Wazazi mmekuwaje?

Such a wonderful overview ...

Labda tu nikuambie, hilo ni suala la kawaida sana na linatokea kwa karibia watu wote women/ old men with job; I have also been there na naamini baadhi ya sababu ni kama zifuatazo:

1. Kwa wanawake, muda sahihi wa kuolewa ni as soon as possible vile mnavozidi kuwa watu wazima chances get reduced so hakuna muda sahihi zaidi kwa mzazi kuanza ku break the ice kama baada ya kumaliza chuo and kuwa over 22 years old

2. Kama ilivyo kujitegemea, NDOA ni tukio la kuogofya, lenye sintofahamu nyingi sana na kwa karibia watu wote sio tendo la hiyari - means hata wazazi wako kuwa pamoja ni vile all option run out and they decided to take risk. Ndoa is a game of chance na kama sio kukamatika kimahaba na kimazingira, hakuna ambaye angeoa.

3. Kusukumwa pekee ndio kitu kinaweza kukutoa kwenye confort zote na time is the only limiting factor hivyo wazazi na ndugu sometimes based on the experience na kuona mbali wanaanza kukushtua mapema

4. Ndoa na mtu sahihi kwa mwanamke ni hazina, ushindi na mafanikio makubwa, so ni furaha kwa familia, ndugu na jamaa kuona ukivuka hicho kihunzi. Through ndoa, wazazi watapa wakwe, wajukuu, mafaniko, majukumu yatapungua kwako na pengine msaada wakati wa shida.

Mwisho:

Za kuambiwa changanya na zako, kwa umri wako may wazazi dont see any movement and thus why wanakusaidia ku create need ili labda after 5 years wavune from there investment

You have wonderful Mother, ongea naye na take it positive, she have been there - done that.
 
Huwenda hujaelewa wazazi walikua wanakusudia nini.
Haimaanishi wao walikua wana uoga wa maisha juu yako.Bali wana uoga wa heshima ya binti yao.
Na kukaa kwao kimya haimaanishi kwamba hawana hilo wazo.

Sasa juu yenu muendelee kutafunwa kama bubble gum ama mtulie na mchi mmoja.
Maana leo gwede kesho Lucas Mwashambwa .
 
Ushauri ulikua mzuri mpaka pale ulipomtaja Guede na Lucas
 
Ushauri ulikua mzuri mpaka pale ulipomtaja Guede na Lucas
Hivyo ni vibwagizo.
Ila hujachelewa sana 37 years dadeqi duuh😂😂😂😂.
Ndoa ina maana yake,maana tafiti zinaonesha watu wazima kuanzia miaka 35 kwenda juu wana upweke sana.
 
Sasa mimi nina 37 ila upweke sina najiona kama myoto wa miaka 9😂😜
Aaah wapi tusidanganyane😂😂😂.
Kuna muda ukijitizama cowgirl alone lamamaye 😂😂😂 halafu ukicheki sio official Mrs yeyote upweke must.
Kuna muda unakuja unconditionally.
 
Aaah wapi tusidanganyane😂😂😂.
Kuna muda ukijitizama cowgirl alone lamamaye 😂😂😂 halafu ukicheki sio official Mrs yeyote upweke must.
Kuna muda unakuja unconditionally.
Una hoja usikilizwe!😂
 
Na nyie mpo, Asha alikua anasisitizwa na baba yake aolewe hadi mchumba akamtafutia
Basi baba Asha anamatatizo mazee....
Mie binti zangu nawasisitiza kutunza afya, kumuhofia Mungu, bidii na nidhamu katika kila watakalo barikiwa kuwapatia rizki na pia kuheshimu watu wote wakubwa kwa wadogo.
 
Mama yako ana hekima sana.
Mabinti wengi baada ya kumaliza vyuo na kubaki nyumbani bila kuolewa hudinywa sana na kupelekea kei zao kutanuka haswa na pindi waolewapo mimba huwa zinatoka au mambo ya bed rest hadi muda wa kujifungua.

Naomba namba ya mama yako nimpongeze mkubwa mwenzangu,mm ni mstaafu wa umma,nina deserve kuongea na mama yako muda wowote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…