Wazazi, acheni kuwapotezea muda watoto wa kiume kuwafundisha kupika!

Wazazi, acheni kuwapotezea muda watoto wa kiume kuwafundisha kupika!

Mzee Kuna wanaume wangapi Leo hii wanaendesha familia zao kwa kupika....? Na Kuna mabilionea wangapi walio patikana kwa kupika. ...?


Open up
Sasa wanapika kwa msingi wa kwamba ni ajira yao na wanalipwa au wanapika kwa msingi wa kwamba jinsia ya kiume inajukumu la kupikia familia yaani mke na watoto kupikiwa na baba?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asilimia 80 ya menu zinazopikwa na Watanzania ni tofauti na zile za kwenye mahoteli kwanza sidhani kama moja ya vigezo utatumia kuomba kazi ya upishi kuwa ni ulifunzwa kupika utotoni.

Sifungamani na upande wowote lakini mpaka sasa hivi hakuna aliyempinga mleta sredi kwa hoja zenye mashiko.

Mwanaume anabadilika kutokana na mazingira, mimi sijafundishwa kupika lakini mazingira yamenifanya nijuwe kupika.

Kwahiyo kufunzwa au kutokufunzwa kupika kwa mtoto wa kiume hakumuongezei wala kumpunguzia chochote.
Aiseee upo very intelligent [emoji3447] and umetumia a very good logic. Bravo sana nakupa big up.


Umehoji vema sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa atakuwa ndo katoka jela toka enzi za ukoloni,kaka skuizi dada zetu ni mabosi zetu ,viongozi na tunawatii kwa moyo mkunjufu.wake zetu wakisema wamechoka tunaingia jikoni tunakaangiza ,kushilikiana na hawa ndugu zetu wa kike raha sana
Umeongea kidhaifu kama mwanamke hadi nimeona aibu nakujiskia vibaya mimi aisee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kujua kupika sio issue mm nimesoma na washkaj zang first year walikua hawajui ila kutokana na maisha asaiv wanajua kupika vizur tu nikaja kuona hakuna umuhm wa kumfundisha mtt wa kiume kupika maana mm nilfundishwa had kudek ila sjaona umuhm wake asaivi weng wazaz wanao fundisha watt kupika wanakua n wavivu kufanya kaz za ndan so mtt wakiume hana umuhmu wa kufundishwa kupika sab
 
Asilimia 80 ya menu zinazopikwa na Watanzania ni tofauti na zile za kwenye mahoteli kwanza sidhani kama moja ya vigezo utatumia kuomba kazi ya upishi kuwa ni ulifunzwa kupika utotoni.

Sifungamani na upande wowote lakini mpaka sasa hivi hakuna aliyempinga mleta sredi kwa hoja zenye mashiko.

Mwanaume anabadilika kutokana na mazingira, mimi sijafundishwa kupika lakini mazingira yamenifanya nijuwe kupika.

Kwahiyo kufunzwa au kutokufunzwa kupika kwa mtoto wa kiume hakumuongezei wala kumpunguzia chochote.

Correct mfano mm rafk zang asaiv wanapika vizur na hawajawah fundishwa kwao hata kufagia
 
Ukae nao mwenyewe sasa hadi uzeeni. Usituletee huku uraiani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Basi sasa inatosha kila mtu na maisha yake. Haya maisha hatuwezi kufanana kila mtu na malezi yake hivyo basi wewe lea watoto wako/ familia yako kwa malezi unayoona yanafaa na mimi kwangu nitafanya vile naona inafaa.
 
Hii hoja yako ni irrelevant kwenye hii topic. Mleta uzi anaongelea kupika kama gender role sio kama professional.

Kwahiyo unataka nambia recipe za vyakula vya mahoteli makubwa ni kama hizi za nyumbani?!

Au huwa hautazami vipindi vya mapishi ukaona utitiri wa formula na masharti ya uandaaji wa chakula tofauti na mapishi ya haraka ya nyumbani maana hakuna special formula zinahitajika kuandaa msosi home.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hoja yangu iko very relevant..... gender tole, professionalism...... nonsense, kupika ni kupika tu.

Unadhani recipe za vyakula vya mahoteli asili yake zinatokea wapi? Hatuzungumzii quantity ya chakula kinachopikwa per day. Kama unaelewa kupika vizuri hizo recipes (siyo formulas) zinatengenezwa ili kuleta uniformity kwenye quality na ladha ya kile chakula, kitu ambacho hata nyumbani huwa tunafanya hivyo. Tena huwa tunaandika kabisa kwenye madaftari maalumu.

Kijana wa kiume anakwenda chuo nje ya nchi na anaishi mwenyewe kwenye chumba cha kupanga, kujua kupika kutamsaidia sana.
 
Back
Top Bottom