Wazanzibar wengi wameanza kuwa na sifa za kuajirika, wapewe 25% za nafasi za ajira na sio 21%

Wazanzibar wengi wameanza kuwa na sifa za kuajirika, wapewe 25% za nafasi za ajira na sio 21%

Yale mapinduzi haramu ndiyo yaliharibu elimu ya Zanzibar. Zamani elimu ya Zanzibar ilikuwa nzuri na ni ya bure. Ndiyo maana hata yule Abdulrazak Gurnah aliyepata tuzo la Nobel alipata elimu ya msingi Zanzibar. Msingi huo ndiyo ulimfanya awe msomi mpaka hapo alipofika na kupata Phd.
 
Gharama ya muungano lazima ilipwe kwa namna moja au nyingine.

Bara mnachukua mikopo ya kimataifa kwa niaba ya zanibar, mnaiwakilisha zanzibar kimataifa, n.k yani kuna vitu pia zanzibar inanyonywa vingi tu.

Hio gharama ni kubwa sana huwezi linganisha na hizi ajira asilimia 21 anazopewa mzanzibar kwa sasa, ikibidi ipngezwe iwe 30% ila kwa sasa wafanye iwe tu 25%.

Hakunaga cha bure mkuu, Msubiri kuwakuta wazanzibar kila idara kwa wingi
unajua hata hiyo mikopo yenyewe ni asilimia 8.5 tu ya mapato yote kwa mwaka nyie watu mnatakiwa mtuheshimu sana tunawafaanyia kazi huku bara na tunakatwa kodi inayowalisha hadi nyie visiwani endeleeni na ujinga wenu ...
 
unajua hata hiyo mikopo yenyewe ni asilimia 8.5 tu ya mapato yote kwa mwaka nyie watu mnatakiwa mtuheshimu sana tunawafaanyia kazi huku bara na tunakatwa kodi inayowalisha hadi nyie visiwani endeleeni na ujinga wenu ...
Mkae pembeni saizi tunakuja kuchukua asilimia zetu hizo 21 za ajira ambazo napo bado ni chache.

Huku kwenye ajira wazanzibari nao wajae jae kidogo,

Muungano ni wa kinyonyaji ila huku kwenye ajira mtulie hivyo hivyo dawa iwaingie maana zanzibar akitaka kujitegemea hamtaki.
 
Sasa nilikuwa naona ni bora zanzibar waanze kupewa ajira za huku bara walau asilimia 25 za ajira maana hata ajira zimekuwa zikitangazwa mara chache, basi zinapotangazwa wachukuluwe wazanzibar 25% na sio 21%

Mfano zikitangazwa ajira za Tra, Bot, Nssf, Bandarini, Pccb, n.k basi katika kila watu 100 kuwepo na wazanzibar 25 na sio 21,
Tanganyika ina watu 60m+,
Znz ina 1,3m

Hizo 21% wanazopewa sasa tayari ni nyingi mno, ukikokotoa uwiano (ratio) ilitakiwa wapate chini ya 1%.

Huu unyonyaji kuna siku watanganyika wataushtukia
 
Tanganyika ina watu 60m+,
Znz ina 1,3m

Hizo 21% wanazopewa sasa tayari ni nyingi mno, ukikokotoa uwiano (ratio) ilitakiwa wapate chini ya 1%.

Huu unyonyaji kuna siku watanganyika wataushtukia
Hayo mambo ya wingi wa watu labda kwenye mikoa ya Nchi, hapa hatuzungumzii mkoa bali nchi...

Na hizo 21% hata hatukuzifikia kwasababu ya wengi kufeli mitihani ya form 4 na 6 hapo zamani na kushindwa kwenda vyuoni, Ila kwa sasa zitajazika tu.

Ukienda Tra, bandarini, nssf, pccb, tabroads, n.k wazanzibar ni wachache kwasababu zamani ufaulu ulikuwa mdogo, Kwa sasa nadhani watajazana mara tano zaidi maana vijana wana sifa.

Muungano wa kinyonyaji sana kwa zanzibar ila huku kwenye ajira wacha tuchukue chetu,
 
Kwani tukiuvynja kuna hasara gani?. Kama kuna kitu nyerere alishindwa ni kuondoa uzanzibar. Angetufanya kuwa Watanzania. Huku bara hii identity iliondoka lakini Uzanzibar ulibaki. This is a big mistake! Huwezi kuwapa 2M:59M 25% to75%. Huo unaitwa Uzwazwa. Let's go blindless on this issue.
 
Gharama ya muungano lazima ilipwe kwa namna moja au nyingine.

Bara mnachukua mikopo ya kimataifa kwa niaba ya zanibar, mnaiwakilisha zanzibar kimataifa, n.k yani kuna vitu pia zanzibar inanyonywa vingi tu.

Hio gharama ni kubwa sana huwezi linganisha na hizi ajira asilimia 21 anazopewa mzanzibar kwa sasa, ikibidi ipngezwe iwe 30% ila kwa sasa wafanye iwe tu 25%.

Hakunaga cha bure mkuu, Msubiri kuwakuta wazanzibar kila idara kwa wingi
badae watafanywa kama wasukuma!! kutesa kwa zamu
 
Sasa nilikuwa naona ni bora zanzibar waanze kupewa ajira za huku bara walau asilimia 25 za ajira maana hata ajira zimekuwa zikitangazwa mara chache, basi zinapotangazwa wachukuluwe wazanzibar 25% na sio 21%

Mfano zikitangazwa ajira za Tra, Bot, Nssf, Bandarini, Pccb, n.k basi katika kila watu 100 kuwepo na wazanzibar 25 na sio 21
Toa huu upuuzi wako

Kasehemu ambako hata population yake haifiki asilimia 4 ya watu wote waliopo Tanzania kapewe asilimia 25?
 
Hio population sio kigezo, Kigezo ni nchi 2 kuungana,

wazanzibar walikuwa wachache kidogo kwenye mashirika kwasababu wengi walifeli form 4, siku hizi kufaulu form 4 na 6 limekuwa jambo la kawaida, Vijana wa kizanzibari nao naona ni wakati wao waanze kufaidi tam tam za mishahara.

Ufaulu ulikuwa ni kikwazo kikubwa ila kwa sasa ni history
Ruhusuni kwanza Watanganyika wamiliki ardhi Zanzibar sababu hizi nchi zimeungana na kuwa moja
 
Hayo mambo ya population mtaongea ninyi, Vijana wa kizanzibar saizi wengi wana sifa za ajira kwasababu ufaulu umeongezeka tangu 2019, Ni muda wa vijana nao waanza kuonja tam tam kidogo ya muungano,
Kwani Mwinyi kawaambiaje? Na kama ni suala la nchi basi muajiriwe nchini kwenu!
 
Mkae pembeni saizi tunakuja kuchukua asilimia zetu hizo 21 za ajira ambazo napo bado ni chache.

Huku kwenye ajira wazanzibari nao wajae jae kidogo,

Muungano ni wa kinyonyaji ila huku kwenye ajira mtulie hivyo hivyo dawa iwaingie maana zanzibar akitaka kujitegemea hamtaki.
huko kwenu mnaajiri wabara? tena wakristu?
 
Sasa wewe ulitaka iweje, Apewe mtanganyika??

Hapana aisee huu ni muungano,

Zamani, kama nikivyoandika ufaulu ulikuwa mdogo sana aisee, hata wenye ufaulu mdogo hao hapo ilibidi waiqakilishe zanzibar na hata hivyo bado walikuwa wachache.
Nitajie majina ya watanganyika waloajiriwa katika serikali ya mapinduzi ya Zanzibar! Ni wangapi Kama hutojua majina Yao!
 
Hio population sio kigezo, Kigezo ni nchi 2 kuungana,

wazanzibar walikuwa wachache kidogo kwenye mashirika kwasababu wengi walifeli form 4, siku hizi kufaulu form 4 na 6 limekuwa jambo la kawaida, Vijana wa kizanzibari nao naona ni wakati wao waanze kufaidi tam tam za mishahara.

Ufaulu ulikuwa ni kikwazo kikubwa ila kwa sasa ni history
Umetumia kigezo cha ufaulu pekee?

!

!

Zanzibar ufaulu umeongezeka hivyo wanapaswa kuongezewa asilimia ya wanufaika wa ajira za Muungano.


Bara ufaulu umepungua hivyo, wanapaswa kupungua pia katika asilimia za wanufaika wa ajira za Muungano.

Kwanini tusitumie kigezo cha 'uwiano wa watu' ili kuondoa hisia za upendeleo badala ya 'ufaulu'?
 
Nitajie majina ya watanganyika waloajiriwa katika serikali ya mapinduzi ya Zanzibar! Ni wangapi Kama hutojua majina Yao!
Umeshasema serikali ya zanzibar.

Serikali ya zanzibar ni kwajili ya wazanziba

serikali ya tz nikwajili ya tanganyika na zanzibar
 
Back
Top Bottom