Wazazi acheni kulaumu wake zetu, Sisi hatuna Pesa za kuwapa wala hatujalogwa

Wazazi acheni kulaumu wake zetu, Sisi hatuna Pesa za kuwapa wala hatujalogwa

Upendo wa mzazi kwa mtoto ni siri ya mzazi..
Nilikuwa nafuata na kufanya lolote ninaloambiwa na mzaz
Kuna kakangu alikuwa mhun hamjali mzaz n.k
Siku nimepata shida nilitukanwa na kubezwa wakti niliwa naugulia maumivu nkasikia yule kakang asiyemjali mzazi kasaidiwa vema kenye shida zake.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom