secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 2,998
- 4,948
Ila kuzaliwa, kuishi na hata kufa bila kujua kusoma na kuandika ni aibu iliyopindukia na naweza kuita dhambi.Akiwa akipaka na Carolite ndio basi
Hawalijui Hilo wao kuoa na kuolewa overY
Ila kuzaliwa, kuishi na hata kufa bila kujua kusoma na kuandika ni aibu iliyopindukia na naweza kuita dhambi.
Nimekutana na wazawa wa Morogoro kutoka sehemu tofauti tofauti, wanaume kwa wanawake.
Watu hawa ni kawaida kukuta mume na mke hawajui kusoma na kuandika vizuri na wengine ni ukoo mzima, wanatatizo gani hawa.
Ndugu zetu?
Kumbe! Unapataje usingizi kama una hali ngumu ya maisha?CCM watasingiziwa hadi ukosaji wa usingizi.ππ
Asilimia kubwa ni masikini Sanaa,na wanaume utakuta maisha ya kuunga unga ila ameoa wake zaidi ya mmojaUngesema hawana hela ningekuekewa
Asilimia kubwa ni masikini Sanaa,na wanaume utakuta maisha ya kuunga unga ila ameoa wake zaidi ya mmoja
Sasa wengi ni wangapi? Pitia sensa ya 2022, acha utafiti uchwara Mkuuπ€£π€£Nimekutana na wazawa wa Morogoro kutoka sehemu tofauti tofauti, wanaume kwa wanawake.
Watu hawa ni kawaida kukuta mume na mke hawajui kusoma na kuandika vizuri na wengine ni ukoo mzima, wanatatizo gani hawa.
Ndugu zetu?
Nadhani ni wanataaluma wasio elimikaMtaji pekee mdomo na maneno mengi. Morogoro wazawa original lazima wapende elimu ili mambo yawe tofauti.
Kinachonichosha hata waliosoma nao wanatembea mule mule. Mpaka wengine walikuwa maaskofu wakubwa π π π π
Kwamba huelewi mtu akisema wengi,wachache kadhaa?,nimetumia rejea yakule nilichokishuhudia mwenyewe na sio takwimu za sensa.Sasa wengi ni wangapi? Pitia sensa ya 2022, acha utafiti uchwara Mkuuπ€£π€£
Kuanzia 2 ni wengi. Usipotoshe mambo kwa makusudiKwamba huelewi mtu akisema wengi,wachache kadhaa?,nimetumia rejea yakule nilichokishuhudia mwenyewe na sio takwimu za sensa.
Kwamba huelewi mtu akisema wengi,wachache kadhaa?Sasa wengi ni wangapi? Pitia sensa ya 2022, acha utafiti uchwara Mkuuπ€£π€£
Nina wafanyakazi 16 machimbo ulanga wote waluguru 6 hawajui kabisa kusoma na kuandika,10 wanaungaunga,ukiingia huku mtaani wanacheza draft,bao na kunywa kahawa ndio balaa tupu,ndugu zako hawajui bwana weweKuanzia 2 ni wengi. Usipotoshe mambo kwa makusudi
Utamkuta kijana mtanashati anaambana na mtu mwingine wa kawaida kuielekea secret ballot, wakifika kijana anaulizwa "unampa nani kura yako" ndipo kwa sauti ya uchangamfu utasikia kijana akisrma "mi ni kijami Tu"πππWazawa Wengi wa Morogoro hawajui kusoma na kuandika vizuri;
NA NDIO MTAJI MKUBWA WA CHAMA KIKUU.
Ni vigumu kuandika kwenye chungwa la mviringo kuliko kwenye chapati yenye mafuta.Haiwezekani.Hawahawa wauza machungwa wetu hawajui kusoma na ku-write miandiko?π€£π€£π€£π