ndolelejiUduhe
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,837
- 3,027
Kweli kabisa 🙌Hilo nalo neno, ila nilikuwa nakumbushia ya Lukuvi aliposema wazanzibari wanataka waarabu warudi ili watutawale na ni ni hatari sana kwa usalama
Hayo maneno yalikuwa ni mabaya mno kwa waziri kuyaongea tena akaungwa mkono na viongozi wa dini kanisani wakisikika kabisa
Kuhusu chuki zao sijui boss maana kama wanataka kujitenga ni shauri lao kwa wanavyoona wao
Sisi kama tunataka kisiwa tunavyo vingi tena tunaweza kumwambia mchina atutengenezee kikubwa maana mchina hashindwi kitu na ameisha tengeneza artificial island huko
Muungano uvunjwe harakaHilo nalo neno, ila nilikuwa nakumbushia ya Lukuvi aliposema wazanzibari wanataka waarabu warudi ili watutawale na ni ni hatari sana kwa usalama
Hayo maneno yalikuwa ni mabaya mno kwa waziri kuyaongea tena akaungwa mkono na viongozi wa dini kanisani wakisikika kabisa
Kuhusu chuki zao sijui boss maana kama wanataka kujitenga ni shauri lao kwa wanavyoona wao
Sisi kama tunataka kisiwa tunavyo vingi tena tunaweza kumwambia mchina atutengenezee kikubwa maana mchina hashindwi kitu na ameisha tengeneza artificial island huko
Labda posho ya vikao na mikutano kwa viongozi lakini siyo miradi ya maendeleo!Basi yapo manufaa wanayapata kule OIC !
Nakazia hapoMuungano uvunjwe haraka
Mkuu Idu kwanza kwanini unitukane?!. Kwani kuwa secular state ndio nini?. Mbona tunapokea fedha toka taasisi za kikiristo?. Kujiunga na OIC hakumaanishi nchi inageuka ya Kiislamu, Uganda ni mwanachama, imekuwa nchi ya Kiislamu?.This is a secular state. Acha upumbavu wako
Labda 🙄!Labda posho ya vikao na mikutano kwa viongozi lakini siyo miradi ya maendeleo!
YapNakazia hapo
Wazo sio baya, ila limetolewa katika maudhui ya kidini sana ambayo ni mabaya kuliko hata shutuma wanazokabili wasanii kama Nay wa Mitego. Lugha kama hii huleta machafuko katika nchi.Kwanza naunga mkono sio Zanzibar kujiunga na OIC bali Tanzania tujiunge na OIC.
Kila nchi inaweza kufaidika kwa fursa zake, hivyo failures ya Uganda kufaidika na OIC is not an excuse Zanzibar isifaidike!. Kuahidiwa Mahakama ya Kadhi, kujiunga na OIC kumeleta mshikamano na serikali? na Kumbe CCM na Ikulu ndio inaratibu Tanzania kuwa nchi ya Kiislam
P
Unalinganisha OIC na Vatican!😳Sioni tatizo lolote
Mbona tumejiunga na Vatican? 😂
Misaada ya Maendeleo ni ile ile 😂Unalinganisha OIC na Vatican!😳
Hapana, hapa tunaongelea uhusiano. Halafu kujiunga na OIC kwa lengo la kupata misaada sio akili nzuri, ni kujifanya omba omba. Tunataka tuwe donor country!😀Misaada ya Maendeleo ni ile ile 😂
Unadhani akina Nchimbi, Bashe na Rostam Aziz walienda Vatican kuzurura? 😂😂😂Hapana, hapa tunaongelea uhusiano. Halafu kujiunga na OIC kwa lengo la kupata misaada sio akili nzuri, ni kujifanya omba omba. Tunataka tuwe donor country!😀
Kwa nini Zanzibar ilijiunga kimyakimya mwaka 1993 kisha ikajiondoa kwa nguvu ya Bunge?Mkuu Idu kwanza kwanini unitukane?!. Kwani kuwa secular state ndio nini?. Mbona tunapokea fedha toka taasisi za kikiristo?. Kujiunga na OIC hakumaanishi nchi inageuka ya Kiislamu, Uganda ni mwanachama, imekuwa nchi ya Kiislamu?.
p
Kama tumefikia viongozi wetu Waislamu ndio wanaenda kuomba msaada Vatican basi uongozi wetu umefilisika kimawazo!Unadhani akina Nchimbi, Bashe na Rostam Aziz walienda Vatican kuzurura? 😂😂😂
Changamoto ni kwa Watanganyika ambao hawataki muungano huu uvunjike lakini Wazanzibari wako tayari kuvunja muungano.huyu jamaa ametoa picha yote na ramani wanzanzibari wanafanya kwa Tanganyika. ndio maana watu waliuliza kwanini sisi tunakopa zanzibar wanafaidi ila hawalipi, kwanini deni la umeme kipindi cha magu walisamehewa kwahiyo sisi tunawalipia umeme? kuna faida gani Tanganyika inapata toka kwa Zanzibar? na kwa bahati mbaya, wakristo Tanzania ni 60% kwa sasa na wanazidi kuongezeka hivyo wasahau kabisa OIC.
Ndiyo na huenda hata posho hawapati wanatumia kodi za Waganda!Labda 🙄!
Katiba ni ngumu sana kwa walio wengi, kwa vile Zanzibar ina uhuru wa mambo yake ya ndani yasiyo ya muungano, hivyo wakadhani wanaweza kujiunga tuu, hivyo wakajiunga.Kwa nini Zanzibar ilijiunga kimyakimya mwaka 1993 kisha ikajiondoa kwa nguvu ya Bunge?
SanaAliyeleta huu Muungano wa kiwaki alikosea sana
Wapewe kura ya maoni kuwauliza kama wanautaka Muungano au hawautaki.Kuna msukumo mkubwa wa Wazanzibari ukichagizwa na uislam kwa Rais Samia na Rais Mwinyi kutaka Serikali ya Zanzibar kujiunga na OIC ili vijana wa Zanzibar wapate ajira na ujenzi wa bandari kubwa kisiwani Unguja.
Hilo ni jambo jema kwa maendeleo kama yatapatikana kweli. Changamoto iliyopo ni maendeleo hayo kunasibishwa na uislam na waislam ambapo unaweza ukazaliwa ubaguzi mbaya sana wa kidini.
Angalizo kwa wale wanaotaka Zanzibar kujiunga na OIC ni kuwa kuna nchi nyingi za Kiafrika ambazo zilijiunga na Jumuiya hiyo kwa matumaini ya kupata maendeleo makubwa na ya haraka, lakini badala yake yakuzaliwa makundi ya magaidi wa kiislam ambayo yamekuwa hatari kwa serikali za nchi hizo na hakuna maendeleo yaliyokusudiwa. Mfano ni jirani yetu Uganda ambayo ni mwanachama wa OIC na walichovuna ni kuzuka kwa kikundi cha kigaidi kinachoisumbua serikali ya Museveni na hakuna mchango wo wote wa maendeleo ambao Uganda inapata!
View attachment 3112979
Hawa huku wengine leo wamefikia makubaliano wapewe kisiwa chao huko MauritiusMuungano uvunjwe haraka