Wazazi mmekuwaje?

Wazazi mmekuwaje?

Ka
Sasa miaka miwili ndîo utishie Watu Maisha Hapa😃😃

Wenzako tunakaa Miaka mpaka mitano.
Lakini Moto tunauona

Yàani NI kama Kuzuia mawazo kwèñye ubongo


Mimi nataka nikutane na mwanamke 2030 kuanzia sasa ntakuwa na 33 yrs

Hii challenge nataka niitumie nione matokeo yake.
 
Fanyeni mambo yote Ila msizalie nyumbani na msiwe singo maza.

Kama mwanaume umempata hataki kukuoa tumia njia zote za kimedani za Asili na kisasa hadi akuoe.

Kuzalia nyumbani inasababisha hao watoto wenu wanaotuita uncle tuwe tubawatuma dukani wakatunulilie sigara na muda mwingine wanatumwa wakanunue bangi.


Kuzalia nyumbani na kuwa singo maza ni hatari
 
Back
Top Bottom