Wazanzibari bado ni wachache kwenye vyeo muhimu Tanzania, waongezwe wafike at least 30%

Wazanzibari bado ni wachache kwenye vyeo muhimu Tanzania, waongezwe wafike at least 30%

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
Kwenye vyeo vya wakurugenzi wa taasisi, mashirika, n.k. unaweza kuwakuta wazanzibari wawili tu kati ya 10.

Mfano kuna mabalozi 9 tu kati ya 45

Mawaziri wapo wachache

Kwenye nafasi za ajira haitoshi kabisa kuna tetesi hupewa 2 kati ya 10, bado ni chach sana hizi, at least ziwe 4

nitoe pongezi za dhati kwa wizara ya elimu na Necta, Hapo zamani kulikuwa na changamoto kubwa ya ufaulu Zanzibar na baadhi ya mikoa ya bara, hii ilichangia sana wazanzibar na watu wa baadhi ya mikoa ya bara wasifike vyuoni na kukosa sifa za ajira.

Lakini Kwa hali ya sasa ufaulu umeongezeka sana Tanzania nziima (Bara na Zanzibar), mfano matokeo ya mwaka jana form 6 ni ngumu kukuta division 4 na 0, hivyo wazanzibar wengi wataweza kwenda vyuoni na wakihitimu wataweza kujaa zaidi kwenye ofisi za bara na vyeo, hali hii ikiendelea hadi 2050 tunaweza kufika pazuri zaidi itapendeza kuona wazanzibari wakiwa wanne kati ya 10 kwenye ofisi kubwa / vyeo vya Tanzania
 
Kwenye vyeo vya wakurugenzi wa taasisi, mashirika, n.k. unaweza kuwakuta wazanzibari wawili tu kati ya 10.

Mfano kuna mabalozi 9 tu kati ya 45

Mawaziri wapo wachache

Kwenye nafasi za ajira haitoshi kabisa kuna tetesi hupewa 2 kati ya 10, bado ni chach sana hizi, at least ziwe 4
Kwenye kazi wengi wao ni waadilifu kuliko sisi wabara
 
Mkuu watu tunafikiria jinsi ya kutengana nao, ili wabaki na nchi yao wenyewe,halafu wewe unaleta ushauri huo wa kuwaongezea vyeo katika ngazi ya taifa! Hivi unajua hasara tuliyoipata Watanganyika kwa zaidi ya miaka 60 ya kupoteza "identity" yetu ya kitaifa na kuwaacha wao na yao.

Wao wako kama milioni mbili na sisi tupo zaidi ya milioni 62 halafu tugawane vyeo kwa uwiano huo!? This will be "ridiculous*

Jambo la msngi ni wao sasa wakubali kupoteza pia "identity" yao, ili tubaki kama nchi moja ya Watanzania walio wamoja, yenye serikali moja ya JMT. Wao kubaki na serikali yao ni jambo ambalo litakuja kuleta mtafaruku mkubwa sana hapo mbelenii.
 
Mkuu watu tunafikiria jinsi ya kutengana nao, ili wabaki nchi yao wenyewe wewe unaleta ushauri wa kuwaongezea vyeo katika ngazi ya taifa. Hivi unajua hasara tuliyoipata Watanganyika kwa kupteza "identity" yetu ya kitaifa na kuwaacha wao na yao.

Jambo la msngi ni wao sasa wakubali kupoteza na yao, ili tubaki kama nchi moja yenye serikali moja ya JMT. Wao kubaki na serikali yao ni jambo ambalo letaleta mtafarulu mkubwa hapo mbelemi.
Usilojua ni kwamba muungano hautakuja kuvunjika ikiwa ccm ipo madarakani na sio leo wala kesho ccm inatoka

Halafu siku hizi matokeo ya kidato cha nne na sita wanafunzi wengi sana wanafaulu hata zile sehemu zilizokuwa zinafeli sana ikiwemo Zanzibar, mfano matokeo ya mwaka jana form 6 ni ngumu sana kukuta waliopata diivision 4 na 0

Wazanzibari wengi wamefaidika kupata nafasi ya kwenda vyuoni na wakihitimu wataongeza uwakilishi wa wazanzibari maofisini huku bara, Itasaidia kujazana Bara na watoto wao kusomea Bara na kuajiriwa Bara.

2050 wanaweza wakawa wamejaa zaidi, Katika kila wakurugenzi 10, wanne wazanzibari
 
Wazanzibar wote waliopo kwenye taasisi zisizo za Muungano watolewe wote,waanzie tamisemi wapigwe chini ma RC,ma DC na Wakurugenzi wa halmashauri.
 
Kwani uwiano upoje kila Mzanzibari mmoja ni sawa na watanganyika wangapi?
Kosa lililofanyika ni kutoifanya Zanzibar kuwa mkoa wakati wa muungano, ilitakiwa mzee Karume awe mkuu wa mkoa wa Zanzibar.
 
Kwenye vyeo vya wakurugenzi wa taasisi, mashirika, n.k. unaweza kuwakuta wazanzibari wawili tu kati ya 10.

Mfano kuna mabalozi 9 tu kati ya 45

Mawaziri wapo wachache

Kwenye nafasi za ajira haitoshi kabisa kuna tetesi hupewa 2 kati ya 10, bado ni chach sana hizi, at least ziwe 4
Kama sio bikra usioe
 
Kwani uwiano upoje kila Mzanzibari mmoja ni sawa na watanganyika wangapi?
Kosa lililofanyika ni kutoifanya Zanzibar kuwa mkoa wakati wa muungano, ilitakiwa mzee Karume awe mkuu wa mkoa wa Zanzibar.
Hatuangalii watu, Tanzania ni muunganiko wa nchi mbili, usawa unahitajika kulinda heshima ya muungano
 
Kwenye vyeo vya wakurugenzi wa taasisi, mashirika, n.k. unaweza kuwakuta wazanzibari wawili tu kati ya 10.

Mfano kuna mabalozi 9 tu kati ya 45

Mawaziri wapo wachache

Kwenye nafasi za ajira haitoshi kabisa kuna tetesi hupewa 2 kati ya 10, bado ni chach sana hizi, at least ziwe 4

Ila kuna neema, Hapo zamani kulikuwa na changamoto kubwa ya ufaulu Zanzibar na baadhi ya mikoa ya nara, hii ilichangia sana wazanzibar wasifike vyuoni na kushindwa kujaa ofisi za bara.

Lakini Kwa hali ya sasa ufaulu umeongezeka sana, mfano matokeo ya mwaka jana form 6 ni ngumu kukuta division 4 na 0 Tanzania nzima, hivyo wazanzibar wengi wataweza kwenda vyuoni na wakihitimu wataweza kujaa zaidi kwenye ofisi za bara.
Watanganyika wangapi wanafanya kazi Zanzibar?! Kule pia kuna vyeo muhimu, watanganyika hata slot ya 20%
 
Watanganyika wangapi wanafanya kazi Zanzibar?! Kule pia kuna vyeo muhimu, watanganyika hata slot ya 20%
Zanzibar ina uhuru wake kwenye Muungano kwa kiasi fulani ikiwemo kujitegemea kwenye baadhii ya ajira. (Idara kama polisi kuna wabara wameajiriwa Zanzibar)
 
Zanzibar ina uhuru wake kwenye Muungano kwa kiasi fulani ikiwemo kujitegemea kwenye baadhii ya ajira. (Idara kama polisi kuna wabara wameajiriwa Zanzibar)
Watanganyika wapewe heshima yao pia hata kama Tanganyika Haina uhuru ndani ya Muungano. By the way, wabara pia kupatiwa nafasi muhimu Zanzibar itajenga Muungano wenye nguvu.
 
Back
Top Bottom