The useful idiot
JF-Expert Member
- Jul 14, 2024
- 1,019
- 2,670
Haha Sawa dearAcha ukorofi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haha Sawa dearAcha ukorofi
Ahhh sasa hapo mbona hakuna matumaini Ila ongea nae vizuri maana hakuna mkate mgumu mbele ya chai 😁😁😁Tatizo min me ni Timu kataa ndoa😂
Huyu hapa atakufaaLucas sio muoaji, anataka kunichezea usichana wangu
Mnakeraaa unaweza jiachia kumbe mtu anakuona zuzuHahahahaha, acha masihara basi, hutafuti hata mmoja kwa nn sasa,nini tatizo
Kwanini mimi ndugu yangu😁😁
600k ni hela nyingi kwa mtu ambaye hajasoma, akianza kujikusanya akiwa na 20 yrs anafanya savings mpaka anafika 25 au 26 anakuwa na assets au amewekeza kiasi.l hivyo hiyo 600k kwa mwezi anaendelea.Una hoja ila Standard zako unaziweka juu sana, the way ume portray hio kazi ya mshawa 600,000 TZS kama kamshahara kadogo wakati ndio dream salary kwa Ground ya sasa. Yes gharama za maisha zipo juu ila tunaangalia uharisia kuna mtu ni Mlinzi anapokea 200,000 TZS Ana maisha kama hayo.
After all maisha ya sasa hakuna kitu kinaitwa kujipanga kabisa, yaani hakuna point ya hapa nimejipanga unabeti. Unaweza fifa 40 vilevile huna mbele wala nyuma.
Nakundi wachaka wai.Ngamashika...
Nkii nakundi?
Wana urefu wa wastani...andunje wako milimani huko..Toka lini wachaga wakawa warefu!?
Utakua unazungumzia wameru au Wamasai.
Ndio kwasababu ameuza bandari hayo yote yasingetokeaTumlaumu mama Samia😂
Shangaa...Watu tupo ndanii ya koo zao hatujaona huo ufupi wa kuitwa andunje....
Wachaga wafupi kwa asilimia kubwa tena hasa wanawake kama majaba ya maji wakizidi urefu ni mita 5 kamili.Wana urefu wa wastani...andunje wako milimani huko..
Bwana ww mimi naongelea wanaume hapa hao wanawake hawanihusu...unaonekana unapenda sana kubishana broo...unaitaje wenzako majaba..Wachaga wafupi kwa asilimia kubwa tena hasa wanawake kama majaba ya maji wakizidi urefu ni mita 5 kamili.