Wazanzibari wengi (weusi) ni descendants wa Slavery

Wazanzibari wengi (weusi) ni descendants wa Slavery

Mzee Nenda Wikipedia Karume amezaliwa Malawi(Nyasaland) mwaka 1905 ,sijui alifikaje Zanzibar ila ni mzaliwa wa Malawi ,Wikipedia inasema hivyo
Sijasema Karume huyo unaemjua lazima awe mkongo. Nimetoa mfano tu kuonyesha wazanzibar wengi wanatoka huku bara. Hata Congo kina Karume wapo wengi tu.
 
Umekurupuka
Hujasoma nimekiri nini? Unakwapua uendeleze upotoshaji wa umma na umbumbumbu wa historia unayotaka wewe umma uamini.

Again, Kwa Taarifa yako Wazanj ni watu weusi. Waarabu ndio waliwakuta hawa watu wa kutoka huko congo wakiwa wanaishi kisiwani humo.
Sasa wewe unakataa nini hapa, au unabisha nini wakati kila kitu ambacho amekisema unaendelea kukubali? Amepotosha nini na wewe unakubali nini?
 
Sasa huu ugonjwa wa kutokuwa na vichogo wameutoa wapi...?
Hakuna ugonjwa kutokuwa na machogo..wakizaliwa tu wakati bado ni wachanga, kichwa kina kinabemendwa na mama zao ili kiwe na shape ya kuvaa kibalaghashee
 
wao hata hawajitambui

mfano mama samia ni ana asili kama mtu wa tabora au tanga hivi...
Mnyamwezi Yule...watu wengi wa Pwani wana asili ya unyamwezini. Walikuja wakabobea huko. Mfano Wakwere ni wanyamwezi
 
Ninachokiona hapa kila anayechangia anatoa maoni ya alichosoma au alichoambiwa kuhusu Zanzibar.

Kabla ya kutukanana hebu mjiulize hivi Visiwa vipo tangu lini?. Je historia ya kuwa ilikuwa ni sehemu ya Bara iliyomeguka ni sahihi?.

Ni ajabu kuona mmoja anaamua kumtolea Mwenzake matusi huku akimpinga...sasa si uje na taarifa uliyonayo wewe Watu tuisome kama yeye alivyoileta hakuna ulazima wa kutukana.

Mtu unapohoji kama Visiwa vilikutwa bila Watu, sasa kwani hilo haliwezekani?. ni huenda walitoka mbali sana au walitoka maeneo ya jirani..siku zote lazima wapo waliofika hapo kwanza na walikuta Kisiwa kikiwa tupu au kina Viumbe/Wanyama n.k...vipi pia kama kulikuwa na mapambano ya umiliki na hakuna maandiko wala simulizi?.

Na vipi kuhusu Kisiwa cha Mafia?.

Hofu yangu ni kuwa tunabisha tu kwa tusilolifahamu kwa usahihi.
Unaongea kimyakimua kwamba Zanzibar ilikutwa Bila watu.
Hacha zako wewe.
 
Ukisoma historia karafuu imekuja visiwani kabla ya Tippu Tip. TT ameishi katika miaka ya kuanzia 1850 mpaka 19... Ninacho kitabu chake alichoandika mwenyewe (autobiography).

Nahitaji ukaribu wako dear najua nitajifunza vingi kutoka kwako mammy...!
 
Hii ina ukweli maana zenji kuna waziri wa elimu anatwa Riziki Pombe John inasemekana ni dada yake Magufuli
 
Back
Top Bottom