Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM JamaniHaiwezekani.Hawahawa wauza machungwa wetu hawajui kusoma na ku-write miandiko?🤣🤣🤣😊
CCM watasingiziwa hadi ukosaji wa usingizi.😂😂CCM Jamani
hahaaaaa babu taletale hatari sana ,kimsingi mluguru ni mtu low profile sana hata thinking capacity yakwe ni ndogo sana .Tuanze wa Wabunge wao.
Hata hapa Dodoma wenyeji wengi kusoma ni kipengere!Nimekutana na wazawa wa Morogoro kutoka sehemu tofauti tofauti, wanaume kwa wanawake.
Watu hawa ni kawaida kukuta mume na mke hawajui kusoma na kuandika vizuri na wengine ni ukoo mzima, wanatatizo gani hawa.
Ndugu zetu?
Ila kwa kuongea ujingaujinga huwawezi.Na wanajua kumenya/kufua madafu hatari.hahaaaaa babu taletale hatari sana ,kimsingi mluguru ni mtu low profile sana hata thinking capacity yakwe ni ndogo sana .
Hahahaa yule kusoma vizuri ngumu sana hawezihahaaaaa babu taletale hatari sana ,kimsingi mluguru ni mtu low profile sana hata thinking capacity yakwe ni ndogo sana .
aawapi unakumbuka spika alimpiga spana Bungeni kuwa asijiite Dokta atatia aibu , kweli hiyo nchi ngumu sana madokta wa lasaba kama wote na ndio wamejaa bungeniHahahaa yule kusoma vizuri ngumu sana hawezi
Na ndiyo wanatuchambulia readings & bills.aawapi unakumbuka spika alimpiga spana Bungeni kuwa asijiite Dokta atatia aibu , kweli hiyo nchi ngumu sana madokta wa lasaba kama wote na ndio wamejaa bungeni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kipindi cha nyuma nilijuaga mtu akijua kuongea basi na kusoma anajua ebhanaeee
Kuna sehemu nilifika watu vijana na viduku vyao kumbe kusoma hawajui
kusoma na kuongea ni vitu viwili tofauti, kuna dogo mmoja aliambiwa ukiandika jina lako unapewa gunia la mpunga alikuwa mkali huyo kaona amedharauliwaKipindi cha nyuma nilijuaga mtu akijua kuongea basi na kusoma anajua ebhanaeee
Kuna sehemu nilifika watu vijana na viduku vyao kumbe kusoma hawajui
Nini shida has a?Hata hapa Dodoma wenyeji wengi kusoma ni kipengere!
kusoma na kuongea ni vitu viwili tofauti, kuna dogo mmoja aliambiwa ukiandika jina lako unapewa gunia la mpunga alikuwa mkali huyo kaona amedharauliwa
Kipindi cha nyuma nilijuaga mtu akijua kuongea basi na kusoma anajua ebhanaeee
Kuna sehemu nilifika watu vijana na viduku vyao kumbe kusoma hawajui
Hii ni maalumu kwa waluguruKwani wa mkoa gani wanajua vizuri kaka? Kwani hujui ni miaka 60 sasa tunapambana na Ujinga, maradhi na umaskini na hakuna hata mmoja tumefika hata nusu tu?
Kipindupindu kila mwaka kinatutembelea ina maana bado tunakula mavi miaka 60 baada ya ukoloni mkongwe
Makundi,unakuta wako vijana 10wanaoenda shule ni Wewe TU na hakuna mzazi anayehimiza kwenda shule!Nini shida has a?
liWagogo wamezidi hawajui kabisa kusoma na kuandika.
Kweli nature ina balance! Yaan kwenye kuongea wanajiweza kweli unaweza ukafikiri umekutana na mtu mjanja wa maana, mwambie sasa hata save namba ya Simu atakavyorukaruka.Nimekutana na wazawa wa Morogoro kutoka sehemu tofauti tofauti, wanaume kwa wanawake.
Watu hawa ni kawaida kukuta mume na mke hawajui kusoma na kuandika vizuri na wengine ni ukoo mzima, wanatatizo gani hawa.
Ndugu zetu?
Ukimtumia sms yeye anakutwangia na kukuuliza nani mwenzangu!?umetoka namba tuu ,kumbe kasave ila kusoma kipengere!Kweli nature ina balance! Yaan kwenye kuongea wanajiweza kweli unaweza ukafikiri umekutana na mtu mjanja wa maana, mwambie sasa hata save namba ya Simu atakavyorukaruka.