Wazazi mmekuwaje?

Wazazi mmekuwaje?

Naona unataka vita na mimi.umechagua vita ambayo utajutia kupigana.kwa ephen unachezea moto kwa ulimi wako au kuonja sumu kwa ulimi. Hapo usiguse hata kidogo maana ndio moyo wangu ulipo.utapigwa kutoka kila pande ya mwili wako na usijuwe umepigwaje.
Mboni umekuja na speed ya rocket imekuaje umeporwa tonge mdomoni? Wewe Cheka Cheka nae Sisi tumweke ndani tumtie kibendi ukiona mpaka anaelezea hivi ujue anawaeleza Wanaume tuliopo Jf huku Jimbo lipo wazi huyu Jamaa asiwabanie nyie km mna Mahari njooni muoe Mimi nipo sijaolewa Wewe picha huoni hata maandishi hujui kuyasoma?
 
Back
Top Bottom