ILAN RAMON
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 9,698
- 4,488
Haiwezekani Tanganyika ipotee alaf zanzibar akabakiTanganyika ilishapotea 1964 ikazaliwa Tanzania ambayo ni Bara na Zanzibar lakini Zanzibar bado wana serikali yao ya ziada (SMZ)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haiwezekani Tanganyika ipotee alaf zanzibar akabakiTanganyika ilishapotea 1964 ikazaliwa Tanzania ambayo ni Bara na Zanzibar lakini Zanzibar bado wana serikali yao ya ziada (SMZ)
Ingia barabarani upaze sauti, ukisikia vingora usikimbieHaiwezekani Tanganyika ipotee alaf zanzibar akabaki
Wazanzibari ni asilimia ngapi ya Watanzania? Wazanzibari wanapendelewa sana na huu muungano, wao wanaweza kuteuliwa kwenye nafasi yoyote ya uongozi Tanzania wakati Watanganyika hawawezi katu, asilani, abadani kushika nafasi ya uongozi wa Zanzibar.Kwenye vyeo vya wakurugenzi wa taasisi, mashirika, n.k. unaweza kuwakuta wazanzibari wawili tu kati ya 10.
Mfano kuna mabalozi 9 tu kati ya 45
Mawaziri wapo wachache
Kwenye nafasi za ajira haitoshi kabisa kuna tetesi hupewa 2 kati ya 10, bado ni chach sana hizi, at least ziwe 4
nitoe pongezi za dhati kwa wizara ya elimu na Necta, Hapo zamani kulikuwa na changamoto kubwa ya ufaulu Zanzibar na baadhi ya mikoa ya bara, hii ilichangia sana wazanzibar na watu wa baadhi ya mikoa ya bara wasifike vyuoni na kukosa sifa za ajira.
Lakini Kwa hali ya sasa ufaulu umeongezeka sana Tanzania nziima (Bara na Zanzibar), mfano matokeo ya mwaka jana form 6 ni ngumu kukuta division 4 na 0, hivyo wazanzibar wengi wataweza kwenda vyuoni na wakihitimu wataweza kujaa zaidi kwenye ofisi za bara na vyeo, hali hii ikiendelea hadi 2050 tunaweza kufika pazuri zaidi itapendeza kuona wazanzibari wakiwa wanne kati ya 10 kwenye ofisi kubwa / vyeo vya Tanzania
Muungano una mashaka huu.Zanzibar kuna serikali 2, Yao kwajili yao na ya muungano kwajili ya wote wabara na wazanzibar.
kawilaya kenye watu chini ya miliono, unataka kashindane na nchi yenye watu miliono 60. mmeota mapembe sana ninyi wala urojo.Kwenye vyeo vya wakurugenzi wa taasisi, mashirika, n.k. unaweza kuwakuta wazanzibari wawili tu kati ya 10.
Mfano kuna mabalozi 9 tu kati ya 45
Mawaziri wapo wachache
Kwenye nafasi za ajira haitoshi kabisa kuna tetesi hupewa 2 kati ya 10, bado ni chach sana hizi, at least ziwe 4
nitoe pongezi za dhati kwa wizara ya elimu na Necta, Hapo zamani kulikuwa na changamoto kubwa ya ufaulu Zanzibar na baadhi ya mikoa ya bara, hii ilichangia sana wazanzibar na watu wa baadhi ya mikoa ya bara wasifike vyuoni na kukosa sifa za ajira.
Lakini Kwa hali ya sasa ufaulu umeongezeka sana Tanzania nziima (Bara na Zanzibar), mfano matokeo ya mwaka jana form 6 ni ngumu kukuta division 4 na 0, hivyo wazanzibar wengi wataweza kwenda vyuoni na wakihitimu wataweza kujaa zaidi kwenye ofisi za bara na vyeo, hali hii ikiendelea hadi 2050 tunaweza kufika pazuri zaidi itapendeza kuona wazanzibari wakiwa wanne kati ya 10 kwenye ofisi kubwa / vyeo vya Tanzania
Hujanielewa.Hujamuelewa tu ni mwana falisafa
Wilaya ya Temeke yenye idadi kubwa zaidi ya Zanzibar uwiano wake uko vipi tukiilinganisha Zanzibar kwenye 'ofisi kubwa/vyeo vya Tanzania?'Kwenye vyeo vya wakurugenzi wa taasisi, mashirika, n.k. unaweza kuwakuta wazanzibari wawili tu kati ya 10.
Mfano kuna mabalozi 9 tu kati ya 45
Mawaziri wapo wachache
Kwenye nafasi za ajira haitoshi kabisa kuna tetesi hupewa 2 kati ya 10, bado ni chach sana hizi, at least ziwe 4
nitoe pongezi za dhati kwa wizara ya elimu na Necta, Hapo zamani kulikuwa na changamoto kubwa ya ufaulu Zanzibar na baadhi ya mikoa ya bara, hii ilichangia sana wazanzibar na watu wa baadhi ya mikoa ya bara wasifike vyuoni na kukosa sifa za ajira.
Lakini Kwa hali ya sasa ufaulu umeongezeka sana Tanzania nziima (Bara na Zanzibar), mfano matokeo ya mwaka jana form 6 ni ngumu kukuta division 4 na 0, hivyo wazanzibar wengi wataweza kwenda vyuoni na wakihitimu wataweza kujaa zaidi kwenye ofisi za bara na vyeo, hali hii ikiendelea hadi 2050 tunaweza kufika pazuri zaidi itapendeza kuona wazanzibari wakiwa wanne kati ya 10 kwenye ofisi kubwa / vyeo vya Tanzania
Hata sisi wakurya ni Wachache kwenye vyeoKwenye vyeo vya wakurugenzi wa taasisi, mashirika, n.k. unaweza kuwakuta wazanzibari wawili tu kati ya 10.
Mfano kuna mabalozi 9 tu kati ya 45
Mawaziri wapo wachache
Kwenye nafasi za ajira haitoshi kabisa kuna tetesi hupewa 2 kati ya 10, bado ni chach sana hizi, at least ziwe 4
nitoe pongezi za dhati kwa wizara ya elimu na Necta, Hapo zamani kulikuwa na changamoto kubwa ya ufaulu Zanzibar na baadhi ya mikoa ya bara, hii ilichangia sana wazanzibar na watu wa baadhi ya mikoa ya bara wasifike vyuoni na kukosa sifa za ajira.
Lakini Kwa hali ya sasa ufaulu umeongezeka sana Tanzania nziima (Bara na Zanzibar), mfano matokeo ya mwaka jana form 6 ni ngumu kukuta division 4 na 0, hivyo wazanzibar wengi wataweza kwenda vyuoni na wakihitimu wataweza kujaa zaidi kwenye ofisi za bara na vyeo, hali hii ikiendelea hadi 2050 tunaweza kufika pazuri zaidi itapendeza kuona wazanzibari wakiwa wanne kati ya 10 kwenye ofisi kubwa / vyeo vya Tanzania
Kwa census ya 2022 Zanzibar inachangia 3% ya population ya Tanzania. Kwahiyo 97% ya population ni mainland, Utaipaje 30%?Kwenye vyeo vya wakurugenzi wa taasisi, mashirika, n.k. unaweza kuwakuta wazanzibari wawili tu kati ya 10.
Mfano kuna mabalozi 9 tu kati ya 45
Mawaziri wapo wachache
Kwenye nafasi za ajira haitoshi kabisa kuna tetesi hupewa 2 kati ya 10, bado ni chach sana hizi, at least ziwe 4
nitoe pongezi za dhati kwa wizara ya elimu na Necta, Hapo zamani kulikuwa na changamoto kubwa ya ufaulu Zanzibar na baadhi ya mikoa ya bara, hii ilichangia sana wazanzibar na watu wa baadhi ya mikoa ya bara wasifike vyuoni na kukosa sifa za ajira.
Lakini Kwa hali ya sasa ufaulu umeongezeka sana Tanzania nziima (Bara na Zanzibar), mfano matokeo ya mwaka jana form 6 ni ngumu kukuta division 4 na 0, hivyo wazanzibar wengi wataweza kwenda vyuoni na wakihitimu wataweza kujaa zaidi kwenye ofisi za bara na vyeo, hali hii ikiendelea hadi 2050 tunaweza kufika pazuri zaidi itapendeza kuona wazanzibari wakiwa wanne kati ya 10 kwenye ofisi kubwa / vyeo vya Tanzania
Haikupaswa kuwa hivyo, mnapoungana na kutengeneza aia ya serikali kama ya Tanzania, hapaswi kubalance, ila ingekuwa Muungano huo ni ceremonial tu kama Jumuiya ya Afrika Mashariki, hapo ingekuwa sawaUnakosea, Serkali ya muungano lazima ijali pande zote mbili, ndio maana Rais na Makamu wake wanatoka pande mbili
Muungano sio suala la PopulationKwa census ya 2022 Zanzibar inachangia 3% ya population ya Tanzania. Kwahiyo 97% ya population ni mainland, Utaipaje 30%?
By the way Shule kwa wazanzibar ipoo!?
Tayari mpo ndani ya upande moja kwenye muungano wa pande mbiliHata sisi wakurya ni Wachache kwenye vyeo
Tukianza hayo mambo tutavunja nchi vyeo havitolewi kwa ukabila dogo
Lakini hata kama ingekuwa hivyo tungetumia formula ya ration ya idadi ya watu
Kwenye vyeo vya wakurugenzi wa taasisi, mashirika, n.k. unaweza kuwakuta wazanzibari wawili tu kati ya 10.
Mfano kuna mabalozi 9 tu kati ya 45
Mawaziri wapo wachache
Kwenye nafasi za ajira haitoshi kabisa kuna tetesi hupewa 2 kati ya 10, bado ni chach sana hizi, at least ziwe 4
nitoe pongezi za dhati kwa wizara ya elimu na Necta, Hapo zamani kulikuwa na changamoto kubwa ya ufaulu Zanzibar na baadhi ya mikoa ya bara, hii ilichangia sana wazanzibar na watu wa baadhi ya mikoa ya bara wasifike vyuoni na kukosa sifa za ajira.
Lakini Kwa hali ya sasa ufaulu umeongezeka sana Tanzania nziima (Bara na Zanzibar), mfano matokeo ya mwaka jana form 6 ni ngumu kukuta division 4 na 0, hivyo wazanzibar wengi wataweza kwenda vyuoni na wakihitimu wataweza kujaa zaidi kwenye ofisi za bara na vyeo, hali hii ikiendelea hadi 2050 tunaweza kufika pazuri zaidi itapendeza kuona wazanzibari wakiwa wanne kati ya 10 kwenye ofisi kubwa / vyeo vya Tanzania
Umetumia kigezo gani kuitaka hiyo 30%Muungano sio suala la Population
Wapewe vyeo vyote kabisa mpaka wakuu wa shule za msingi, maafisa ardhi, maafisa kilimo. Na Watanganyika wapigwe marufuku kukanyaga Zanzibar au sio ndugu zangu.Kwenye vyeo vya wakurugenzi wa taasisi, mashirika, n.k. unaweza kuwakuta wazanzibari wawili tu kati ya 10.
Mfano kuna mabalozi 9 tu kati ya 45
Mawaziri wapo wachache
Kwenye nafasi za ajira haitoshi kabisa kuna tetesi hupewa 2 kati ya 10, bado ni chach sana hizi, at least ziwe 4
nitoe pongezi za dhati kwa wizara ya elimu na Necta, Hapo zamani kulikuwa na changamoto kubwa ya ufaulu Zanzibar na baadhi ya mikoa ya bara, hii ilichangia sana wazanzibar na watu wa baadhi ya mikoa ya bara wasifike vyuoni na kukosa sifa za ajira.
Lakini Kwa hali ya sasa ufaulu umeongezeka sana Tanzania nziima (Bara na Zanzibar), mfano matokeo ya mwaka jana form 6 ni ngumu kukuta division 4 na 0, hivyo wazanzibar wengi wataweza kwenda vyuoni na wakihitimu wataweza kujaa zaidi kwenye ofisi za bara na vyeo, hali hii ikiendelea hadi 2050 tunaweza kufika pazuri zaidi itapendeza kuona wazanzibari wakiwa wanne kati ya 10 kwenye ofisi kubwa / vyeo vya Tanzania
Sensa ya 2022 idadi ya Wanzibar inasemaje?Tuanzie hapo ndio tusonge mbele kuhusu uwiano kwenye ajira.Kwani uwiano upoje kila Mzanzibari mmoja ni sawa na watanganyika wangapi?
Kosa lililofanyika ni kutoifanya Zanzibar kuwa mkoa wakati wa muungano, ilitakiwa mzee Karume awe mkuu wa mkoa wa Zanzibar.