Tetesi: Wazanzibari wengi wanautweza Utanzania, shida ipo wapi?

Tetesi: Wazanzibari wengi wanautweza Utanzania, shida ipo wapi?

Naanto Mushi

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2015
Posts
6,236
Reaction score
15,677
Ni nadra sana kumkuta Mtanzania wa visiwa vya Zanzibar akijitambulisha kwamba yeye ni Mtanzania.

Nimefanya utafiti wangu usio rasmi kuhusu hili suala. Ukimkuta Mzanzibari nje ya nchi, halafu ukamuuliza ikiwa yeye ni mtanzania, mara nyingi utapokea jibu kwamba 'Mimi ni Mzanzibari'.

Yaani ni kwamba wazanzibari wengi huwa wanajaribu kwa namna yeyote, kuukwepa utanzania na wengi hawapendi kuitwa watanzania. Kwa waliotembea uarabuni mtathibitisha hili. Yaani ukitaka ukosane na mzanzibari huko arabuni, basi we muite mtanzania.

Inaonekana ni kama wazanzibari wanahisi tayari wapo daraja fulani hivi la juu, hivo kitu utanzania ni kuwashusha hadhi.

Hili jambo ni moja ya mambo ambayo nahisi yanahitaji uwepo wa serikali tatu, maana huko tunapoenda, itafika mahali hata sisi wa bara tutatamani kuitwa watanganyika.

Mi binafsi naanza kuchukia jina Tanzania. Maana yake sioni faida ya huu muungano ambao, kuna upande unautweza wazi wazi.
 
Hiyo ni Kero . Wazanzibar washakiwa brain washed hata ughaibuni wanajitengatenga .wanaamini katika light skin kuwa ni waarabu na waarabu wanaona Kwa wao ndo kila kitu .wenyewe wanaita rangi ya mtume . Utakuta mtu rangi imefubaaaaa yeye kichwani anaamini ni mwarabu na wengine kwake ni bullshit .it's just colonial mentality
 
Ni nadra sana kumkuta Mtanzania wa visiwa vya Zanzibar akijitambulisha kwamba yeye ni Mtanzania.

Yaani ni kwamba wazanzibari wengi huwa wanajaribu kwa namna yeyote, kuukwepa utanzania na wengi hawapendi kuitwa watanzania. Kwa waliotembea uarabuni mtathibitisha hili. Yaani ukitaka ukosane na mzanzibari huko arabuni, basi we muite mtanzania.
Mkuu Naantombe Mushi , usemayo ni kweli, hakuna tatizo lolote kwa mtu yoyote kujinasibu vyovyote vile apendavyo kwa nafsi yake, as long as utambulisho rasmi wa kimataifa ni Passport, hivyo kwa mujibu wa utambulisho rasmi unaojulikana kimataifa, hakuna cha Mzanzibari, Mzanzibara, wala Mpemba, Tanzania ina uraia mmoja tuu, Mtanzania, hivyo Mzanzibari kujinasibu kwa Uzanzibari wake ni rukhsa kwa ajili ya kujifurahisha na kuifurahisha nafsi yake, ila kimataifa hakuna Mzanzibari bali kuna mtu mmoja tuu, Mtanzania, na hao Wazanzibari wote wanaojinasibu na Uzanzibari wao ni kujinasibu tuu, ukweli ni kuwa hao wote ni Watanzania, na passport zao ni za Tanzania.
P
 
Ni nadra sana kumkuta Mtanzania wa visiwa vya Zanzibar akijitambulisha kwamba yeye ni Mtanzania.

Nimefanya utafiti wangu usio rasmi kuhusu hili suala. Ukimkuta Mzanzibari nje ya nchi, halafu ukamuuliza ikiwa yeye ni mtanzania, mara nyingi utapokea jibu kwamba 'Mimi ni Mzanzibari'.

Yaani ni kwamba wazanzibari wengi huwa wanajaribu kwa namna yeyote, kuukwepa utanzania na wengi hawapendi kuitwa watanzania. Kwa waliotembea uarabuni mtathibitisha hili. Yaani ukitaka ukosane na mzanzibari huko arabuni, basi we muite mtanzania.

Inaonekana ni kama wazanzibari wanahisi tayari wapo daraja fulani hivi la juu, hivo kitu utanzania ni kuwashusha hadhi.

Hili jambo ni moja ya mambo ambayo nahisi yanahitaji uwepo wa serikali tatu, maana huko tunapoenda, itafika mahali hata sisi wa bara tutatamani kuitwa watanganyika.

Mi binafsi naanza kuchukia jina Tanzania. Maana yake sioni faida ya huu muungano ambao, kuna upande unautweza wazi wazi.
Hata wewe wanao wasingefurahi kuitwa "Nitombe" kwenye roll call shuleni. Tuanzie hapo.
 
Hiyo ni Kero . Wazanzibar washakiwa brain washed hata ughaibuni wanajitengatenga .wanaamini katika light skin kuwa ni waarabu na waarabu wanaona Kwa wao ndo kila kitu .wenyewe wanaita rangi ya mtume . Utakuta mtu rangi imefubaaaaa yeye kichwani anaamini ni mwarabu na wengine kwake ni bullshit .it's just colonial mentality
Na ukitaka umfurahishe mzanzibar basi we muambie umefanana na muarab.. baso roho yake inapaa balaa
 
Hiyo ni Kero . Wazanzibar washakiwa brain washed hata ughaibuni wanajitengatenga .wanaamini katika light skin kuwa ni waarabu na waarabu wanaona Kwa wao ndo kila kitu .wenyewe wanaita rangi ya mtume . Utakuta mtu rangi imefubaaaaa yeye kichwani anaamini ni mwarabu na wengine kwake ni bullshit .it's just colonial mentality
Na ukitaka umfurahishe mzanzibar basi we muambie umefanana na muarab.. baso roho yake inapaa balaa
 
Ni nadra sana kumkuta Mtanzania wa visiwa vya Zanzibar akijitambulisha kwamba yeye ni Mtanzania.

Nimefanya utafiti wangu usio rasmi kuhusu hili suala. Ukimkuta Mzanzibari nje ya nchi, halafu ukamuuliza ikiwa yeye ni mtanzania, mara nyingi utapokea jibu kwamba 'Mimi ni Mzanzibari'.

Yaani ni kwamba wazanzibari wengi huwa wanajaribu kwa namna yeyote, kuukwepa utanzania na wengi hawapendi kuitwa watanzania. Kwa waliotembea uarabuni mtathibitisha hili. Yaani ukitaka ukosane na mzanzibari huko arabuni, basi we muite mtanzania.

Inaonekana ni kama wazanzibari wanahisi tayari wapo daraja fulani hivi la juu, hivo kitu utanzania ni kuwashusha hadhi.

Hili jambo ni moja ya mambo ambayo nahisi yanahitaji uwepo wa serikali tatu, maana huko tunapoenda, itafika mahali hata sisi wa bara tutatamani kuitwa watanganyika.

Mi binafsi naanza kuchukia jina Tanzania. Maana yake sioni faida ya huu muungano ambao, kuna upande unautweza wazi wazi.
N hulka ya asili. Hata kwenye zile sherehe za mwaka mpya au krismas za nje ya nchi huwa wanajitenga wanafanya kivyao katika chumba fulani cha hosteli fulani.

Watu wa bara tunabakia midomo wazi tusijue tuongee nini. Lakini hili linchi ni likubwa na watu wake ni matajiri wa moyo, huwa tunasamehe upesi sana na kuendelea na maisha mengine.
 
Na ukitaka umfurahishe mzanzibar basi we muambie umefanana na muarab.. baso roho yake inapaa balaa
Umenikumbusha wasudan ni weusi tii, lakini zikichezwa mechi kati ya waarabu na waafrika kwa sababu wao wanaongea kiarabu wanaenda upande ule wa waarabu. Waafrika tunaishia kutazamana na kucheka tu.
 
Ni nadra sana kumkuta Mtanzania wa visiwa vya Zanzibar akijitambulisha kwamba yeye ni Mtanzania.

Nimefanya utafiti wangu usio rasmi kuhusu hili suala. Ukimkuta Mzanzibari nje ya nchi, halafu ukamuuliza ikiwa yeye ni mtanzania, mara nyingi utapokea jibu kwamba 'Mimi ni Mzanzibari'.

Yaani ni kwamba wazanzibari wengi huwa wanajaribu kwa namna yeyote, kuukwepa utanzania na wengi hawapendi kuitwa watanzania. Kwa waliotembea uarabuni mtathibitisha hili. Yaani ukitaka ukosane na mzanzibari huko arabuni, basi we muite mtanzania.

Inaonekana ni kama wazanzibari wanahisi tayari wapo daraja fulani hivi la juu, hivo kitu utanzania ni kuwashusha hadhi.

Hili jambo ni moja ya mambo ambayo nahisi yanahitaji uwepo wa serikali tatu, maana huko tunapoenda, itafika mahali hata sisi wa bara tutatamani kuitwa watanganyika.

Mi binafsi naanza kuchukia jina Tanzania. Maana yake sioni faida ya huu muungano ambao, kuna upande unautweza wazi wazi.

ndio maana wana bendera yao,raisi wao na baraza lao.
labda wasijiite kuwa wanzibari raisi wao hawe mkuu wa mkoa
 
Hata wewe wanao wasingefurahi kuitwa "Nitombe" kwenye roll call shuleni. Tuanzie hapo.
we mtu sijui wa aina gani.. we unachoona ni hilo jina tu? ... usifurahie ukosefu wa context. Hizo ni dalili za ukilema wa mawazo

Nakuweka kwenye ignore list.
 
Ni nadra sana kumkuta Mtanzania wa visiwa vya Zanzibar akijitambulisha kwamba yeye ni Mtanzania.

Nimefanya utafiti wangu usio rasmi kuhusu hili suala. Ukimkuta Mzanzibari nje ya nchi, halafu ukamuuliza ikiwa yeye ni mtanzania, mara nyingi utapokea jibu kwamba 'Mimi ni Mzanzibari'.

Yaani ni kwamba wazanzibari wengi huwa wanajaribu kwa namna yeyote, kuukwepa utanzania na wengi hawapendi kuitwa watanzania. Kwa waliotembea uarabuni mtathibitisha hili. Yaani ukitaka ukosane na mzanzibari huko arabuni, basi we muite mtanzania.

Inaonekana ni kama wazanzibari wanahisi tayari wapo daraja fulani hivi la juu, hivo kitu utanzania ni kuwashusha hadhi.

Hili jambo ni moja ya mambo ambayo nahisi yanahitaji uwepo wa serikali tatu, maana huko tunapoenda, itafika mahali hata sisi wa bara tutatamani kuitwa watanganyika.

Mi binafsi naanza kuchukia jina Tanzania. Maana yake sioni faida ya huu muungano ambao, kuna upande unautweza wazi wazi.
Wanajitambulusha kama Wazanzibari kwani Mzanzibari ni Mtanzania. Wanajiita Wazanzibari kama utambulisho wa walikotoka. Nami napenda waendelee kufanya hivyo.
 
Mkuu Naantombe Mushi , usemayo ni kweli, hakuna tatizo lolote kwa mtu yoyote kujinasibu vyovyote vile apendavyo kwa nafsi yake, as long as utambulisho rasmi wa kimataifa ni Passport, hivyo kwa mujibu wa utambulisho rasmi unaojulikana kimataifa, hakuna cha Mzanzibari, Mzanzibara, wala Mpemba, Tanzania ina uraia mmoja tuu, Mtanzania, hivyo Mzanzibari kujinasibu kwa Uzanzibari wake ni rukhsa kwa ajili ya kujifurahisha na kuifurahisha nafsi yake, ila kimataifa hakuna Mzanzibari bali kuna mtu mmoja tuu, Mtanzania, na hao Wazanzibari wote wanaojinasibu na Uzanzibari wao ni kujinasibu tuu, ukweli ni kuwa hao wote ni Watanzania, na passport zao ni za Tanzania.
P
Nakubaliana na wewe Bro Pascal, lakini huoni kwamba hivi ni viashiria vya kuparanganyika kwa huu muungano?

Maana pasaport ni document tu, ikiwa watoto wa kizanzibari watazaliwa na kuikuta hii mentality ya sisi wazanzibari, ina maana na wao wata adopt hii mentality na itakuwa rahisi kuipa tangibility ya kujitoa rasmi kwenye huu utanzania wa makaratasi.
 
N hulka ya asili. Hata kwenye zile sherehe za mwaka mpya au krismas za nje ya nchi huwa wanajitenga wanafanya kivyao katika chumba fulani cha hosteli fulani.

Watu wa bara tunabakia midomo wazi tusijue tuongee nini. Lakini hili linchi ni likubwa na watu wake ni matajiri wa moyo, huwa tunasamehe upesi sana na kuendelea na maisha mengine.
Of which hilo ndo naona ni tatizo.. karoho cha kujitenga
 
Siku Visiwa vikianza kuzama kwa sababu ya mabadiliko ya tabia nchi ndo wataelewa kwann wao wanaitwa wazanzibar..
Sikuzote aliebebwa hujiona wathaman sana kuzidi aliembeba.. ila akishaanza kutembea mwenyewe ndo anaelewa umuhimu wa kuwa na shukrani!

Usingekua muungano bila Shaka Zanzibar ingekua ni koloni la Islamic State by Now!!
 
Msiwatupie lawama Wazanzibari na wala msiwasingizie ubaguzi. Tatizo lipo tangu Nyerere alivyofanya vamizi Zanzibar, ameshindwa kuleta maendeleo. Umaskini umezidi, watu wananyimwa haki sasa Utanzania umeleta faida gani? Zanzibar ingeungana na Oman badala ya Tanganyika, leo Zanzibar ingekuwa kama Muscat. Sasa kwa nini Wazanzibari waupende Utanzania ulioshindwa kutatua matatizo yao, ulioshindwa kuleta maendeleo?
 
Back
Top Bottom