribishwa vizuri na kusaidiwa maisha na kuonekana ni watu wakaribu na rangi moja ndio watu wanaotufanyia ushenzi huu, kutuuwa, kutujeruhi, kuwanajisi watoto wetu , kututeka , kutuibia na kutufanyia kila aina ya uchafu.

Huyu ndiye muafrika
 
Chief
Kwani Allah hakutuwekea utaratibu wa maisha....mpaka leo tunatafuta nguvu kupitia utaratibu uliowekwa na Binaadam ....

Chief
Zanzibar ya leo,Mashoga ndio nambari 1 kwa Tanzania
Zanzibar leo,Madawa ndio soko kuu

Tumeacha mafundisho ya Mola wetu
Tumeacha mafundisho ya Mtume wetu

Tukaona yamepitwa na wakati
Tukaikumbatia Dunia na Watoto wake

Kwa haya na mengine meeengi
Hivi nusra ya Allah,itakuja kweli

Hivi!unasemaje,ikiwa haya matatizo,ni adhabu itokayo kwake....kwa makosa tuliyoyafanya na tunayoyafanya...!!!

Hivi tumeisahau aya hii

وَأَنَّ هَذَا صِرَاطِي مُسْتَقِيمًا فَاتَّبِعُوهُ وَلا تَتَّبِعُوا السُّبُلَ فَتَفَرَّقَ بِكُمْ عَنْ سَبِيلِهِ

NA HAKIKA HII NDIO NJIA YANGU ILIYO NYOOKA,BASI IFUATENI,NA WALA MSIFUATE NJIA(NYENGINE),MKATOFAUTIANA(MKAPOTEA)NA NJIA YANGU.........

SWALI
Hivi,Njia ya Mtume wa Allah,ni Demokrasia na Maandamano......?!!!

Na njia zipi hizo,tukizifuata,tutapotea na kuachana na njia ya Mtume wetu صلى الله عليه وسلم....?!!!


Embu Msikilize Omar Ibn Khataab

anasema

إنا كنا أذل قوم فأعزنا الله بالإسلام فمهما نطلب العزة بغير ما أعزنا الله به أذلنا الله .

HAKIKA YA SISI,TULIKUWA WATU MADHALILI MNO,ALLAH AKATUPA UTUKUFU KUPITIA UISLAM

VYOVYOTE VILE,TUKITAFUTA UKUKUFU KINYUME NA NJIA TULIYOTUKUZWA NAYO(KINYUME NA UISLAM),BASI ALLAH ATATUDHALILISHA..

SWALI
Sisi tunafuata Uislam kweli....?!
au
Sisi tunafuata matamanio ya nafsi zetu?!!!

Turuduni kwa Allah kwa kufuata Uislam Sahihi

Tuachane na ujanja ujanja huu tunaoufanya

Kinyume na hivyo
Tutatadhibiwa kila siku,huku tukipiga kelele
Tutaadhibiwa kila siku,huku tukiomba Dua asubuhi na jioni,bila ya kujibiwa

Tunamuomba Allah atuonyeshe njia ya sawa,na atupe nguvu ya kuifuata


Masheikh na ndugu zetu waliofungwa magerezani, pia na hawa ndugu zetu wanaogongewa milango na kuuliwa na kupigwa ,wengine kunajisiwa na kuibiwa , tuisubiri hiyo serikali yako ya kiislamu ije iwafunguwe ???
 
Masheikh na ndugu zetu waliofungwa magerezani, pia na hawa ndugu zetu wanaogongewa milango na kuuliwa na kupigwa ,wengine kunajisiwa na kuibiwa , tuisubiri hiyo serikali yako ya kiislamu ije iwafunguwe ???

Huyo jamaa anaishi ndotoni, eti anaona watu wakimuomba Mungu haiwezi kufanya kazi.

Iko hivi, Yeyote mwenye kudhulumiwa akipiga goti kwa Mungu, Mungu ndiye mwenye kuamua aingilie kati au la. Suala hapo ni kumuomba tu naye ataamua atakavyoona inafaa!

Hata mtenda madhambi akijinyenyekeza kwa Mungu, Mungu anasikia na anaamua!
 
akili mseto

Yaani Allah na Mtume wake,hakuwafunzeni njia ya kufanya....mpaka leo unasema tutumie njia yoyote ile...?!!!

Unataka uondoshe munkar kwa kutumia Munkar

ni sawa na anaejisafisha haja kubwa kwa haja kubwa......

Munkar gani niliyoisema hapa? Nielimishe tafadhali.
 
Kifupi. Bila kuuma uma maneno. Ni kuwa it doesnt work. Haifanyi kazi.


Ndiyo maana ya kuwepo kwa pepo na moto. Laiti hayo mataifa yasingelikuwepo kungeli kuwa na maana gani ya kuwepo hivyo?
 
Tumesema safarihii hatumwachii mungu,uzuri sie wazanzibari tunajuana hawa mapolisi na viongozi tunaishi nao mitaani , tuta deal nao na familia zao kulipaza kisasi.
 
mungu gani? Huyu huyu wa makka au! ..

Alisha zibishwa masikio hasikii tena ajili ya unyama aliofanyia watu weusi. Labda atokee wa kumzibua asikie sara zenu.

Palestina ameshindwa kuwasaidia mpaka leo wanalia na kuchakazwa nguruwe ana nafuu! Wanatamani pemba
 
Back
Top Bottom