Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Wachaga huwa hatuko ivoAnayenipenda anitafsirie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wachaga huwa hatuko ivoAnayenipenda anitafsirie
Mboni umekuja na speed ya rocket imekuaje umeporwa tonge mdomoni? Wewe Cheka Cheka nae Sisi tumweke ndani tumtie kibendi ukiona mpaka anaelezea hivi ujue anawaeleza Wanaume tuliopo Jf huku Jimbo lipo wazi huyu Jamaa asiwabanie nyie km mna Mahari njooni muoe Mimi nipo sijaolewa Wewe picha huoni hata maandishi hujui kuyasoma?Naona unataka vita na mimi.umechagua vita ambayo utajutia kupigana.kwa ephen unachezea moto kwa ulimi wako au kuonja sumu kwa ulimi. Hapo usiguse hata kidogo maana ndio moyo wangu ulipo.utapigwa kutoka kila pande ya mwili wako na usijuwe umepigwaje.
Handu hose uchakanyi.Iyo nyi mchaka oo kwi?
Kwani huyu kijana nayemsikia sikia humu ni defending mechanism?Muoaji hayupo
ameuliza kuwa mimi ni handsome husband material wa wapi kinamuambia mimi ni mchaga tu wa kanyi "nyumbani"Basi kaeni pembeni
Kapsa meku, kuore' muondu fo.Handu hose uchakanyi.
Huyo ni mlima viazi tu mshamba mmoja tu. Atuachie manzi wetu aje kaskaziki kwa min -me au mleu wake mimiKwani huyu kijana nayemsikia sikia humu ni defending mechanism?
Huyu kijana hakufai sasa.Anawaza siasa muda wote😂
Aika mleu. Ngikundi mualika mndu mkachu numkundi naio?Kapsa meku, kuore' muondu fo.
Toka lini wachaga wakawa warefu!?Ameshaona wapi wachaga ni ma andunje?? Huyu binti nenda nae taratibu tuu...ataelewa...😃😃😃
Tayari ameshakuathiri na wewe😂Acha nimsikilizie miaka 5 tena
Hao ni wapareKwahiyo wachaga pure ni maandunje
Usharogwa mdogo wanguKidogo sio sana