Tetesi: Wazanzibari wengi wanautweza Utanzania, shida ipo wapi?

Zanzibar ni nchi feki. Hawana jeshi ni maneno tu.
 
Ha ha haaa...
Naona unafunika kichwa kwenye mchanga ukijifariji kila kitu kipo sawa kama udhaniavyo.

Zanzibar haijawahi kuwa koloni la Oman Sultanate?
Hujui maana ya koloni kumbe. Jee Hawaii leo ni koloni la Marekani?
 
We are talking about Zanzibar and not other similar states not Hawaii.
Tunaongelea Zanzibar na wewe ukatoa mfano wa visiwa vya UK na France. Kwa nini na mimi nisitoe mfano wa visiwa vya Hawaii?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…