Wazazi, acheni kuwapotezea muda watoto wa kiume kuwafundisha kupika!

Wazazi, acheni kuwapotezea muda watoto wa kiume kuwafundisha kupika!

Weakman

JF-Expert Member
Joined
Jul 23, 2021
Posts
995
Reaction score
1,607
Kuna wazazi wanazingua Sana!

Wako bize na wanao wa kiume kuwafundisha kupika.

Mwanaume amepewa jukumu kubwa mno la kuitawala Dunia. Jukumu hili linamtaka mtoto wa kiume awe strong mentally and physically.

Mtoto wa kiume achukue muda mwingi kujengewa misingi ya uongozi, utawala, ubunifu na ujenzi wa maisha.

Upishi ni advantage ktk maisha ya mtoto wa kike si wakiume. Mtoto wa kiume hatashindwa kupika ktk maisha ya baadae Kama akiamua kuwa mpishi! Kwa sababu upishi ni Sanaa ambayo imeanzishwa na mwanamume hapo kale.

Ikumbukwe hakuna jambo hapa duniani, iwe Sanaa, sayansi, falsafa ama ufundi ambalo limeanzishwa na kuletwa na mwanamke.

Yote yanayoendelea duniani Ni Mali ya mwanamume, na mwanamke anashiriki kuyafanya Kama mshirika na msaidizi wa mwanamume.

Kuna mtu atasema hapa eti Ni dhana ya mfumo dume, khaa, Sasa ulitaka mfumo jike? Hii Dunia imeumbwa kwa mfumo dume shosti.

Wanawake wabuni sayansi, teknolojia, falsafa, ufundi, biashara Kisha waanze kudai usawa!

Mwanamke ana haki ya kudai UPENDO kutoka kwa mwanaume na si HAKI SAWA!
 
Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana, mzazi anayemfundisha kupika mtoto wa kiume anaona mbali sana.

Tuliotembeatembea nchi za watu tunaelewa vizuri umuhimu wa kujuwa kupika, ukienda super market kwa ajili ya purchase ya groceries ukirudi home unatalajia akupikie nani na kwenu hukufundishwa kupika? Au unadhani mamtoni watu wanakula tu juke food kila siku za MacDonald?
 
Kuna wazazi wanazingua Sana!

Wako bize na wanao wa kiume kuwafundisha kupika!
Mwanaume amepewa jukumu kubwa mno la kuitawala Dunia. Jukumu hili linamtaka mtoto wa kiume awe strong mentally and physically!

Mtoto wa kiume achukue muda mwingi kujengewa misingi ya uongozi, utawala, ubunifu na ujenzi wa maisha

Upishi ni advantage ktk maisha ya mtoto wa kike si wakiume
Mtoto wa kiume hatashindwa kupika ktk maisha ya baadae Kama akiamua kuwa mpishi! Kwa sababu upishi ni Sanaa ambayo imeanzishwa na mwanamume hapo kale! Ikumbukwe hakuna jambo hapa duniani, iwe Sanaa, sayansi, falsafa ama ufundi ambalo limeanzishwa na kuletwa na mwanamke!

Yote yanayoendelea duniani Ni Mali ya mwanamume, na mwanamke anashiriki kuyafanya Kama mshirika na msaidizi wa mwanamume!

Kuna mtu atasema hapa eti Ni dhana ya mfumo dume, khaa, Sasa ulitaka mfumo jike? Hii Dunia imeumbwa kwa mfumo dume shosti!
Wanawake wabuni sayansi, teknolojia, falsafa, ufundi, biashara Kisha waanze kudai usawa!

Mwanamke ana haki ya kudai UPENDO kutoka kwa mwanaume na si HAKI SAWA!

Ulichoandika na jina lako vinaendana[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana, mzazi anayemfundisha kupika mtoto wa kiume anaona mbali sana.

Tuliotembeatembea nchi za watu tunaelewa vizuri umuhimu wa kujuwa kupika, ukienda super market kwa ajili ya purchase ya groceries ukirudi home unatalajia akupikie nani na kwenu hukufundishwa kupika? Au unadhani mamtoni watu wanakula tu juke food kila siku za MacDonald?
Waume kibao tu wanapika na hata kwao hawajafundishwa
 
Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana, mzazi anayemfundisha kupika mtoto wa kiume anaona mbali sana.

Tuliotembeatembea nchi za watu tunaelewa vizuri umuhimu wa kujuwa kupika, ukienda super market kwa ajili ya purchase ya groceries ukirudi home unatalajia akupikie nani na kwenu hukufundishwa kupika? Au unadhani mamtoni watu wanakula tu juke food kila siku za MacDonald?
Soma vizuri andiko!
Hoja si kwamba mwanamume hahitaji kujua kupika,
Nimeandika kupika Ni kazi ndogo kwa mwanamume anayeamua kupika, na haihitaji tuition ya utotoni
Wanaume wako simpo katika suala la kupika
Akitaka kupika chochote anaweza hata kupiga simu akapewa maelezo mafupi na akapika akala maisha yakaendelea!
Ni ungese kuwa strict kwa mtoto wa kiume kumfundisha kupika, wakati yapo mengi anahitaji afundishwe utotoni
 
Kuna wazazi wanazingua Sana!

Wako bize na wanao wa kiume kuwafundisha kupika!
Mwanaume amepewa jukumu kubwa mno la kuitawala Dunia. Jukumu hili linamtaka mtoto wa kiume awe strong mentally and physically!

Mtoto wa kiume achukue muda mwingi kujengewa misingi ya uongozi, utawala, ubunifu na ujenzi wa maisha

Upishi ni advantage ktk maisha ya mtoto wa kike si wakiume
Mtoto wa kiume hatashindwa kupika ktk maisha ya baadae Kama akiamua kuwa mpishi! Kwa sababu upishi ni Sanaa ambayo imeanzishwa na mwanamume hapo kale! Ikumbukwe hakuna jambo hapa duniani, iwe Sanaa, sayansi, falsafa ama ufundi ambalo limeanzishwa na kuletwa na mwanamke!

Yote yanayoendelea duniani Ni Mali ya mwanamume, na mwanamke anashiriki kuyafanya Kama mshirika na msaidizi wa mwanamume!

Kuna mtu atasema hapa eti Ni dhana ya mfumo dume, khaa, Sasa ulitaka mfumo jike? Hii Dunia imeumbwa kwa mfumo dume shosti!
Wanawake wabuni sayansi, teknolojia, falsafa, ufundi, biashara Kisha waanze kudai usawa!

Mwanamke ana haki ya kudai UPENDO kutoka kwa mwanaume na si HAKI SAWA!
Utasababisha hata siku ukiongea cha maana uonekane tahila

Sent from my VTR-L29 using JamiiForums mobile app
 
Mpaka sasa hakuna hata mtu mmoja aliekusupport kwenye thread yako.
Kama una akili timamu utajitafakari na utagundua kua bado ubongo wako haujatambua kazi yake ndani ya kichwa chako.
Cooking is a life skill and not a gender role. Ni muhimu watoto woote wajue.
Nyue ndo mlienda shule kujifunza jinsi ya kushika kalamu tu.
Hopeless.🤧
 
Kuna wazazi wanazingua Sana!

Wako bize na wanao wa kiume kuwafundisha kupika!
Mwanaume amepewa jukumu kubwa mno la kuitawala Dunia. Jukumu hili linamtaka mtoto wa kiume awe strong mentally and physically!

Mtoto wa kiume achukue muda mwingi kujengewa misingi ya uongozi, utawala, ubunifu na ujenzi wa maisha

Upishi ni advantage ktk maisha ya mtoto wa kike si wakiume
Mtoto wa kiume hatashindwa kupika ktk maisha ya baadae Kama akiamua kuwa mpishi! Kwa sababu upishi ni Sanaa ambayo imeanzishwa na mwanamume hapo kale! Ikumbukwe hakuna jambo hapa duniani, iwe Sanaa, sayansi, falsafa ama ufundi ambalo limeanzishwa na kuletwa na mwanamke!

Yote yanayoendelea duniani Ni Mali ya mwanamume, na mwanamke anashiriki kuyafanya Kama mshirika na msaidizi wa mwanamume!

Kuna mtu atasema hapa eti Ni dhana ya mfumo dume, khaa, Sasa ulitaka mfumo jike? Hii Dunia imeumbwa kwa mfumo dume shosti!
Wanawake wabuni sayansi, teknolojia, falsafa, ufundi, biashara Kisha waanze kudai usawa!

Mwanamke ana haki ya kudai UPENDO kutoka kwa mwanaume na si HAKI SAWA!

Ivi wanaume huwa wanaita shosti?? Haka kajamaa mukaangalie vizuri..... usije kuta ni kamama
 
Back
Top Bottom