Tetesi: Wazanzibari wengi wanautweza Utanzania, shida ipo wapi?

Tetesi: Wazanzibari wengi wanautweza Utanzania, shida ipo wapi?

Nakubaliana na wewe Bro Pascal, lakini huoni kwamba hivi ni viashiria vya kuparanganyika kwa huu muungano?

Maana pasaport ni document tu, ikiwa watoto wa kizanzibari watazaliwa na kuikuta hii mentality ya sisi wazanzibari, ina maana na wao wata adopt hii mentality na itakuwa rahisi kuipa tangibility ya kujitoa rasmi kwenye huu utanzania wa makaratasi.
Nakubaliana na wewe, utafika muda wataiona passport ya Tanzania ni kero kwao!.
P
 
Mkuu Naantombe Mushi , usemayo ni kweli, hakuna tatizo lolote kwa mtu yoyote kujinasibu vyovyote vile apendavyo kwa nafsi yake, as long as utambulisho rasmi wa kimataifa ni Passport, hivyo kwa mujibu wa utambulisho rasmi unaojulikana kimataifa, hakuna cha Mzanzibari, Mzanzibara, wala Mpemba, Tanzania ina uraia mmoja tuu, Mtanzania, hivyo Mzanzibari kujinasibu kwa Uzanzibari wake ni rukhsa kwa ajili ya kujifurahisha na kuifurahisha nafsi yake, ila kimataifa hakuna Mzanzibari bali kuna mtu mmoja tuu, Mtanzania, na hao Wazanzibari wote wanaojinasibu na Uzanzibari wao ni kujinasibu tuu, ukweli ni kuwa hao wote ni Watanzania, na passport zao ni za Tanzania.
P

Inakuaje hauoni kujinasibu kwao ni dhahiri kua walicho hawakifurahii.. haijalishi vitabu vyao vinasema nn kama mtu hataki inanzia ndani(kujikana ni kansa na inakula taratibu,hata ukipewa elimu haita tosha)
 
Ni nadra sana kumkuta Mtanzania wa visiwa vya Zanzibar akijitambulisha kwamba yeye ni Mtanzania.

Nimefanya utafiti wangu usio rasmi kuhusu hili suala. Ukimkuta Mzanzibari nje ya nchi, halafu ukamuuliza ikiwa yeye ni mtanzania, mara nyingi utapokea jibu kwamba 'Mimi ni Mzanzibari'.

Yaani ni kwamba wazanzibari wengi huwa wanajaribu kwa namna yeyote, kuukwepa utanzania na wengi hawapendi kuitwa watanzania. Kwa waliotembea uarabuni mtathibitisha hili. Yaani ukitaka ukosane na mzanzibari huko arabuni, basi we muite mtanzania.

Inaonekana ni kama wazanzibari wanahisi tayari wapo daraja fulani hivi la juu, hivo kitu utanzania ni kuwashusha hadhi.

Hili jambo ni moja ya mambo ambayo nahisi yanahitaji uwepo wa serikali tatu, maana huko tunapoenda, itafika mahali hata sisi wa bara tutatamani kuitwa watanganyika.

Mi binafsi naanza kuchukia jina Tanzania. Maana yake sioni faida ya huu muungano ambao, kuna upande unautweza wazi wazi.
Na Watanganyika wote huko Zanzibar tunaitwa "Machogo"

Hata Mama Samia akiwa kwao hivyo ndivyo anavyotuita, wabaguzi kweli washen** hao
 
Siku Visiwa vikianza kuzama kwa sababu ya mabadiliko ya tabia nchi ndo wataelewa kwann wao wanaitwa wazanzibar..
Sikuzote aliebebwa hujiona wathaman sana kuzidi aliembeba.. ila akishaanza kutembea mwenyewe ndo anaelewa umuhimu wa kuwa na shukrani!

Usingekua muungano bila Shaka Zanzibar ingekua ni koloni la Islamic State by Now!!
Wana ardhi huku bara Barabara ya Pangani-Saadani-Bagamoyo. Nisichojua visiwa vikizama wakaingizwa bara wataendelea kujiita Wazenji? Raisi ataendelea kuwepo?
 
Umenikumbusha wasudan ni weusi tii, lakini zikichezwa mechi kati ya waarabu na waafrika kwa sababu wao wanaongea kiarabu wanaenda upande ule wa waarabu. Waafrika tunaishia kutazamana na kucheka tu.
Kuwa na fikra kwamba waarabu wote ni weupe ni fikra potofu.Wapo waarabu weusi Saudi Arabia,Egypt,Kuwait,Oman na Sudan.Kuwa weusi pekee hakufanyi wawe waafrika.
Sudan ni mwanachama wa Arab Nations hivyo ni waarabu lakini pia ni mwanachama wa Africa Union.Kama zilizo nchi nyingi za kiarabu.
Aborigines ni waafrika?Wana ngozi nyeusi lakini nywele laini.
 
Kuwa na fikra kwamba waarabu wote ni weupe ni fikra potofu.Wapo waarabu weusi Saudi Arabia,Egypt,Kuwait,Oman na Sudan.Kuwa weusi pekee hakufanyi wawe waafrika.
Sudan ni mwanachama wa Arab Nations hivyo ni waarabu lakini pia ni mwanachama wa Africa Union.Kama zilizo nchi nyingi za kiarabu.
Aborigines ni waafrika?Wana ngozi nyeusi lakini nywele laini.
Kasumba na ushamba pia.
 
Ni nadra sana kumkuta Mtanzania wa visiwa vya Zanzibar akijitambulisha kwamba yeye ni Mtanzania.

Nimefanya utafiti wangu usio rasmi kuhusu hili suala. Ukimkuta Mzanzibari nje ya nchi, halafu ukamuuliza ikiwa yeye ni mtanzania, mara nyingi utapokea jibu kwamba 'Mimi ni Mzanzibari'.

Yaani ni kwamba wazanzibari wengi huwa wanajaribu kwa namna yeyote, kuukwepa utanzania na wengi hawapendi kuitwa watanzania. Kwa waliotembea uarabuni mtathibitisha hili. Yaani ukitaka ukosane na mzanzibari huko arabuni, basi we muite mtanzania.

Inaonekana ni kama wazanzibari wanahisi tayari wapo daraja fulani hivi la juu, hivo kitu utanzania ni kuwashusha hadhi.

Hili jambo ni moja ya mambo ambayo nahisi yanahitaji uwepo wa serikali tatu, maana huko tunapoenda, itafika mahali hata sisi wa bara tutatamani kuitwa watanganyika.

Mi binafsi naanza kuchukia jina Tanzania. Maana yake sioni faida ya huu muungano ambao, kuna upande unautweza wazi wazi.
Mengi yanafanyika kuwagawa watanzania. Mabeberu hawalali kutaka kuwagawa watanzania. Wanashangaa nchi zingine wanaweza kuwachonganisha watu kirahisi tu hadi kupigana kisha wao kufaidi watakacho. Ina maana umoja ndio silaha kubwa ya watanzania.
 
Nakubaliana na wewe Bro Pascal, lakini huoni kwamba hivi ni viashiria vya kuparanganyika kwa huu muungano?

Maana pasaport ni document tu, ikiwa watoto wa kizanzibari watazaliwa na kuikuta hii mentality ya sisi wazanzibari, ina maana na wao wata adopt hii mentality na itakuwa rahisi kuipa tangibility ya kujitoa rasmi kwenye huu utanzania wa makaratasi.
Kwani wa wakijitoa unapata hasara gani ?..
 
Na Watanganyika wote huko Zanzibar tunaitwa "Machogo"

Hata Mama Samia akiwa kwako hivyo ndivyo anavyotuita, wabaguzi kweli washen** hao
Cha ajabu anauekuita "Machongo" ni mweusi Kama wewe.. kisa tu mnatofautiana imani.
 
Kuna mzanzibar ila hakuna mtanganyika fikiria kwanza hilo kisha ujiulize mtanzania ni yupi
 
Umenikumbusha wasudan ni weusi tii, lakini zikichezwa mechi kati ya waarabu na waafrika kwa sababu wao wanaongea kiarabu wanaenda upande ule wa waarabu. Waafrika tunaishia kutazamana na kucheka tu.
Ukiitazama hiyo, labda ungeweza kujifunza kwamba "uarabu" si swali la rangi bali utamaduni?
 
Sijui mpaka lini tuwalazimishe hao watu si tuwaache waene zao bhana

Nimesikia tumekopa na pesa kibao zimepelekwa huko na tutazilipa sisi

Mi nataka aje kiongozi mmoja asemw sasa bhasi
 
Mkuu Naantombe Mushi , usemayo ni kweli, hakuna tatizo lolote kwa mtu yoyote kujinasibu vyovyote vile apendavyo kwa nafsi yake, as long as utambulisho rasmi wa kimataifa ni Passport, hivyo kwa mujibu wa utambulisho rasmi unaojulikana kimataifa, hakuna cha Mzanzibari, Mzanzibara, wala Mpemba, Tanzania ina uraia mmoja tuu, Mtanzania, hivyo Mzanzibari kujinasibu kwa Uzanzibari wake ni rukhsa kwa ajili ya kujifurahisha na kuifurahisha nafsi yake, ila kimataifa hakuna Mzanzibari bali kuna mtu mmoja tuu, Mtanzania, na hao Wazanzibari wote wanaojinasibu na Uzanzibari wao ni kujinasibu tuu, ukweli ni kuwa hao wote ni Watanzania, na passport zao ni za Tanzania.
P
Nyerere alishasema kwenye hotuba zake hakuna uzanzibar wala uzanzibar

Kama mwasisi anasema hivyo wewe unangoa porojo tu hapa
 
Ukiitazama hiyo, labda ungeweza kujifunza kwamba "uarabu" si swali la rangi bali utamaduni?
Rangi ni muhimu pia. Kuna ile hali ya mwarabu kujiona wa maana na imerithishwa kwa watu weusi.

Ni binadamu tu kama mimi na wewe tena ni washenzi sana kama ukiwafahamu vyema.
 
Ni nadra sana kumkuta Mtanzania wa visiwa vya Zanzibar akijitambulisha kwamba yeye ni Mtanzania.

Nimefanya utafiti wangu usio rasmi kuhusu hili suala. Ukimkuta Mzanzibari nje ya nchi, halafu ukamuuliza ikiwa yeye ni mtanzania, mara nyingi utapokea jibu kwamba 'Mimi ni Mzanzibari'.

Yaani ni kwamba wazanzibari wengi huwa wanajaribu kwa namna yeyote, kuukwepa utanzania na wengi hawapendi kuitwa watanzania. Kwa waliotembea uarabuni mtathibitisha hili. Yaani ukitaka ukosane na mzanzibari huko arabuni, basi we muite mtanzania.

Inaonekana ni kama wazanzibari wanahisi tayari wapo daraja fulani hivi la juu, hivo kitu utanzania ni kuwashusha hadhi.

Hili jambo ni moja ya mambo ambayo nahisi yanahitaji uwepo wa serikali tatu, maana huko tunapoenda, itafika mahali hata sisi wa bara tutatamani kuitwa watanganyika.

Mi binafsi naanza kuchukia jina Tanzania. Maana yake sioni faida ya huu muungano ambao, kuna upande unautweza wazi wazi.
Unahangaishwa na jambo dogo sana.

Hawa watu chini ya milioni mbili ndio uhangaike na mambo yao, uache picha kubwa ya milioni karibia ya 60? Muda si muda, wengi wao watakuwa na makazi hapa bara; na ikishatokea hivyo, tayari wametekwa, hawana njia tena ya kutokea.

Mtu aje aishi hapa miongoni mwetu halafu abaki na U-Zanzibar wake, mbona atapata shida sana.

Kwa hiyo nakusihi uwape muda tu, huo ukorofi wao watautupilia mbali muda si mwingi.
 
Ukiitazama hiyo, labda ungeweza kujifunza kwamba "uarabu" si swali la rangi bali utamaduni?
Hapana.

Hii itakuwa ni 'definition' mpya.
Waarabu toka zama na zama wanajulikana ni watu wa eneo gani na 'features' zao za maumbile zinajulikana, ikiwa pamoja na rangi ya ngozi inayowatambulisha. Of course, utamaduni ni sehemu moja tu ya utambulisho wao.

Itakuwa ni jambo la kushangaza kumwona mTanzania asili (mweusi), akijitambulisha kuwa yeye ni mwarabu, kwa vile yeye anafuata tamaduni za kiarabu!
 
Back
Top Bottom