TheForgotten Genious
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 2,087
- 3,156
- Thread starter
-
- #41
Kweli nature ina balance! Yaan kwenye kuongea wanajiweza kweli unaweza ukafikiri umekutana na mtu mjanja wa maana, mwambie sasa hata save namba ya Simu atakavyorukaruka.
Wanaongeza kura za inafaa hiiNa ndiyo wanatuchambulia readings & bills.
Na wanasababisha kweli,unafikiri mtu atapata vipi usingizi ilihali maisha magumu madeni kibao?CCM watasingiziwa hadi ukosaji wa usingizi.😂😂
Kwa nchi nzima, hamna kwenye nafuu! Kwani kinondoni na Ilala karibu kabisa na Ikulu wanajua kusoma na kuandika vizuri? Kila mwaka kipindupindu kinatembelea Buguruni kwani ni kwa waluguru hapo? Ujinga na umaskini hauna kabila kiongozi, percent ya wajinga imeongezeka sana kwa sasa japo ilipungua miaka ya 80 na 90.Hii ni maalumu kwa waluguru
Babu Tale kea DiddyTuanze wa Wabunge wao.
Waluguru ndo wakazi wa hukoKwa nchi nzima, hamna kwenye nafuu! Kwani kindondoni na Ilala karibu kabisa na Ikulu wanajua kusoma na kuandika vizuri? Kila mwaka kipindupindu kinatembelea Buguruni kwani ni kwa waluguru hapo?
Upo sahii mkuu I'll tatizo lipo sehemu nyingi ya nchi hii ata ukienda mikoa ya kusini ni shida kubwa.Nimekutana na wazawa wa Morogoro kutoka sehemu tofauti tofauti, wanaume kwa wanawake.
Watu hawa ni kawaida kukuta mume na mke hawajui kusoma na kuandika vizuri na wengine ni ukoo mzima, wanatatizo gani hawa.
Ndugu zetu?
Kwamba hawaendi shule au manunda?Upo sahii mkuu I'll tatizo lipo sehemu nyingi ya nchi hii ata ukienda mikoa ya kusini ni shida kubwa.
Kwamba não hawajui kusoma kama wao?Wanakuambia mkoa wao una vyuo lukuki ila wasomi wa vyuo hivyo hawana tofauti na wao
Wanajiona wako sawa tuKwamba não hawajui kusoma kama wao?
Kulingana na idadi ya wakazi niliokutana nao ni zaidi ya asilimia 70Utafiti umeufanyia kwenu?
Ni asilimia ngapi?
Bora umeniwahi, Tandahimba, Newala,Mahuta, Kitangari, Nanyamba na vijiji vya jirani vyote hakuna shule, mtu kutokujua kusoma na kuandika ni kawaidaHuwajui wamakonde wewe
Wanaogopa kwenda shule maana watakula nguruwe cha ajabu panya wanakula ila nguruwe ndo hawaliBora umeniwahi, Tandahimba, Newala,Mahuta, Kitangari, Nanyamba na vijiji vya jirani vyote hakuna shule, mtu kutokujua kusoma na kuandika ni kawaida
Waruguru❌Waruguru wamepata mtetezi, kwahiyo ccm itawasaidiaje au ndio basi tena
alafu kwa ubishi wapogoro ni kama desturi yao
Anza kutaja majinaTuanze wa Wabunge wao.
Mafisa kwa mambi,bima,mzambarauni au mwanzo mwisho🤣🤣🤣 ukitaja mafisa kuna watu watakimbiaHatimae wa Mafisa mmefikiwa 😂😂 binti kiziwi