Wazazi, acheni kuwapotezea muda watoto wa kiume kuwafundisha kupika!

Wazazi, acheni kuwapotezea muda watoto wa kiume kuwafundisha kupika!

LoL I didn't know that!
Naona members wa kikundi cha mambo machafu na dhambi mkipeana support, sijui kwanini mnajari sana mambo ya support.
Kama mnaweza kwenda mbali na kinyume kabisa na nature ilivyo basi kwenu kamwe haiwezi kuwa ajabu mtoto wa kiume kufundishwa kupika, hamna mipaka wala human morals.
Hamna hali ya Utu wala ubinadamu, just a walking and talking corpse. na nilikunotice kwamba wewe sio mzima tangu mwanzo kutokana na mwandiko wako. I see through everything.
Nina uhakika huna watoto lakini kama ukipata wa kuzugia basi wana bahati mbaya sana.

Forgive me my god.
 
Umeongea kitu sensitive sana... Kumtumia mtoto wa kiume kupika na kudeki ni sawa kutumia scania semi trailer kama taxi...
 
Kuna wazazi wanazingua Sana!

Wako bize na wanao wa kiume kuwafundisha kupika!
Mwanaume amepewa jukumu kubwa mno la kuitawala Dunia. Jukumu hili linamtaka mtoto wa kiume awe strong mentally and physically!

Mtoto wa kiume achukue muda mwingi kujengewa misingi ya uongozi, utawala, ubunifu na ujenzi wa maisha

Upishi ni advantage ktk maisha ya mtoto wa kike si wakiume
Mtoto wa kiume hatashindwa kupika ktk maisha ya baadae Kama akiamua kuwa mpishi! Kwa sababu upishi ni Sanaa ambayo imeanzishwa na mwanamume hapo kale! Ikumbukwe hakuna jambo hapa duniani, iwe Sanaa, sayansi, falsafa ama ufundi ambalo limeanzishwa na kuletwa na mwanamke!

Yote yanayoendelea duniani Ni Mali ya mwanamume, na mwanamke anashiriki kuyafanya Kama mshirika na msaidizi wa mwanamume!

Kuna mtu atasema hapa eti Ni dhana ya mfumo dume, khaa, Sasa ulitaka mfumo jike? Hii Dunia imeumbwa kwa mfumo dume shosti!
Wanawake wabuni sayansi, teknolojia, falsafa, ufundi, biashara Kisha waanze kudai usawa!

Mwanamke ana haki ya kudai UPENDO kutoka kwa mwanaume na si HAKI SAWA!
Umeharibu hapo kwenye shostii...ninamashaka
 
Kuna wazazi wanazingua Sana!

Wako bize na wanao wa kiume kuwafundisha kupika!
Mwanaume amepewa jukumu kubwa mno la kuitawala Dunia. Jukumu hili linamtaka mtoto wa kiume awe strong mentally and physically!

Mtoto wa kiume achukue muda mwingi kujengewa misingi ya uongozi, utawala, ubunifu na ujenzi wa maisha

Upishi ni advantage ktk maisha ya mtoto wa kike si wakiume
Mtoto wa kiume hatashindwa kupika ktk maisha ya baadae Kama akiamua kuwa mpishi! Kwa sababu upishi ni Sanaa ambayo imeanzishwa na mwanamume hapo kale! Ikumbukwe hakuna jambo hapa duniani, iwe Sanaa, sayansi, falsafa ama ufundi ambalo limeanzishwa na kuletwa na mwanamke!

Yote yanayoendelea duniani Ni Mali ya mwanamume, na mwanamke anashiriki kuyafanya Kama mshirika na msaidizi wa mwanamume!

Kuna mtu atasema hapa eti Ni dhana ya mfumo dume, khaa, Sasa ulitaka mfumo jike? Hii Dunia imeumbwa kwa mfumo dume shosti!
Wanawake wabuni sayansi, teknolojia, falsafa, ufundi, biashara Kisha waanze kudai usawa!

Mwanamke ana haki ya kudai UPENDO kutoka kwa mwanaume na si HAKI SAWA!
Nimesoma comment naona kuna upinzani mkubwa sana but wengi hawajaelewa mzizi wa hoja yako. Sababu ya upotofu mkubwa wa kimaadili na kijamii uliosambazwa miaka ya hivi karibuni na hawa wanaojiita watetea haki za wanawake bila kujua wanabebelea hoja za mataifa ya kimagharibi kundi la liberals leftists.

Sasa hawa watu ili kukabiliana nao inabidi uwe vema kwenye kuwaelewa hao waliowaambukiza akili hizi za kimagharibi zinazokinzana na mataifa yanayokwenda na mfumo wa right wing conservatives.

Mimi huwa hawanipi shida. Hata unitafutie the best of the best wa feminists wawe na panel ya watu kumi. Pekee yangu nikae meza kuu kuingia nao katika mtanange wa hoja nitawashinda single handedly bila msaada wa tycoons wenzangu.


Therefore baada ya kusema hayo,naomba ushushe pumzi,niachie hii vita nikupe Alliance support niwajegeje za vichwa m'moja baada ya mwingine huku nikivuta Cigar yangu kama Anold Schwarzenegger katika movie ya Commando au Predor.

Hold my Beer [emoji481][emoji482] and Jacket please.......i gotchu Young bro worry out.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana, mzazi anayemfundisha kupika mtoto wa kiume anaona mbali sana.

Tuliotembeatembea nchi za watu tunaelewa vizuri umuhimu wa kujuwa kupika, ukienda super market kwa ajili ya purchase ya groceries ukirudi home unatalajia akupikie nani na kwenu hukufundishwa kupika? Au unadhani mamtoni watu wanakula tu juke food kila siku za MacDonald?
Very good umesema vema sana mnaotembea nchi za watu. Sio kila unachokuta katika mataifa ya watu basi ni cha kuiga ama kitafaa kwa taifa na jamii yako.

Strong men improve their community by upholding their best values and preserve them not assimilate their society to imitate foreign and incompatible values that can not address the improvement of their original society and amend its value for positive progress.

So far umeelezea process ya mzazi kumsaidia mtoto wake kujifunza kupika as a form of emergency tactic or strategy but usichokijua kwa mujibu wa mleta uzi namna kajenga hoja yake,it means wewe hapa muda huu na hii comment yako una advocate for gender roles switching. Yaani unataka kuona the possibility ya mwanaume kuassume majukumu ya kike bila kujijua kuwa ndicho unachoshabikia hapa.

So wataka nambia kwa life style yetu sisi ndivyo tunavyoishi hivyo hapa Africa, tuache mataifa mengine yenye Right wing conservative ideologies and culture in place?

So unachosema wanaume wajiandae kuishi kwa dharula? Hivi Tanzania umeshawahi kuona wapi wanawake wakakosa nafasi ya kumpigia mwanaume?! Yaani ukiona tanzania umekosa mwanamke wa kukupikia jua unaota si katika uhalisia.

Anyways ukishajibu nadhani maybe tunaweza kujadili kwann mimi nasema kinyume na wewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wa kwangu atajifunza tu kwakweli...
Good for you. Ila utuambie for what benefit? Cause i guarantee you mwanaume ambaye anafikiria kupika then ana muda mchache sana wa kung'amua mbinu za kukua kiuchumi.

Nadhani wakati mnalizungumzia hili mnakuwa mnalenga kuaddress maisha yenu ya sasa ambayo kimsingi yamekuwa corrupt na compromised compared to the natural order.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We jamaa inaonekana uko Weak kweli kweli yani ile Weakest

hata mtu Weak akisoma hapa anaona kilichoandikwa ni Weak sababu kinasound Weaker sababu kimetolewa na Weakest
Unaweza kuestablish ni wapi amekuwa weak?! Kimsingi jamii ya kisasa inasikiliza sana upande wa mahitaji ya kike hadi inasahau kutambua common na natural standards za existence katika jamii kwa mwanaume na mwanamke.

So ignorance is a bliss kwa eneo lako thats why umechagua kuona mleta uzi yupo weak, but that is according to you not in reality. The guy has a logical point. Sema u have shortage of knowledge about genderism.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpaka sasa hakuna hata mtu mmoja aliekusupport kwenye thread yako.
Kama una akili timamu utajitafakari na utagundua kua bado ubongo wako haujatambua kazi yake ndani ya kichwa chako.
Cooking is a life skill and not a gender role. Ni muhimu watoto woote wajue.
Nyue ndo mlienda shule kujifunza jinsi ya kushika kalamu tu.
Hopeless.[emoji1784]
Easy tiger, don't snap like u are getting paid for it.

Kimsingi everything in this life is a life skill at first. Kila unachojifunza kufanya katika haya maisha ni life skill kwasababu inakusaidia katika survival ili uendelee kuishi salama na kuboreka.

But at some point we can't do all and every life skill we have chosen to learn at some point in life. We let others perform or stick with that life skill for us or our behalf so that we can be able to invest in another life skill to better our life and continue with our existence.

Tukirudi katika eneo la gender role, it is a very simple topic and highly exaggerated na kuwa complicated now days while its simple hata wanyama wanaielewa.

Gender role si social construct kama wehu wa mataifa ya magharibi especially feminists wanavyojaribu kuibadili now days.

Gender role is a completely and purely scientific phenomenal that relates to our biological differences and social interdependence nature.

Hoja ya kusema kupika ni life skill halafu kuitumia kufunika issue ya Gender role ni kujaribu kuignore ukweli wa kiasili wa uumbaji na uwepo wa tofauti za kibaiolojia zilipo kati ya mwanaume na mwanamke na namna ziliumbwa kusaidia katika functionality ya majukumu ya mwanadamu katika kujicontrol na kucontrol viumbe wengine wote hapa Duniani.

Tazama kitendo cha mwanamke kuacha kukaa nyumbani na kuanza kuhangaika na maisha baada ya technology ya sasa kirahisisha maisha, kimebadili na kuleta 'repercussion' katika eneo la ndoa, malezi, afya ya jamii, mabidiliko ya tabia za kijinsia (ushoga, umarioo), uchumi (ajira, kipato, mifumuko ya bei, aina ya bidhaa sokoni),maadili,idadi ya watoto katika familia,ubora na uimara wa familia, etc.

Kimsingi u seem to lack the true concept of genderism, na umekuwa manipulated kufikiria a simple change in a very small natural role hakutakuwa na madhara katika every other components na general aspect ya ustawi wa jamii.

Go back and study to understand not to spoon-feed your mind my friend. There is a lot of miseducation happening globally now, this is one of the absurd and nonsense spread in the name of Gender intentity and revaluation of gender roles (reverse genderism actually).

Hint. Unajua hao wanaokufundisha hizi nonsense ndio now wanafundisha watoto wadogo kuwa kuna Gender zaidi ya mbili, yaani Male, female, Binary, na sijui Queers? Sijui kama unafuatilia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na wapishi mahili duniani ni wanaume !! Anafundishwa kupika kwa sababu kuna age ambayo mtoto wa kiume anaishi mwenyewe kabla ya kuoa labda 18-25 ataishije ? Siku akiuguliwa na mke ? Siku mke akifa ? Sio kwa ubaya !!!
So unatumia emergency scenario kudefine namna ya kuishi?! What if nikikwambia ikitokea mkewe akaumwa atamwita mdogo wake, jirani wa kike, shemeji yake, wifi yake na pengine wanaweza kuwa na house girl wa kuwasaidia kazi.

Vipi hapo?!

I think unashindwa kukubali kuwa mleta uzi ana hoja ya msingi ambayo wewe binafsi umefeli kuestablish merit yake katika maisha ya jamii yetu. Ni vema kuomba kujifunza. Acha kujibu au kurespond hoja usiyoielewa uzito wake from a place of ignorance, emptiness au from a place of fear.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye dunia ya sasa hivi ambayo ni Chafu, isiyo na huruma, uzulumishi, ukatili, uonevu na ubinafsi umetapakaa na kuenea.
Kama unataka mwanao wa kiume asurvive basi mtoto wa kiume anatakiwa afundishwe hivi hapa.

Kujitambua.
Kujitegemea.
Kufanya kazi na kula kwa jasho lake.
Kujitetea na ujasiri.
Utawala na mamlaka.
Nguvu za kiakili na kimwili.
Uongozi na maamuzi.
Uvumilivu wa kimwili, kiakili na kihisia.
Ukatili.
Ubinafsi.
Utu, ubinadamu na heshima.
Umakini na kujilinda kivyovyote vile.

Na mwisho ni nini maana ya kuwa Mwanaume na hakuna kima yoyote anayetakiwa, anayeweza wala kuthubutu kuondoa au kubadirisha maana hiyo.
Na atakaye jaribu au hata kufikiria tu basi amuoneshe consequences mbaya ambazo hatosahau maisha yake yote.

Hivi ndio vichache kati ya vingi ambavyo anatakiwa kufundishwa mtoto wa kiume ni elimu ya kipindi chote ambacho wewe upo hai lakini sio kupika.
Kwa waliolelewa mazingira simple itakuwa ngumu na kamwe hamtonielewa.

Ni bora usizaliwe kabisa kuliko kuzaliwa na mzazi dhaifu asiyejua wajibu wake. consequences ni hao watoto wenu wa kiume kuwa chini yetu kwa kila kitu na kutengeneza kizazi cha watu dhaifu na waoga.
Correct.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika kitabu cha mithali kinasema hata mjinga akinyamaza uhesabiwa hekima.

Kwanza katika maisha ya kisasa hakuna jiko la kukalia kigoda ni majiko unapika ukiwa umesimama.

Kama ni mpenzi wa mpishi ya nazi siku hizi masoko yote wana mashine za sido za kukunia nazi unalipa sh 100 tu.

Humu comment za vijana kula kulala kuweka bundle kushinda mitandaoni utazijuwa tu.
But mbona kama empasis yako ni kumfanya mwanaume afanye mambo ya kike huku hoja u ayopingana nayo ikizungumzia mwanamke kukaa eneo lake la mambo ya kike.

So kama mwanaume anatakiwa kupika so mwanamke anafanya nini muda huo?!

Hebu nisaidie kuelewa hii Gender engineering map yako maana ipo incompatible na nature

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binaadamu yoyote anayekula ni muhimu kujua kuandaa chakula chake bila kujali jinsia.
This comes from a place of unknown merits. Ni sawa na mtu anakwambia nenda stand panda basi la mkoa bila kukupa destination.

Kila unalofanya hapa duniani linalenga kuattain a certain goal ya rewards.

Kupika kwa mwanaume si jambo lake, sasa tufanye wewe umeshauri ajifunze, then explain atabenefit nini kwa kujifunza hilo swala?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie ndo mmekurupuka na mawazo yenu ya kileo mtoto wa kiume kuwekwa chini eti unamfundisha kupika si sawa. mwanaume anapika ila si kwa mafunzo rasmi.

Hii ndo wakienda kwenye mechezo na wenzao yeye anachagua kupikapika hatimae wana muita mama atafurahia kimbembe kwenye kulala sasaaa

Tuwe makini kwa watoto wakuu
Kabisa yaani. Halafu watu hawajui tabia za kike huwa zinakuwa planted kwa namna hii kwa mtoto wa kiume. Mtoto akiharibika wanaanza kumtafuta mchawi mitandaoni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaopika kwenye mahoteli ni akina nani?
Hii hoja yako ni irrelevant kwenye hii topic. Mleta uzi anaongelea kupika kama gender role sio kama professional.

Kwahiyo unataka nambia recipe za vyakula vya mahoteli makubwa ni kama hizi za nyumbani?!

Au huwa hautazami vipindi vya mapishi ukaona utitiri wa formula na masharti ya uandaaji wa chakula tofauti na mapishi ya haraka ya nyumbani maana hakuna special formula zinahitajika kuandaa msosi home.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom