Wazazi mmekuwaje?

Wadada waongo Kama huyu ,hawaolewi ng'o ,ni juzi ulisema habari za umri vidume vinajichenga alafu Sasa hivi unakuja na huu uongo tena ? Namshukuru Mungu sikuja PM maana nisingekuoa ningekuchezea kabisa
Hata ungenipata wap mahidiha unafkr tupo jf kutafuta wanaume .....akili zako kichwan hazina akili
 
Ndoa naitaka ila sio haraka hivyo! Kidogo nifikishe 25
Umebakiza miaka mingapi ufike 25? Mi ni mwanaume na miaka 27 sasa hakuna anaeniuliza kuhusu kuoa hata wazazi wangu wamepiga kimya wanaona niko sawa tu ila binafsi naona nimechelewa kuoa na ninahitaji kuoa wakati huu ili nipate muda wa kulea watoto nikiwa na nguvu changamoto ni kwamba sioni wa kumuoa naogopa kupata mwanamke pasua kichwa ambae nitashindwana nae alafu familia itawanyike binafsi naomba Mungu niwe na familia yenye utulivu ila huyo mwanamke sijakutana nae.

Je vipi we mwanamke unauhakika ukifika 25 unaweza kupata mume sahihi? Na hata ukimpata atakua tayari kukuoa ?
 
Hapana.

Nilitaka Ubainishe Mada ya Kujadiliana na Mimi maana umetaka Mjadala kwa namna Ilivyohitaji Maelezo yangu. Sasa kila mjadala lazima Mada iwekwe wazi. Kama kubainisha Hoja Kuu ni tatizo tunaweza kuendelea hivyo hivyo haina shida.
Umedai sijasema uhalisia, nikakuuliza uhalisia ni upi. Ukaniuliza hoja yangu ni ipi.
Sasa ulijuaje sijasema uhalisia wakati hujajua hoja yangu ni ipi.

Unapinga jibu, unaulizwa kama hili sio jibu basi tupatie jawabu sahihi ili tujifunze. Unaanza kuuliza hivi swali lilikuwa ni nini.

Hoja kuu nimebainisha, unadai hujaiona ila hapa umeipinga⬇️⬇️
Unaongea vitu kinadharia mno mkuu.

Mtu asiyejua Lolote kuhusu Familia anaweza kukuona wewe ni shujaa wa Hoja.
Hizo unazodai ni nadharia ndio uhalisia nilioona. Sasa nipe uhalisia wako mkuu, maana wangu umeita nadharia.
 
Men get better with time, Women lose value with time.

No matter how beautiful a girl she is, on the throne of time her value decreases.

Tatizo wakiwa kwenye peak za uzuri wao huwaambii kitu.

Halafu wanakuja kushtuka Dakika za jioniiiiii....

Wanakuja JF kutafuta mume kikubwa awe anapumua tu..😄
 
Umeongea ukweli
 
Ajabu ninayoiona hapa ni vile wewe unatafsiri msukumo huo unasababishwa na kukosa kazi! .... Lini mtagundua ukweli kuwa wanaume tunapenda sana magari? tukikosa gari iliyo zero kilimoter basi angalau tupate low mileage kidogo!

Basi na wazazi wako pia wanaogopa na wewe usiangukie kwenye high mileage category ... trust your parents, they have more than enough experience. Ujinga uliopo kwa vijana wengi ni kuamini kuwa kizazi kilichopita ni washamba na wajinga, ila kumbuka wale unaowaona hivo na wao pia walikuwa vijana enzi zao and probably na wao walifanya kosa kama lako (sio lazima katika jambo hili), ila leo wamegundua kuwa ukweli kamwe haubadiliki kwa kubadilika kizazi ... amini kuwa wazee wana experience kubwa na wana busara kubwa zaidi yako.

Usitafute wa kukuoa, jipambe sifa za kuolewa ukiwa bado umri unaruhusu.
 
Sasa maisha hayaendi hivyo! Kwamba niolewe sasa wakati sipo tayari kwa kuhofia nikifikisha 25 naweza kukosa mtu sahihi! Sio kweli
Uko sawa kabisa na maamuzi yako usioe au kuolewa kwa presha ya watu wengine ukajikuta upo kwa mtu asie sahihi lakini pia usiseme kuwa hauko tayari kwa sasa Binafsi nimekuja kugundua Kuoa au kuolewa ni jambo gumu sana ambalo huwezi kusema kuwa nimepanga ikifika muda flani nitalifanya japo watu ambao hawajafika wakati wa kuoa au kuolewa huwa wanafikiri ni jambo rahisi ila ni kitu kigumu sana hasa zama hizi ndo maana unaona wanaume tunaogopa kuoa.

Kwako mwanamke wewe una wakati mgumu zaidi ukijichanganya ukafanya kosa 1 linakua doa kwenye jamii ndo maana nikakutahadharisha kama haupo tayari basi chunga usije ukapeleka aibu nyumbani
 

Kwani vp?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…