Wazanzibar wasiruhusiwe kuendesha vyombo vya moto Tanganyika bila kibali

Wazanzibar wasiruhusiwe kuendesha vyombo vya moto Tanganyika bila kibali

Boss la DP World

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2021
Posts
2,318
Reaction score
8,464
Kwanza nianze kwa kuipongeza serikali ya Zanzibar kwa kutuzuia Watanganyika kuendesha vyombo vya moto kwao bila kibali maalumu, yaani leseni ya udereva pekee haitoshi mpaka uwe na kibali chao.

Huu ni utaratibu mzuri, Serikali ya Tanganyika iige mfano huu na raia wote wa kigeni toka Zanzibar wazuiliwe kutumia barabara zetu bila kibali maalumu. Huenda tukapunguza matukio ya ajali za barabarani.
 
Mara kadhaa nimeandika humu kuhusu Watanganyika na Wazanzibar. Ukweli ni kwamba Wazanzibar ni wenye akili kuliko Watanganyika.

 
Mara kadhaa nimeandika humu kuhusu Watanganyika na Wazanzibar.ukweli ni kwamba Wazanzibar ni wenye akili kuliko Watanganyika

Sawa ni wenye akili,

Mambo gani makubwa wamefanya hapa duniani kuthibitisha kuwa ni wenye akili ?
 
Sawa ni wenye akili,

Mambo gani makubwa wamefanya hapa duniani kuthibitisha kuwa ni wenye akili ?
Kufaidika tu, na rasilimali zenu za nyinyi mlio wengi Watanganyika na zao kuwanufaisha wao ni akili kubwa.

Leo hii mnatawaliwa na Wazanzibar na wakati huo huo marufuku nyie kutawala kwao ni akili kubwa.
 
Kwanza nianze kwa kuipongeza serikali ya Zanzibar kwa kutuzuia Watanganyika kuendesha vyombo vya moto kwao bila kibali maalumu, yaani leseni ya udereva pekee haitoshi mpaka uwe na kibali chao.

Huu ni utaratibu mzuri, serikali ya Tanganyika iige mfano huu na raia wote wa kigeni toka Zanzibar wazuiliwe kutumia barabara zetu bila kibali maalumu. Huenda tukapunguza matukio ya ajali za barabarani.
Kila Mzanzibari ni Mtanzania, ana haki zote za Utanzania ila sio kila Mtanzania ni Mzanzibari. Tanzania ni ya Watanzania wote ila Zanzibar sio ya wote kwa baadhi ya haki ni kwa Wanzanzibari wakaazi pekee.

Kwa vile sarafu ni issue ya Muungano, Passport ni ya Muungano, Kitambulisho cha Nida ni cha Muungano, leseni ya Driving License should be ni issue ya muungano, ila kwavile Zanzibar ni kisiwa, madereva wanaofanya biashara ya public transport ndio wahitaji vibali lakini sio sisi wa private cars!.
P
 
Zanzibar sio ya wote kwa baadhi ya haki ni kwa Wanzanzibari wakaazi pekee.
P
Wazanzibari wenyewe wananyimwa haki kwa kigezo cha ukaazi. Kwamba haki za kiraia za kawaida tu zinapotea kama mtu si mkaazi. Hata leseni ya udereva.
 
Mara kadhaa nimeandika humu kuhusu Watanganyika na Wazanzibar.ukweli ni kwamba Wazanzibar ni wenye akili kuliko Watanganyika

Mkuu yaani wala ulojo wana akili kuliko watanganyika [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
 
Back
Top Bottom