Wazanzibari bado ni wachache kwenye vyeo muhimu Tanzania, waongezwe wafike at least 30%

Wazanzibari bado ni wachache kwenye vyeo muhimu Tanzania, waongezwe wafike at least 30%

Kwenye vyeo vya wakurugenzi wa taasisi, mashirika, n.k. unaweza kuwakuta wazanzibari wawili tu kati ya 10.

Mfano kuna mabalozi 9 tu kati ya 45

Mawaziri wapo wachache

Kwenye nafasi za ajira haitoshi kabisa kuna tetesi hupewa 2 kati ya 10, bado ni chach sana hizi, at least ziwe 4

nitoe pongezi za dhati kwa wizara ya elimu na Necta, Hapo zamani kulikuwa na changamoto kubwa ya ufaulu Zanzibar na baadhi ya mikoa ya bara, hii ilichangia sana wazanzibar na watu wa baadhi ya mikoa ya bara wasifike vyuoni na kukosa sifa za ajira.

Lakini Kwa hali ya sasa ufaulu umeongezeka sana Tanzania nziima (Bara na Zanzibar), mfano matokeo ya mwaka jana form 6 ni ngumu kukuta division 4 na 0, hivyo wazanzibar wengi wataweza kwenda vyuoni na wakihitimu wataweza kujaa zaidi kwenye ofisi za bara na vyeo, hali hii ikiendelea hadi 2050 tunaweza kufika pazuri zaidi itapendeza kuona wazanzibari wakiwa wanne kati ya 10 kwenye ofisi kubwa / vyeo vya Tanzania
Wanatosha sana hiyo ni nchi yenye ukubwa wa wilaya!!

Kuhusu kufaulu walikuwa wanafeli kwa kuendekeza Ile elimu ya maandishi ya Toka KULIA KWENDA KUSHOTO.
 
Kwani uwiano upoje kila Mzanzibari mmoja ni sawa na watanganyika wangapi?
Kosa lililofanyika ni kutoifanya Zanzibar kuwa mkoa wakati wa muungano, ilitakiwa mzee Karume awe mkuu wa mkoa wa Zanzibar.
Ilitakiwa iwe hivyo mkuu Nyerere alizingua,,,,
 
Kwenye vyeo vya wakurugenzi wa taasisi, mashirika, n.k. unaweza kuwakuta wazanzibari wawili tu kati ya 10.

Mfano kuna mabalozi 9 tu kati ya 45

Mawaziri wapo wachache

Kwenye nafasi za ajira haitoshi kabisa kuna tetesi hupewa 2 kati ya 10, bado ni chach sana hizi, at least ziwe 4

nitoe pongezi za dhati kwa wizara ya elimu na Necta, Hapo zamani kulikuwa na changamoto kubwa ya ufaulu Zanzibar na baadhi ya mikoa ya bara, hii ilichangia sana wazanzibar na watu wa baadhi ya mikoa ya bara wasifike vyuoni na kukosa sifa za ajira.

Lakini Kwa hali ya sasa ufaulu umeongezeka sana Tanzania nziima (Bara na Zanzibar), mfano matokeo ya mwaka jana form 6 ni ngumu kukuta division 4 na 0, hivyo wazanzibar wengi wataweza kwenda vyuoni na wakihitimu wataweza kujaa zaidi kwenye ofisi za bara na vyeo, hali hii ikiendelea hadi 2050 tunaweza kufika pazuri zaidi itapendeza kuona wazanzibari wakiwa wanne kati ya 10 kwenye ofisi kubwa / vyeo vya Tanzania
Na kwenye vyeo vya huko visiwani kwenu kuna Watangayika wangapi? Hivi ni kwa nini msijitoe tu kwenye huo Muungano, ili mteuane kadiri mnavyopenda nyinyi wenyewe!!
 
Kwenye vyeo vya wakurugenzi wa taasisi, mashirika, n.k. unaweza kuwakuta wazanzibari wawili tu kati ya 10.

Mfano kuna mabalozi 9 tu kati ya 45

Mawaziri wapo wachache

Kwenye nafasi za ajira haitoshi kabisa kuna tetesi hupewa 2 kati ya 10, bado ni chach sana hizi, at least ziwe 4

nitoe pongezi za dhati kwa wizara ya elimu na Necta, Hapo zamani kulikuwa na changamoto kubwa ya ufaulu Zanzibar na baadhi ya mikoa ya bara, hii ilichangia sana wazanzibar na watu wa baadhi ya mikoa ya bara wasifike vyuoni na kukosa sifa za ajira.

Lakini Kwa hali ya sasa ufaulu umeongezeka sana Tanzania nziima (Bara na Zanzibar), mfano matokeo ya mwaka jana form 6 ni ngumu kukuta division 4 na 0, hivyo wazanzibar wengi wataweza kwenda vyuoni na wakihitimu wataweza kujaa zaidi kwenye ofisi za bara na vyeo, hali hii ikiendelea hadi 2050 tunaweza kufika pazuri zaidi itapendeza kuona wazanzibari wakiwa wanne kati ya 10 kwenye ofisi kubwa / vyeo vya Tanzania
Hata wakipewa vyeo vyote kama hawana maarifa ya kazi ni kazi bure
 
Naunga mkono hoja.ikiwezekana viongozi wote wa Tanganyika watoke Zanzibar Kwa kuwa watanganyika ni wendawazimu hawajui kudai haki zao.
Wazenji hawana elimu Dunia Wana elimu ahera na wakiwa na elimu Dunia ni fomu 4 failure kama yule, Sasa unategemea Nini?
 
Back
Top Bottom