Konseli Mkuu Andrew
JF-Expert Member
- May 10, 2013
- 749
- 875
Salaam Wakuu.
Dunia ya sasa mambo yamebadilika tofauti na miaka ya nyuma , (nasikia) zamani ukisoma hadi level ya degree ilikuwa ni rahisi sana kupata nafasi ya kazi pasina na hata kujuana na mtu katika idara au taasisi fulani.Wazazi wa wakati huo jukumu lao lilikuwa ni moja kuwapeleka watoto shule na kuwatafutia ada tuu.
Jukumu ili la kuwasomesha watoto naona kama bado limerithishwa na wazazi wa kizazi hiki na kushindwa kuelewa kuwa elimu bila ya connection ni sawa kazi na bure huu ndio ukweli.
Nawashauri wazazi wakati mnaangaika kuwatafutia ada watoto basi msisahau kuangaika kuwatafutia connection watoto wenu pindi wanapomaliza masomo.Huko kwenye majumuiko yenu hao mnaokutana nao watumieni kama fursa kwa watoto wenu msiishie kusema "jana nilikuwa meza moja na RPC tulikunywa sana kwakweli"
ELIMU BILA CONNECTION NI SAWA NA GUNIA BILA NAFAKA
Dunia ya sasa mambo yamebadilika tofauti na miaka ya nyuma , (nasikia) zamani ukisoma hadi level ya degree ilikuwa ni rahisi sana kupata nafasi ya kazi pasina na hata kujuana na mtu katika idara au taasisi fulani.Wazazi wa wakati huo jukumu lao lilikuwa ni moja kuwapeleka watoto shule na kuwatafutia ada tuu.
Jukumu ili la kuwasomesha watoto naona kama bado limerithishwa na wazazi wa kizazi hiki na kushindwa kuelewa kuwa elimu bila ya connection ni sawa kazi na bure huu ndio ukweli.
Nawashauri wazazi wakati mnaangaika kuwatafutia ada watoto basi msisahau kuangaika kuwatafutia connection watoto wenu pindi wanapomaliza masomo.Huko kwenye majumuiko yenu hao mnaokutana nao watumieni kama fursa kwa watoto wenu msiishie kusema "jana nilikuwa meza moja na RPC tulikunywa sana kwakweli"
ELIMU BILA CONNECTION NI SAWA NA GUNIA BILA NAFAKA