Wazanzibari wengi (weusi) ni descendants wa Slavery

Wazanzibari wengi (weusi) ni descendants wa Slavery

Unatumia nguvu nyingi kuzungumza Pumba mkuu, Wazanzibari wenye asili ya Utumwa mbona wanajulikana, Hata ukienda Zanzibar wanajuana. Ila sio wote kama unavyojaribu kumaanisha. Na wengi wao ni waumini wa CCM.
Hawa hawaijui historia ya Zanzibar wamebaki wanarukia rukia tu. Ni kweli watu wenye asili ya utumwa wanajulikana vyema kwani jamii za watu wa visiwani zilikuwepo kabla ya hata hiyo biashara ya utumwa kuwepo.

Huyo Seyyid Said alipokuja visiwani alikuta watu wanaishi na wanafanya yao.
 
Lkn bado haujakijibu hata ulichokiandika wewe mwenyewe, Wanzanzibari weusi waliotokea Kigoma na Tabora a long hiyo line walifikaje Zanzibar?
Zamani wakati wa msimu wa kuchuma karafuu kulikuwa na meli special ya kuchukua vibarua kutoka bara kwa ajili ya kufanya kazi hiyo.

Ndiyo wengine wakabaki kulowea huku. Sasa sisi huku wote huwa tunawaita Wanyamwezi hatujui kabila jengine.
 
Zamani wakati wa msimu wa kuchuma karafuu kulikuwa na meli special ya kuchukua vibarua kutoka bara kwa ajili ya kufanya kazi hiyo.

Ndiyo wengine wakabaki kulowea huku. Sasa sisi huku wote huwa tunawaita Wanyamwezi hatujui kabila jengine.

Hiyo ya karafuu ni ya juzi, unaweza kuita ni kundi la pili lakini kundi la kwanza waliuzwa utumwani kutokea Kigoma, Tabora mpaka Bagamoyo na Zanzibar ilitokea miaka ya nyuma zaidi wakati wa Tippu Tip, kabla hata ya Ukoloni wa Kizungu zaidi ya miaka 150 iliyopita.
 
Hiyo ya karafuu ni ya juzi, unaweza kuita ni kundi la pili lakini kundi la kwanza waliuzwa utumwani kutokea Kigoma, Tabora mpaka Bagamoyo na Zanzibar ilitokea miaka ya nyuma zaidi wakati wa Tippu Tip, kabla hata ya Ukoloni wa Kizungu zaidi ya miaka 150 iliyopita.
Ukisoma historia karafuu imekuja visiwani kabla ya Tippu Tip. TT ameishi katika miaka ya kuanzia 1850 mpaka 19... Ninacho kitabu chake alichoandika mwenyewe (autobiography).
 
Kabla ya mipaka migration ilikuwa ni kawaida. Bibi yangu mzaa mama babu zake walikua Wahabesh walisafiri na mifugo wa kuweka makazi Korogwe.
 
Caravan ilianzia Congo... wamanyema, waha, wanyamwezi ndo wazanzibar wa leo. Ndo maana unaona jina Karume lina asili ya Congo kwa wamanyema. Kuna Karume wengi sana Congo. Sema wazanzibar wengi wana mentality ya kiutumwa ( am sorry to say this - lakin ndo ukweli wenyewe) , wanakataa asili yao ya bara, wapo tayari waambiwe walitokea Oman, watakubali na kuchekelea, kuliko kuambiwa wametokea bara. Slave mentality!
 
Wengi ukiongolea Utumwa wanafikiri ni wale tu waliosafirishwa kwa meli mpaka Amerika, wanasahau kwamba Biashara ya utumwa ilifanyika hapa hapa pia, mfano wengi wanaojiita Wazanzibari leo hii walitokea Bara na walifika huko kama Watumwa, waliuzwa utumwani na akina Tippu Tip , Tippu Tip aliwanunua kutoka Kigoma, Tabora na kuwauza Bagamoyo na Zanzibar.

Hivyo wengi weusi Wazanzibari ni mzao wa Utumwa na ndio jinsi walivyofika Visiwani kutokea Kigoma, Tabora kufwata hiyo caravan.
Stupid.
Kwa hiyo walipoingia waafabu walikuta visiwa vitupu?
Tumia akili ndogo tu ya kuzaliwa.
 
Stupid.
Kwa hiyo walipoingia waafabu walikuta visiwa vitupu?
Tumia akili ndogo tu ya kuzaliwa.

Huo ushauri ulipaswa uutumie wewe labda kwa kujifunza kwanza kusoma na kuelewa kilochoandikwa kabla ya kujibu, nimeandika“Wazanzibari wengi weusi“, got it ?
 
Unatumia nguvu nyingi kuzungumza Pumba mkuu, Wazanzibari wenye asili ya Utumwa mbona wanajulikana, Hata ukienda Zanzibar wanajuana. Ila sio wote kama unavyojaribu kumaanisha. Na wengi wao ni waumini wa CCM.
Unaona sasa akili yako ilivyo ndogo??,Sasa CCM inakujaje hapa??.
 
Caravan ilianzia Congo... wamanyema, waha, wanyamwezi ndo wazanzibar wa leo. Ndo maana unaona jina Karume lina asili ya Congo kwa wamanyema. Kuna Karume wengi sana Congo. Sema wazanzibar wengi wana mentality ya kiutumwa ( am sorry to say this - lakin ndo ukweli wenyewe) , wanakataa asili yao ya bara, wapo tayari waambiwe walitokea Oman, watakubali na kuchekelea, kuliko kuambiwa wametokea bara. Slave mentality!
Hakuna mwenye slave mentality nyinyi ndiyo munataka kuforce kuwa lazima Wazanzibari wote waseme wanatoka Bara, kitu ambacho siyo kweli kabisa.

Wapo walio na asili yao hapa karne nyingi hata kabla ya utumwa na siyo lazima wawe wametokea Tanganyika. Hivi visiwa vilikuwa vya biashara kwa hivyo kuna mchanganyiko wa watu kutoka maeneo tafauti ya dunia (India, Uturuki, Ethiopia na kadhalika).

Wapo ambao wana asili ya bara kama wahamiaji na pia kwa wale ambao wazazi wao wanatokana na utumwa (wanaeleweka kabisa).

Wako ambao wazazi wao wametokea Oman na wamechanganyika na Waswahili wa visiwani au wabara. Hao pia wanaeleweka.

Shida yenu nyinyi munadhani sisi hatujui mizizi yetu (huku wanaita silsila) - wrong!
 
Huo ushauri ulipaswa uutumie wewe labda kwa kujifunza kwanza kusoma na kuelewa kilochoandikwa kabla ya kujibu, nimeandika“Wazanzibari wengi weusi“, got it ?
Tupe breakdown ya hao weusi na waarabu/weusi nusu na waarabu.
Tukate mzizi wa fitna.
Semantics hazisaidii argument yako.
 
Ninachokiona hapa kila anayechangia anatoa maoni ya alichosoma au alichoambiwa kuhusu Zanzibar.

Kabla ya kutukanana hebu mjiulize hivi Visiwa vipo tangu lini?. Je historia ya kuwa ilikuwa ni sehemu ya Bara iliyomeguka ni sahihi?.

Ni ajabu kuona mmoja anaamua kumtolea Mwenzake matusi huku akimpinga...sasa si uje na taarifa uliyonayo wewe Watu tuisome kama yeye alivyoileta hakuna ulazima wa kutukana.

Mtu unapohoji kama Visiwa vilikutwa bila Watu, sasa kwani hilo haliwezekani?. ni huenda walitoka mbali sana au walitoka maeneo ya jirani..siku zote lazima wapo waliofika hapo kwanza na walikuta Kisiwa kikiwa tupu au kina Viumbe/Wanyama n.k...vipi pia kama kulikuwa na mapambano ya umiliki na hakuna maandiko wala simulizi?.

Na vipi kuhusu Kisiwa cha Mafia?.

Hofu yangu ni kuwa tunabisha tu kwa tusilolifahamu kwa usahihi.
 
Hakuna mwenye slave mentality nyinyi ndiyo munataka kuforce kuwa lazima Wazanzibari wote waseme wanatoka Bara, kitu ambacho siyo kweli kabisa.

Wapo walio na asili yao hapa karne nyingi hata kabla ya utumwa na siyo lazima wawe wametokea Tanganyika. Hivi visiwa vilikuwa vya biashara kwa hivyo kuna mchanganyiko wa watu kutoka maeneo tafauti ya dunia (India, Uturuki, Ethiopia na kadhalika).

Wapo ambao wana asili ya bara kama wahamiaji na pia kwa wale ambao wazazi wao wanatokana na utumwa (wanaeleweka kabisa).

Wako ambao wazazi wao wametokea Oman na wamechanganyika na Waswahili wa visiwani au wabara. Hao pia wanaeleweka.

Shida yenu nyinyi munadhani sisi hatujui mizizi yetu (huku wanaita silsila) - wrong!
Mi naongelea majority ya watu weusi.. asili yao ni huku bara. Na haina maana lazima iwe Tanzania, inaweza kuwa Burundi, Congo nk... Lakin huwezi kuona wana acknowledge mizizi yao. Hata marekani wazungu wamejaa pale wametoka kila pande ya dunia. Lakin huwa wanasema kuwa asili yao, kama ni German, Irish, Italian nk. Lakin sijawahi kumsikia mzanzibar yoyote akisema kuwa mimi asili yangu ni mnyamwezi, au Muha, au Manyema..au hata kutumia jina la ukoo wao wa asili, utasikia mimi naitwa Seif Khalfan Seif kwa mfano, majina yote ya kiarabu. Anaogopa nini kutumia ubini wa mababu zao? Kwanini asiseme Mimi Seif Khalfan Masanja kwa mfano? wanaogopa nini? Inamaana wazazi wao wote walikuwa hawajui walikotoka na majina yao ya kibantu? Watu wa Zanzibar Wapo tayari kuikana asili yao ya kibantu na kujifanya wao ni waarabu. Slave mentality. Mnasumbuliwa na kutaka kujinasibisha na waarabu. Na hapa ndio utajua wengi wenu utumwa bado upo vichwani mwenu. MKATAA KWAO NI MTUMWA!!
 
Caravan ilianzia Congo... wamanyema, waha, wanyamwezi ndo wazanzibar wa leo. Ndo maana unaona jina Karume lina asili ya Congo kwa wamanyema. Kuna Karume wengi sana Congo. Sema wazanzibar wengi wana mentality ya kiutumwa ( am sorry to say this - lakin ndo ukweli wenyewe) , wanakataa asili yao ya bara, wapo tayari waambiwe walitokea Oman, watakubali na kuchekelea, kuliko kuambiwa wametokea bara. Slave mentality!
Mzee Nenda Wikipedia Karume amezaliwa Malawi(Nyasaland) mwaka 1905 ,sijui alifikaje Zanzibar ila ni mzaliwa wa Malawi ,Wikipedia inasema hivyo
 
Hivi kwanini waende all the way mpaka kigoma? ukiangalia na changamoto ya usafiri kipindi hicho, kwanini wasingewakamata watu wa pwani tu kurahisisha mambo?
 
Back
Top Bottom