Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,351
- 9,855
Sijasema Karume huyo unaemjua lazima awe mkongo. Nimetoa mfano tu kuonyesha wazanzibar wengi wanatoka huku bara. Hata Congo kina Karume wapo wengi tu.Mzee Nenda Wikipedia Karume amezaliwa Malawi(Nyasaland) mwaka 1905 ,sijui alifikaje Zanzibar ila ni mzaliwa wa Malawi ,Wikipedia inasema hivyo
Sasa wewe unakataa nini hapa, au unabisha nini wakati kila kitu ambacho amekisema unaendelea kukubali? Amepotosha nini na wewe unakubali nini?Umekurupuka
Hujasoma nimekiri nini? Unakwapua uendeleze upotoshaji wa umma na umbumbumbu wa historia unayotaka wewe umma uamini.
Again, Kwa Taarifa yako Wazanj ni watu weusi. Waarabu ndio waliwakuta hawa watu wa kutoka huko congo wakiwa wanaishi kisiwani humo.
Hakuna ugonjwa kutokuwa na machogo..wakizaliwa tu wakati bado ni wachanga, kichwa kina kinabemendwa na mama zao ili kiwe na shape ya kuvaa kibalaghasheeSasa huu ugonjwa wa kutokuwa na vichogo wameutoa wapi...?
Mnyamwezi Yule...watu wengi wa Pwani wana asili ya unyamwezini. Walikuja wakabobea huko. Mfano Wakwere ni wanyamweziwao hata hawajitambui
mfano mama samia ni ana asili kama mtu wa tabora au tanga hivi...
Unaona sasa akili yako ilivyo ndogo??,Sasa CCM inakujaje hapa??.
Mmhh niatari kweli [emoji1787][emoji1787][emoji23]Kwani machogo yana faida gani?
Jamani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Unaona sasa akili yako ilivyo ndogo??,Sasa CCM inakujaje hapa??.
Swali zuri kweli.Hivi kwanini waende all the way mpaka kigoma? ukiangalia na changamoto ya usafiri kipindi hicho, kwanini wasingewakamata watu wa pwani tu kurahisisha mambo?
Unaongea kimyakimua kwamba Zanzibar ilikutwa Bila watu.Ninachokiona hapa kila anayechangia anatoa maoni ya alichosoma au alichoambiwa kuhusu Zanzibar.
Kabla ya kutukanana hebu mjiulize hivi Visiwa vipo tangu lini?. Je historia ya kuwa ilikuwa ni sehemu ya Bara iliyomeguka ni sahihi?.
Ni ajabu kuona mmoja anaamua kumtolea Mwenzake matusi huku akimpinga...sasa si uje na taarifa uliyonayo wewe Watu tuisome kama yeye alivyoileta hakuna ulazima wa kutukana.
Mtu unapohoji kama Visiwa vilikutwa bila Watu, sasa kwani hilo haliwezekani?. ni huenda walitoka mbali sana au walitoka maeneo ya jirani..siku zote lazima wapo waliofika hapo kwanza na walikuta Kisiwa kikiwa tupu au kina Viumbe/Wanyama n.k...vipi pia kama kulikuwa na mapambano ya umiliki na hakuna maandiko wala simulizi?.
Na vipi kuhusu Kisiwa cha Mafia?.
Hofu yangu ni kuwa tunabisha tu kwa tusilolifahamu kwa usahihi.
Ukisoma historia karafuu imekuja visiwani kabla ya Tippu Tip. TT ameishi katika miaka ya kuanzia 1850 mpaka 19... Ninacho kitabu chake alichoandika mwenyewe (autobiography).