Wazazi, acheni kuwapotezea muda watoto wa kiume kuwafundisha kupika!

Wazazi, acheni kuwapotezea muda watoto wa kiume kuwafundisha kupika!

Katika vitu ambavyo sijutii kutofundishwa ni kupika na katika kitu ambacho sitokuja kumfundisha mwanangu ni kupika.
Kama kupika utapika lakini sio lazima kufundishwa na mzazi.
Kila kiumbe aplay role yake mimi nitatafuta then mwanamke atapika considering kuna mabillion ya wanawake.

Seriously yaani mtoto wa kiume anakalia kigoda kukuna nazi na anashikishwa mwiko na mama yake huku akikoroga uji? No way.
Si ajabu kukuta kuna vijamaa vimelegea mikono na ukipiga tano kwa nguvu anaguna kabisa, dude?
 
Nonsense
giphy.gif
 
Katika vitu ambavyo sijutii kutofundishwa ni kupika na katika kitu ambacho sitokuja kumfundisha mwanangu ni kupika.
Kama kupika utapika lakini sio lazima kufundishwa na mzazi.
Kila kiumbe aplay role yake mimi nitatafuta then mwanamke atapika considering kuna mabillion ya wanawake.

Seriously yaani mtoto wa kiume anakalia kigoda kukuna nazi na anashikishwa mwiko na mama yake huku akikoroga uji? No way.
Si ajabu kukuta kuna vijamaa vimelegea mikono na ukipiga tano kwa nguvu anaguna kabisa, dude?
1.With vivid example explain how kupika kuna legeza mtu!?

2. kukuna nazi ni kupika?
 
1.With vivid example explain how kupika kuna legeza mtu!?

2. kukuna nazi ni kupika?
Hauhitaji mfano kuonesha hicho kitu. mtoto yoyote anakuwa kutokana na mazingira na malezi yake ya utotoni.
Na iko wazi kupika ni sifa ya mwanamke.
Mtoto mdogo wa kiume kuanza kumpa ratiba za kupika tayari ushamuondolea ile mindset yake ya kiume na atakuwa hivyo'hivyo.
Kama kupika atajifunza ukubwani na wala sio big deal.

Kukuna nazi ni kupika? wewe unadhani kazi ya nazi ni nini?

Hauwezi kumfananisha mtoto wa kiume aliyefundishwa domination na aliyefundishwa kupika pia kupewa ratiba za kupika.
 
Mpaka sasa hakuna hata mtu mmoja aliekusupport kwenye thread yako.
Kama una akili timamu utajitafakari na utagundua kua bado ubongo wako haujatambua kazi yake ndani ya kichwa chako.
Cooking is a life skill and not a gender role. Ni muhimu watoto woote wajue.
Nyue ndo mlienda shule kujifunza jinsi ya kushika kalamu tu.
Hopeless.🤧
Point ni sio lazima kwa mtoto wa kiume kupika wala kupewa ratiba za kupika akishindanishwa na dada zake.
Kutokujua kupika sio tatizo kabisa kwa mwanaume, na atajifunza mwenyewe kwa utashi wake baadae lakini sio lazima.

Kuna kazi za kumpa mtoto wa kiume lakini sio kupika.
 
Kwenye dunia ya sasa hivi ambayo ni Chafu, isiyo na huruma, uzulumishi, ukatili, uonevu na ubinafsi umetapakaa na kuenea.
Kama unataka mwanao wa kiume asurvive basi mtoto wa kiume anatakiwa afundishwe hivi hapa.

Kujitambua.
Kujitegemea.
Kufanya kazi na kula kwa jasho lake.
Kujitetea na ujasiri.
Utawala na mamlaka.
Nguvu za kiakili na kimwili.
Uongozi na maamuzi.
Uvumilivu wa kimwili, kiakili na kihisia.
Ukatili.
Ubinafsi.
Utu, ubinadamu na heshima.
Umakini na kujilinda kivyovyote vile.

Na mwisho ni nini maana ya kuwa Mwanaume na hakuna kima yoyote anayetakiwa, anayeweza wala kuthubutu kuondoa au kubadirisha maana hiyo.
Na atakaye jaribu au hata kufikiria tu basi amuoneshe consequences mbaya ambazo hatosahau maisha yake yote.

Hivi ndio vichache kati ya vingi ambavyo anatakiwa kufundishwa mtoto wa kiume ni elimu ya kipindi chote ambacho wewe upo hai lakini sio kupika.
Kwa waliolelewa mazingira simple itakuwa ngumu na kamwe hamtonielewa.

Ni bora usizaliwe kabisa kuliko kuzaliwa na mzazi dhaifu asiyejua wajibu wake. consequences ni hao watoto wenu wa kiume kuwa chini yetu kwa kila kitu na kutengeneza kizazi cha watu dhaifu na waoga.
 
Katika vitu ambavyo sijutii kutofundishwa ni kupika na katika kitu ambacho sitokuja kumfundisha mwanangu ni kupika.
Kama kupika utapika lakini sio lazima kufundishwa na mzazi.
Kila kiumbe aplay role yake mimi nitatafuta then mwanamke atapika considering kuna mabillion ya wanawake.

Seriously yaani mtoto wa kiume anakalia kigoda kukuna nazi na anashikishwa mwiko na mama yake huku akikoroga uji? No way.
Si ajabu kukuta kuna vijamaa vimelegea mikono na ukipiga tano kwa nguvu anaguna kabisa, dude?
Katika kitabu cha mithali kinasema hata mjinga akinyamaza uhesabiwa hekima.

Kwanza katika maisha ya kisasa hakuna jiko la kukalia kigoda ni majiko unapika ukiwa umesimama.

Kama ni mpenzi wa mpishi ya nazi siku hizi masoko yote wana mashine za sido za kukunia nazi unalipa sh 100 tu.

Humu comment za vijana kula kulala kuweka bundle kushinda mitandaoni utazijuwa tu.
 
Katika kitabu cha mithali kinasema hata mjinga akinyamaza uhesabiwa hekima.

Kwanza katika maisha ya kisasa hakuna jiko la kukalia kigoda ni majiko unapika ukiwa umesimama.

Kama ni mpenzi wa mpishi ya nazi siku hizi masoko yote wana mashine za sido za kukunia nazi unalipa sh 100 tu.

Humu comment za vijana kula kulala kuweka bundle kushinda mitandaoni utazijuwa tu.
What's this all about?
Unaona kinachotokea ukifundishwa kupika na kupewa ratiba za kupika wakati upo mtoto?
Mtoto wa kiume sio lazima na wala hatakiwi kufundishwa kupika wala kupewa ratiba za kupika, hayo atafaya kwa utashi wake baadae baada ya kupata lessons za maisha.
That's it.

Haya wewe unaejua kupika umenizidi nini and where or what is the point?
 
Hauhitaji mfano kuonesha hicho kitu. mtoto yoyote anakuwa kutokana na mazingira na malezi yake ya utotoni.
Na iko wazi kupika ni sifa ya mwanamke.
Mtoto mdogo wa kiume kuanza kumpa ratiba za kupika tayari ushamuondolea ile mindset yake ya kiume na atakuwa hivyo'hivyo.
Kama kupika atajifunza ukubwani na wala sio big deal.

Kukuna nazi ni kupika? wewe unadhani kazi ya nazi ni nini?

Hauwezi kumfananisha mtoto wa kiume aliyefundishwa domination na aliyefundishwa kupika pia kupewa ratiba za kupika.
Huku kwetu mikoani hatuni nazi, hayo mambo yenu huko
 
What's all about?
Unaona kinachotokea ukifundishwa kupika na kupewa ratiba za kupika wakati upo mtoto?
Mtoto wa kiume sio lazima na wala hatakiwi kufundishwa kupika wala kupewa ratiba za kupika, hayo atafaya kwa utashi wake baadae baada ya kupata lessons za maisha.
That's it.

Haya wewe unaejua kupika umenizidi nini and where or what is the point?
Unakaujinga flani kumbe upo hapa kushindana sio kuelimishana
 
Utakua hujui, Mimi nilikula manzi kimasihara kwa sababu ya kupika
 
Mpaka sasa hakuna hata mtu mmoja aliekusupport kwenye thread yako.
Kama una akili timamu utajitafakari na utagundua kua bado ubongo wako haujatambua kazi yake ndani ya kichwa chako.
Cooking is a life skill and not a gender role. Ni muhimu watoto woote wajue.
Nyiue ndo mlienda shule kujifunza jinsi ya kushika kalamu tu.
Hopeless.🤧
Nyie ndo mmekurupuka na mawazo yenu ya kileo mtoto wa kiume kuwekwa chini eti unamfundisha kupika si sawa. mwanaume anapika ila si kwa mafunzo rasmi.

Hii ndo wakienda kwenye mechezo na wenzao yeye anachagua kupikapika hatimae wana muita mama atafurahia kimbembe kwenye kulala sasaaa

Tuwe makini kwa watoto wakuu
 
Back
Top Bottom