Tetesi: Wazanzibari wengi wanautweza Utanzania, shida ipo wapi?

Tetesi: Wazanzibari wengi wanautweza Utanzania, shida ipo wapi?

Hahahahahaahahah!

Deep down your heart inakuuma wao kufanya hivyo.
Utambulisho wa uraia is something to be proud of, ni uzalendo kama ulivyo utambulisho wa mahusiano.

Zamani Binti Zanzibar alikuwa huru na utambulisho wake na passport yake na kiti chake kule UN.

The same applies for Tanganyika.

Wakaanzisha mahusiano mapya ya muungano kama ndoa, wawili hawa, wakaungana kwa upendo na kuwa kitu kimoja, Tanzania.

Hivyo Zanzibar na Tanganyika ndio yule Bwana wa zamani, Bwana mpya wa sasa ni Tanzania!.

Kama nilivyoeleza muungano wetu ni kama ndoa, kuna the provider, the breadwinner and the recipient, hivyo ni kweli the breadwinner ni kama ana kiwivu fulani, kila mara mwenza wake anapojitambulisha kwa kujisibisha na yule Bwana wake wa zamani!, just imagine hata ungekuwa wewe, Relief Mirzska , kwa huyo mume aliyekuoa sasa, wewe ni chuo cha pili. Kila mkitoka out, mumeo anakutambulisha, huyu ndio mke wangu wa sasa, baada ya kuachana na Binti Sultan (mke wake wa kwanza), ndio sasa nimemuoa huyu bi Relief Mirzska !. Utafurahi?.
p
 
Kama kilivyokuwepo kitambulisho cha Mzanzibar basi itakuwepo na passport ya Mzanzibar
Kwa hilo la Passport, mtasubiri sana!. Ila mkiamua mnaweza, kama wimbo wa taifa mliomba mkapewa, bendera nayo mnayo mnaipandisha japo mwisho chumbe, yake mafuta ya kwenye kinibu pia nimepewa, hiwezi jua na hili la uraia, Zanzibar ikarejesha passport yake, hili likifanyika inabaki kugawana fito tuu, kila mtu ashike lwake!.
P
 
Utambulisho wa uraia is something to be proud of, ni uzalendo kama ulivyo utambulisho wa mahusiano.

Zamani Binti Zanzibar alikuwa huru na utambulisho wake na passport yake na kiti chake kule UN.

The same applies for Tanganyika.

Wakaanzisha mahusiano mapya ya muungano kama ndoa, wawili hawa, wakaungana kwa upendo na kuwa kitu kimoja, Tanzania.

Hivyo Zanzibar na Tanganyika ndio yule Bwana wa zamani, Bwana mpya wa sasa ni Tanzania!.

Kama nilivyoeleza muungano wetu ni kama ndoa, kuna the provider, the breadwinner and the recipient, hivyo ni kweli the breadwinner ni kama ana kiwivu fulani, kila mara mwenza wake anapojitambulisha kwa kujisibisha na yule Bwana wake wa zamani!, just imagine hata ungekuwa wewe, Relief Mirzska , kwa huyo mume aliyekuoa sasa, wewe ni chuo cha pili. Kila mkitoka out, mumeo anakutambulisha, huyu ndio mke wangu wa sasa, baada ya kuachana na Binti Sultan (mke wake wa kwanza), ndio sasa nimemuoa huyu bi Relief Mirzska !. Utafurahi?.
p
Nimefurahi na kushkuru wewe kunitukana.

Hii post najua kwa kuipeleka na najua itasaidia katika "harakati" zetu.

Ubarikiwe Pascal 😁😁😁
 
Kwa hilo la Passport, mtasubiri sana!. Ila mkiamua mnaweza, kama wimbo wa taifa mliomba mkapewa, bendera nayo mnayo mnaipandisha japo mwisho chumbe, yake mafuta ya kwenye kinibu pia nimepewa, hiwezi jua na hili la uraia, Zanzibar ikarejesha passport yake, hili likifanyika inabaki kugawana fito tuu, kila mtu ashike lwake!.
P
Hakuna marefu yasiyo na ncha.

Hata zamani watwana wenzio walisema haitowezekana Sisi kuwa na wimbo wetu, au bendera yetu.

Pole pole ndio mwendo na tutafika tu.
 
Nimefurahi na kushkuru wewe kunitukana.

Hii post najua kwa kuipeleka na najua itasaidia katika "harakati" zetu.

Ubarikiwe Pascal 😁😁😁
Duh...!. Yamekuwa hayo?!.
Haya peleka tuu, labda itasaidia kuharakisha!, ila hala hala nisije kutafutwa, kuitwa na kuhojiwa, pale nimeuliza swali na alama ya kuuliza nikaiweka.
Na hapa nauliza tena, hata ungekuwa wewe Relief Mirzska , ungefurahi?
P
 
we ni mchaga mbona mna wivu sana wazanzibar hamuwawezi wacha wajiproud kivyao na nyie mnavyoleta ubinafsi wenu na ushamba huku bara ni wabaguzi sana
 
Subutu yake!

Hivi ndivyo Lukuvi alivyowadanganya!

Zanzibar was way far developed before this union. Na the only thing holding Zanzibar back is this union.

Usingekuwa huu muungano Zanzibar ingekuwa level za United Arab Emirates huko.

Kindly take note.
Unajidanganya sana, mbona Comoro haijawa ?!. Lakini ni vizuri mkaachwa mjisimamie badala ya mizigo yenu kubebeshwa Tanganyika na waTanganyika.
 
Unajidanganya sana, mbona Comoro haijawa ?!. Lakini ni vizuri mkaachwa mjisimamie badala ya mizigo yenu kubebeshwa Tanganyika na waTanganyika.
Comoro ni Comoros na Zenjibaar ni Zenjibaar!

Hili la kuachwa limepiganiwa miaka na miaka, ila kwa sababu ya ubinafsi wenu eti sasa hivi ndio mnaona linafaa kwa kuwa tu Rais wa JMT ni Mzanzibar na anafanya haki kwa Wazanzibari
 
Ni nadra sana kumkuta Mtanzania wa visiwa vya Zanzibar akijitambulisha kwamba yeye ni Mtanzania.

Nimefanya utafiti wangu usio rasmi kuhusu hili suala. Ukimkuta Mzanzibari nje ya nchi, halafu ukamuuliza ikiwa yeye ni mtanzania, mara nyingi utapokea jibu kwamba 'Mimi ni Mzanzibari'.

Yaani ni kwamba wazanzibari wengi huwa wanajaribu kwa namna yeyote, kuukwepa utanzania na wengi hawapendi kuitwa watanzania. Kwa waliotembea uarabuni mtathibitisha hili. Yaani ukitaka ukosane na mzanzibari huko arabuni, basi we muite mtanzania.

Inaonekana ni kama wazanzibari wanahisi tayari wapo daraja fulani hivi la juu, hivo kitu utanzania ni kuwashusha hadhi.

Hili jambo ni moja ya mambo ambayo nahisi yanahitaji uwepo wa serikali tatu, maana huko tunapoenda, itafika mahali hata sisi wa bara tutatamani kuitwa watanganyika.

Mi binafsi naanza kuchukia jina Tanzania. Maana yake sioni faida ya huu muungano ambao, kuna upande unautweza wazi wazi.
Hoja nzuri uliyoileta
ni ukweli usiofichika kwa maana naweza kusema kua Wazanzibari wengi tunapenda kuitwa Mzanzibari na tena hujisikia faraja sana tukiitwa Mzanzibari kuliko mtanzania maana hata katika historia Zanzibar ilikuwepo mwanzo kuliko hiyo tanzania
sio vibaya nawewe ukapenda na ukaona fakhari kuitwa mtanganyika

asante kwa kusoma
Zanzibar kwanza
 
N hulka ya asili. Hata kwenye zile sherehe za mwaka mpya au krismas za nje ya nchi huwa wanajitenga wanafanya kivyao katika chumba fulani cha hosteli fulani.

Watu wa bara tunabakia midomo wazi tusijue tuongee nini. Lakini hili linchi ni likubwa na watu wake ni matajiri wa moyo, huwa tunasamehe upesi sana na kuendelea na maisha mengine.
Uko sahihi, let's say colleges zote za ulaya na Asia hufanya ivo. Yaani ni kama Mmorocco na baadhi ya waarabu wa kaskazini anavoukataaga ubara wa Africa katika tafrija zotee za students na makazi ughaibuni, wao husema sio waafrika hata kama mkiwa na kitu cha pamoja wao hawamo na hujitenga, na hata wakijitambulisha hawapendi kusema front africa.

Ni sawa na mbiafra wa Nigeria, msawari wa Sahara ya Morroco na mhong kong wa Uchina hawatakagi hiyo story ya utambulisho wa jumla.

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Comoro ni Comoros na Zenjibaar ni Zenjibaar!

Hili la kuachwa limepiganiwa miaka na miaka, ila kwa sababu ya ubinafsi wenu eti sasa hivi ndio mnaona linafaa kwa kuwa tu Rais wa JMT ni Mzanzibar na anafanya haki kwa Wazanzibari
Hii kitu haina faida kwa Tanganyika ni mizigo tu. Muungano uridhiwe na wote , lakini kama wengine wanajiona wa levo nyingine huku siyo, ni bora mkaachwa .

Tumeona miungano mingi ikifa na maisha yakaendelea. USSR , Ugoslavia, Senegambia etc. Sasa hii ya hapa na haina jipya ni swala la muda. Yoote haya ni kwa sababu ya Ccm . Siku wakikaa wenye akili kwishnei
 
Msiwatupie lawama Wazanzibari na wala msiwasingizie ubaguzi. Tatizo lipo tangu Nyerere alivyofanya vamizi Zanzibar, ameshindwa kuleta maendeleo. Umaskini umezidi, watu wananyimwa haki sasa Utanzania umeleta faida gani? Zanzibar ingeungana na Oman badala ya Tanganyika, leo Zanzibar ingekuwa kama Muscat. Sasa kwa nini Wazanzibari waupende Utanzania ulioshindwa kutatua matatizo yao, ulioshindwa kuleta maendeleo?


Nani kakudanganya mkoloni atakuletea maendeleo. Miaka yote oman ilitawala zanzibar nn cha maana imeacha
 
Siku Visiwa vikianza kuzama kwa sababu ya mabadiliko ya tabia nchi ndo wataelewa kwann wao wanaitwa wazanzibar..
Sikuzote aliebebwa hujiona wathaman sana kuzidi aliembeba.. ila akishaanza kutembea mwenyewe ndo anaelewa umuhimu wa kuwa na shukrani!

Usingekua muungano bila Shaka Zanzibar ingekua ni koloni la Islamic State by Now!!
In Sha Allah havitozama
suala la Muungano sio tatizo hata leo uvunjike hakuna shida na ishu kua Islamic State ni ndoto kwa kila muislam kuwe na dola ya Kiislam
Zanzibar itakuwepo na itazidi kuwepo In Sha Allah
 
Hiyo ni Kero . Wazanzibar washakiwa brain washed hata ughaibuni wanajitengatenga .wanaamini katika light skin kuwa ni waarabu na waarabu wanaona Kwa wao ndo kila kitu .wenyewe wanaita rangi ya mtume . Utakuta mtu rangi imefubaaaaa yeye kichwani anaamini ni mwarabu na wengine kwake ni bullshit .it's just colonial mentality
Kuna watu ni wapuuzi sana ukikaa na hao watu utaona sijui akili zao zina tope la mavi yaaan wanamuona mwarabu km sijui ni nani kumbe waarabu nao ni wapuuuzi tu unakuta jitu linajitenga na nyie linajionaaa hua nacheka tu ukija kujua kumbe baba yake ni mnyamwezi ama mmakonde walio mama kaibia kwa mwarabu.Wangejua waarabu wanavowachukulia watu weusi hata kujikomba kwao wasingetaka ni bora hata ya mzungu .
 
Hata wewe tunakushangaa kwenye kichwa cha uzi wako umesema ''wazanzibari''walau ungesema watanzania wa visiwani!!!.
 
Back
Top Bottom