Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kuwa ni waadilifu hata wakifika 50/50 ni sawa tuuKwenye vyeo vya wakurugenzi wa taasisi, mashirika, n.k. unaweza kuwakuta wazanzibari wawili tu kati ya 10.
Mfano kuna mabalozi 9 tu kati ya 45
Mawaziri wapo wachache
Kwenye nafasi za ajira haitoshi kabisa kuna tetesi hupewa 2 kati ya 10, bado ni chach sana hizi, at least ziwe 4
nitoe pongezi za dhati kwa wizara ya elimu na Necta, Hapo zamani kulikuwa na changamoto kubwa ya ufaulu Zanzibar na baadhi ya mikoa ya bara, hii ilichangia sana wazanzibar na watu wengi wa sehemu hizo wasifike vyuoni na kukosa sifa za ajira.
Lakini Kwa hali ya sasa ufaulu umeongezeka sana Tanzania nziima (Bara na Zanzibar), mfano matokeo ya mwaka jana form 6 ni ngumu kukuta division 4 na 0, hivyo wazanzibar wengi wataweza kwenda vyuoni na wakihitimu wataweza kujaa zaidi kwenye ofisi za bara na vyeo, hali hii ikiendelea hadi 2050 tunaweza kufika pazuri zaidi itapendeza kuona wazanzibari wakiwa wanne kati ya 10 kwenye ofisi kubwa / vyeo vya Tanzania
Ingia barabarani upaze sauti, usikimbie ukisikia kingoraWatanganyika wapewe heshima yao pia hata kama Tanganyika Haina uhuru ndani ya Muungano. By the way, wabara pia kupatiwa nafasi muhimu Zanzibar itajenga Muungano wenye nguvu.
Umeshasema SMZ, serikali ya mapinduzi ya Zanzibar, haiwahusu serikali ya muungano ya Tanzania.Mbona watanganyika ajira za SMZ huwa hawatakiwi kuomba?
Kuna haja gani ya muungano sasa?Umeshasema SMZ, serikali ya mapinduzi ya Zanzibar, haiwahusu serikali ya Tanzania.
Hujamuelewa tu ni mwana falisafaWewe ni kubwa jinga.
Serikali ya Muungano haina Mzanzibar wala Mtanganyika. Kama wanazingatia hivyo vigezo wanakosea, inapaswa wazingatie uwezo na utanzania.Kwenye vyeo vya wakurugenzi wa taasisi, mashirika, n.k. unaweza kuwakuta wazanzibari wawili tu kati ya 10.
Mfano kuna mabalozi 9 tu kati ya 45
Mawaziri wapo wachache
Kwenye nafasi za ajira haitoshi kabisa kuna tetesi hupewa 2 kati ya 10, bado ni chach sana hizi, at least ziwe 4
nitoe pongezi za dhati kwa wizara ya elimu na Necta, Hapo zamani kulikuwa na changamoto kubwa ya ufaulu Zanzibar na baadhi ya mikoa ya bara, hii ilichangia sana wazanzibar na watu wengi wa sehemu hizo wasifike vyuoni na kukosa sifa za ajira.
Lakini Kwa hali ya sasa ufaulu umeongezeka sana Tanzania nziima (Bara na Zanzibar), mfano matokeo ya mwaka jana form 6 ni ngumu kukuta division 4 na 0, hivyo wazanzibar wengi wataweza kwenda vyuoni na wakihitimu wataweza kujaa zaidi kwenye ofisi za bara na vyeo, hali hii ikiendelea hadi 2050 tunaweza kufika pazuri zaidi itapendeza kuona wazanzibari wakiwa wanne kati ya 10 kwenye ofisi kubwa / vyeo vya Tanzania
Unakosea, Serkali ya muungano lazima ijali pande zote mbili, ndio maana Rais na Makamu wake wanatoka pande mbiliSerikali ya Muungano haina Mzanzibar wala Mtanganyika. Kama wanazingatia hivyo vigezo wanakosea, inapaswa wazingatie uwezo na utanzania.
Zanzibar kuna serikali 2, Yao na ya muungano, yao ni kwajili yao, Ya muungano ni kwajili ya wote.zanzibar ni nchi basi raia wake waajiriwe kule kule mbona watanganyika hatuajiriki wala kusomeshwa au kumiliki ardhi zanzibar!!!
Tanganyika tunahitaji serikali yetu kama ni hivyoZanzibar kuna serikali 2, Yao na ya muungano, yao ni kwajili yao, Ya muungano ni kwajili ya wote.
Zanzibar kuna serikali 2, Yao kwajili yao na ya muungano kwajili ya wote wabara na wazanzibar.Kuna haja gani ya muungano sasa?
Kwamba vya huku hawa haviwahusu ila hawa vinawahusu.
Huoni ukakasi?
Tanganyika ilishapotea 1964 ikazaliwa Tanzania ambayo ni Bara na Zanzibar lakini Zanzibar bado wana serikali yao ya ziada (SMZ)Tanganyika tunahitaji serikali yetu kama ni hivyo
Huna akili. Watu chini ya 2m wachukue 30% ya vyeo dhidi ya watu 40m?Kwenye vyeo vya wakurugenzi wa taasisi, mashirika, n.k. unaweza kuwakuta wazanzibari wawili tu kati ya 10.
Mfano kuna mabalozi 9 tu kati ya 45
Mawaziri wapo wachache
Kwenye nafasi za ajira haitoshi kabisa kuna tetesi hupewa 2 kati ya 10, bado ni chach sana hizi, at least ziwe 4
nitoe pongezi za dhati kwa wizara ya elimu na Necta, Hapo zamani kulikuwa na changamoto kubwa ya ufaulu Zanzibar na baadhi ya mikoa ya bara, hii ilichangia sana wazanzibar na watu wengi wa sehemu hizo wasifike vyuoni na kukosa sifa za ajira.
Lakini Kwa hali ya sasa ufaulu umeongezeka sana Tanzania nziima (Bara na Zanzibar), mfano matokeo ya mwaka jana form 6 ni ngumu kukuta division 4 na 0, hivyo wazanzibar wengi wataweza kwenda vyuoni na wakihitimu wataweza kujaa zaidi kwenye ofisi za bara na vyeo, hali hii ikiendelea hadi 2050 tunaweza kufika pazuri zaidi itapendeza kuona wazanzibari wakiwa wanne kati ya 10 kwenye ofisi kubwa / vyeo vya Tanzania
Hatuangalii watu, Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni muunganiko wa Bara na Zanzibar, usawa unahitajika kulinda heshima ya muunganoHuna akili. Watu chini ya 2m wachukue 30% ya vyeo dhidi ya watu 40m?
Ukisema wafanye 50/50 Si utajikuta kila Mzanzibari ana nafasi ya uongozi kwenye serikali ya muunganoHatuangalii watu, Tanzania ni muunganiko wa nchi mbili, usawa unahitajika kulinda heshima ya muungano
mfano ni samia na mbawala?Kwenye kazi wengi wao ni waadilifu kuliko sisi wabara
Umenikumbusha ya mzee aboud jumbe mwinyi.Kwenye vyeo vya wakurugenzi wa taasisi, mashirika, n.k. unaweza kuwakuta wazanzibari wawili tu kati ya 10.
Mfano kuna mabalozi 9 tu kati ya 45
Mawaziri wapo wachache
Kwenye nafasi za ajira haitoshi kabisa kuna tetesi hupewa 2 kati ya 10, bado ni chach sana hizi, at least ziwe 4
nitoe pongezi za dhati kwa wizara ya elimu na Necta, Hapo zamani kulikuwa na changamoto kubwa ya ufaulu Zanzibar na baadhi ya mikoa ya bara, hii ilichangia sana wazanzibar na watu wengi wa sehemu hizo wasifike vyuoni na kukosa sifa za ajira.
Lakini Kwa hali ya sasa ufaulu umeongezeka sana Tanzania nziima (Bara na Zanzibar), mfano matokeo ya mwaka jana form 6 ni ngumu kukuta division 4 na 0, hivyo wazanzibar wengi wataweza kwenda vyuoni na wakihitimu wataweza kujaa zaidi kwenye ofisi za bara na vyeo, hali hii ikiendelea hadi 2050 tunaweza kufika pazuri zaidi itapendeza kuona wazanzibari wakiwa wanne kati ya 10 kwenye ofisi kubwa / vyeo vya Tanzania