Wazazi mmekuwaje?

Mama yako hajakosea baby sis, kikubwa atambue kuwa mke ana majukumu yake na akuandae kuwa mke bora, na walau uwe na kipato hata kama ni kidogo.

Kwa comments section; mkiendelea kuhamasishana kuoa, hamasishaneni na kuziishi hizo ndoa.

Kuna watu hawatakiwi kuwa mume/mke wa mtu yoyote duniani, ni aheri mkafahamu fungu lenu mapema kuliko kupeleka matatizo kwa watu.
 
Unaakili kumbe nilidhani ni waleee umeongea point na huyu dada kaongea point kazi kwanza ndoa inafuatab
 
Una hoja ila Standard zako unaziweka juu sana, the way ume portray hio kazi ya mshawa 600,000 TZS kama kamshahara kadogo wakati ndio dream salary kwa Ground ya sasa. Yes gharama za maisha zipo juu ila tunaangalia uharisia kuna mtu ni Mlinzi anapokea 200,000 TZS Ana maisha kama hayo.

After all maisha ya sasa hakuna kitu kinaitwa kujipanga kabisa, yaani hakuna point ya hapa nimejipanga unabeti. Unaweza fifa 40 vilevile huna mbele wala nyuma.
 
Vicious cycle of poverty
 
πŸ˜…πŸ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…