DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Mimi ni mjumbe kwenye hicho kikundiš
Je wewe ni KATAA ndoa au ni SIZITAKI mbichi ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ni mjumbe kwenye hicho kikundiš
KATAA NDOAJe wewe ni KATAA ndoa au ni SIZITAKI mbichi ?
there's nothing a woman loves more than being given attention. šššMimi ni mjumbe kwenye hicho kikundiš
ššš kabisa ila inapendeza mwanamke ukishajijua thaman yakoAlafu nilichogundua kuwa mke ni wakat wowote the way utavojiweka huwez kukosa mwanaume wa kukuoa
Ila Kuna mambo ukiwa nayo hata km una miaka 17 vijana wanakupita tu š š
Alikula tunda macho yakafunguliwaššAisee hii ilimkuta uncle Wangu aliepata mke na kuoa akiwa na 36
Sema sasa Ana watoto 2 alioa singo maza
ephen wanguu Nakupendaa Sanaa lazizi wanguu nakupendaa pasipo kutumia wala kukoma nakupendaa mpaka Sanaa ephen.niseme nini ephen wanguu upate kunielewa.au nibebe na kuhamisha mti wa maparachichi uliozaa na kuja kuuotesha hapo nyumbani ndio ujuwe namna navyokupendaa ephen wanguu
Hadi weweš¤£š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£KATAA NDOA
kumbe bado waniogopaSijakosa wa kuniweka ndani! Endelea kuniita dada
Hili chama linaokoa mengi mkuu, vijana hawataki kusikia gesi imeisha ghafla.Hakika so upo chama la dronedrake ? Unajipandisha mlima Kilimanjaro bila wasaidizi
Hili chama linaokoa mengi mkuu, vijana hawataki kusikia gesi imeisha ghafla.
duhMdogo wangu soma kwanza!
Hata wakizalia nyumbani wewe ni furaha kama mzaziMambo mawili hapo nayaona juu ya fikra za wazazi kuhusu mtoto wa kike:
1. Kwamba, wazazi wengine huamini mtoto wa kike ni wa kuolewa tu, haijalishi kasoma saana au kiasi chake. Hii hupelekea kila hatua ya masomo anayohitimu kuonekana hatua inayofuata ni kuolewa.
2. Kwamba, baadhi ya wazazi huona mtoto wa kike kama kitega uchumi; kwamba kuolewa kwake kutachangia pato katika familia.
3. Kwamba, pengine ni aibu mtoto wa kike akizalia nyumbani.
Nashukuru Mungu, nina mabinti wawili, wamehitimu chuo, bado nawahudumia kimaisha na ninawatafutia kazi. Kamwe sijawahi na sitawauliza ni lini wataolewa. Nyumba nawalipia na 'pocket money' nawapa kila mwezi. Faraja yangu ni kuwaona wakifanikiwa kuanza maisha kivyao na kujitegemea.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hapana