Wazazi mmekuwaje?

Wazazi mmekuwaje?

Wote wanaume au wanawake hukutana na swali hilo wakishafikia umri wa kuwa kwenye ndoa
 
Una hoja ila Standard zako unaziweka juu sana, the way ume portray hio kazi ya mshawa 600,000 TZS kama kamshahara kadogo wakati ndio dream salary kwa Ground ya sasa. Yes gharama za maisha zipo juu ila tunaangalia uharisia kuna mtu ni Mlinzi anapokea 200,000 TZS Ana maisha kama hayo.

After all maisha ya sasa hakuna kitu kinaitwa kujipanga kabisa, yaani hakuna point ya hapa nimejipanga unabeti. Unaweza fifa 40 vilevile huna mbele wala nyuma.
600k ni hela nyingi kwa mtu ambaye hajasoma, akianza kujikusanya akiwa na 20 yrs anafanya savings mpaka anafika 25 au 26 anakuwa na assets au amewekeza kiasi.l hivyo hiyo 600k kwa mwezi anaendelea.
600k kwa mwezi hiyo ni hela ndogo kwa college graduate kuitumia kuoa na miaka 25/26. Yaani huna hata mwaka ukiikusanya hiyo, tiyari nyege zinakushinda nguvu.

Unless uniambie maisha yake malengo yake ni kupanga nyumba na akifanikiwa sana kununua IST akiwa na miaka 50. Ila hutokutana na young passionate graduate ambaye ni entrepreneur ana duka au ni electrician akawaza kuoa na income hiyo. Badala uwaze kununua workstation kubwa, uongeze mashine, upate muda wa training zaidi ukue zaidi kwenye sector. Wewe unakimbilia kununua uji wa mtoto, mara mke amenuna, ukiumwa wiki tu unakopa kila kona, mara mama mkwe ni mgomjwa atakuja kufikia kwako ili awe anaenda check up Muhimbili.
 
Back
Top Bottom