Wazazi acheni kulaumu wake zetu, Sisi hatuna Pesa za kuwapa wala hatujalogwa



😊😊😊
 
wakwe tumepata nakala punguza kulialia,wazazi waambie vita ya comrade putin imepatisha maisha mjini mwanaume uwe una kiki.mimi mwezi huu nmewapiga desh
 
Hakuna kitun kibaya duniani kama maskini watupu kuoana

Hiyo mada yote inahusisha maskini mawili waliooana kama mke na mume na changamoto wanazokutana kwenye ndoa yao ya kimaskini
 
Waje wao mjini
 
Poleni sana...

Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Nafurahia sana uandishi wako,hakika unafikisha ujumbe maridhawa huku ukifurahisha na kutuacha na tafakuri.

Be blessed mkuu
 
Kila mtu apambane na hali yake, hatujaumbwa kubebeana mizigo.
 
Hakuna kitun kibaya duniani kama maskini watupu kuoana

Hiyo mada yote inahusisha maskini mawili waliooana kama mke na mume na changamoto wanazokutana kwenye ndoa yao ya kimaskini

Kwahiyo masikini wasioane! Kwa maana kuna ule msemo wa “tafuta mume/mke wa levo yako”.
 

Kama kaukweli vile.!![emoji848][emoji848]
 
Kama unataka usiwe na majuto siku za uzee wako nunua mashamba jenga nyumba za kupangisha usijaribu kuwekeza kwa watoto kenge kama hawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…