Wazazi kuweni makini na mnaowaachia kulea watoto wenu

Wazazi kuweni makini na mnaowaachia kulea watoto wenu

Protector

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2019
Posts
422
Reaction score
893
Habari wana jukwaa,

Hii video inaeleza jinsi houseboy alivyomfanyia mtoto wa bosi wake, kwa kweli inatia kinyaa. Ningekuwa mimi ndiyo mzazi wa huyo mtoto haki ningeua mtu.



"Mtoto mdogo alikuwa akimpenda sana houseboy na familia ilikuwa haielewi ni kwanini, baada ya muda mtoto akaanza kukataa maziwa ya mama yake. Walivyompeleka hospitali ikaonekana anambegu na kiume, alishazoea kunyonya sehemu za siri za houseboy. Houseboy alikamatwa baada ya kuwekewa mtego."
 
Dah sasa hapo ndo kuna matatizo ya akili, unamuacha house girl ambaye anajitambua unamfata mtoto
 
Tunazidiqa na Wanyama na ndege, mtoto wako unapaswa kumulea wewe mwenyewe
 
Ndio maana saa nyingene unadiliki kusema umaskini ni laana au unakupelekea dhambi zaidi,

Hivi hapa mtu kama huyu ukimla chuma za uso, kuna watu watalalamika ya kua Tajiri anaonea maskini..?

Pumbavu zake bana.
 
Back
Top Bottom