ledada
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 16,993
- 65,237
Kaributhere's nothing a woman loves more than being given attention. 😎😎😎
Nataka nianze kuweka attention kwako humu ndani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaributhere's nothing a woman loves more than being given attention. 😎😎😎
Nataka nianze kuweka attention kwako humu ndani
😂😂😂😂😂Hadi wewe🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mimi ni single father pia ,single maza ni saizi yangu tuvurugane vizuri😁😁😁😁😁😁 kikubwa nikupoa na mshangazi ukishindwa kabisa tafuta kizazi cha dhahabu 2000s
Usiguse singo maza wala namba za katikati 25s utaumia
Nishaku follow tayari ulipo nipoKaribu
😂😂😂😂 kwani kataa ndoa ndo CHAPUTA?Hakika so upo chama la dronedrake ? Unajipandisha mlima Kilimanjaro bila wasaidizi
🤣🤣🤣Mimi ni single father pia ,single maza ni saizi yangu tuvurugane vizuri😁😁😁
Mimi ni single father pia ,single maza ni saizi yangu tuvurugane vizuri😁😁😁
Sawa mkuuNishaku follow tayari ulipo nipo
Sio ila vina mahusiano ya karibu members ni wale wale kwa kiasi kikubwa😄😂😂😂😂 kwani kataa ndoa ndo CHAPUTA?
😂😂😂😂 kwani kataa ndoa ndo CHAPUTA?
TobaaaaaKATAA NDOA
Unasema watoto wa elfu 2 wanapenda ndoa?🤔Je kwanini kizazi cha dhahabu kuanzia mwaka 2000s wanapenda Sana ndoa ?
Kizazi cha dhahabu kinaona mbali hasa watoto wa 2005s
Mpaji Mungu anaelewa hii issue.
Anaweza kutaka mbivu kumbe zimeoza ,bora asitake tu mbichi hizo😆Nimemuona lecturer wangu anasema kataa ndoa
Kanifundisha somo la Fasihi tena wakike 😁😁😁
Je huyu hataki ndoa au sizitaki mbichi.
Unasema watoto wa elfu 2 wanapenda ndoa?🤔
Basi mimi ni memba wa kataa ndoa tu🤣🤣🤣🤣🤣Sio ila vina mahusiano ya karibu members ni wale wale kwa kiasi kikubwa😄
Ngoja ufikishe miaka 30 ndio utajua wazazi walikuwa wanamaanisha nini?
Kaveli una hoja usikilizwe..!😂Nadhani ndiyo maana kashusha andiko hili.
Kwa wenye D mbili+... hii ni siredi ya kimkakati.
She is bright. She trying to keep her essence and value. Sio kila mtu akajianike kule 'love connect' na bango kuuubwa, nah!
Ephen, soon utaolewa na utapata mume. 😎
-Kaveli-