Wazanzibar wanaendelea kudai mamlaka kamili ya nchi yao

Wazanzibar wanaendelea kudai mamlaka kamili ya nchi yao

Tayari mikoa yote iliyondani ya 10km wapo pamoja na Zanzibar,wameshajua kuwa si wenzenu hata mnaposhika madaraka mnaitenga na sasa mnachimba kuiuwa Darussalaam,Mtwara Tanga Pwani zote hazipumuwi.
Hizi 10km kama hamkuzitema mtazinya.(Samahanini kwa lugha)
Waulize kwanin Meko kawajengea ikulu dodoma
 
Faida gani nyie mlio nayo wakati unajua ilihali nyie ni dependant kwetu kwa kila kitu, hamjui nyie ni wake zetu mnao dai kupewa talaka eboo!

Au hujui ss ni mabahasha zenu tunawapumulia mgongoni [emoji23][emoji1787][emoji23]
Hhhh jinga kabisa mzanzibar akiingia mtaan tu mnalinda wke zenu, mnajua km jogoo limeingia mtaan
 
Hivi karibuni yule Sultan Jamshid aliyepinduliwa Zanzibar na akakimbilia Uingreza na kuishi huko kwa miongo mingi, ameondoka huko na familia yake na kusogea karibu na Zanzibar huko Oman!

Je, kuna uhusiano wowote kati ya kusogea kwake na chokochoko hizi tunazoanza kuziona za Wazanzibari kutaka kuvunja muungano?
Hebu muacheni mzee wa watu ajipumzikie huko Oman bila ya kumuingiza kwenye matatizo. Mzee mwenyewe ana miaka 91 tayari amependelewa sana na Mungu kwa umri, unadhani anawaza kuja kutawala kisiwa chenye njaa tupu!
 
December 9th 1961 Tanganyika ilitangaziwa uhuru wake na sherehe zake za uhuru zilifanyikia pwani ya Zanzibar?

Kwani aliyewakabidhi nchi kimisingi ya mipaka ya koloni lake anasemaje?
 
Hhhh nenda bandarin Ijumaa pale uone dadazako wanavyopeleka mzigo zenji wakunwe, nyinyi maboya huku, n cjui km n ww humo kwenye msafara huo
Umejuaje yote hayo Kama sio ww mmoja wapo unaepelekewa Moto, sisi wabara sio mdebwedo hatuli urojo ss, tunakandamiza kibara kwelikweli [emoji16]
 
Mnakumbuka mlipozima umeme alipoondoka babu Ali sijui kwenda urusi kutembea sijui wapi,ila aliporudi palepale yupo airport akihojiwa akatoa masaa umeme urudishwe,tuelezeni kwanini mliurudisha ,mbio mbio ?
 
Umejuaje yote hayo Kama sio ww mmoja wapo unaepelekewa Moto, sisi wabara sio mdebwedo hatuli urojo ss, tunakandamiza kibara kwelikweli [emoji16]
Hahaha km mnakandamizwa mcngeleta mizigo kule tuwakune.
 
Hahaha km mnakandamizwa mcngeleta mizigo kule tuwakune.
Ni inbox # yako bas mrembo nikuoneshe Moto wa kibara ukoje sisi wa Bara hatukuni bali tunasugua na msasa kabsaa [emoji16] [emoji12]
 
Mnakumbuka mlipozima umeme alipoondoka babu Ali sijui kwenda urusi kutembea sijui wapi,ila aliporudi palepale yupo airport akihojiwa akatoa masaa umeme urudishwe,tuelezeni kwanini mliurudisha ,mbio mbio ?
Watakumbuka nn wakati wana akili z samaki
 
Nao wataishi kwa permit tu,mbona mpaka tumeoa hukoo?
Ishu ni Kwamba ZNZ bado wanaamini tunawanyonya,wao wangekua Kama Dubai sa hivi
Wangekuepo Dubai Kwa vigezo na vitega uchumi vipi. Dubai ni mafuta na Biashara Tu ambavyo Zanzibar havipo
 
Tayari mikoa yote iliyondani ya 10km wapo pamoja na Zanzibar,wameshajua kuwa si wenzenu hata mnaposhika madaraka mnaitenga na sasa mnachimba kuiuwa Darussalaam,Mtwara Tanga Pwani zote hazipumuwi.
Hizi 10km kama hamkuzitema mtazinya.(Samahanini kwa lugha)
Kwani hiyo mikoa ipo visiwani, fikiria kidogo ndio uongee.Zanzibar ni visiwani nadhani umenipa.
 
"Muungano uliasisiwa na CIA"
- Hayati Christopher Mtikila
 
Back
Top Bottom