π π π π π π π π π π nimecheka sana ila wazazi daahHata mimi ningekuwa mzazi wako nakuolesha kwa makusudi (lazima).
Kwanza, wewe ni bonge. Unakula sana. Unakunywa maji mengi. Nguo zako ni kubwa, zinatumia sabuni na maji mengi. Na bahati mbaya sana mabonge ni wavivu.
Bajeti ya kukuhudumia ni kubwa sana. Olewa ukajambe kwa mumeo.
Ni bonge, bonge kweli.π π π π π π π π π π nimecheka sana ila wazazi daah
so ni bonge really???
Sio umbea ni sababu nimeshiriki michango mingi ya harusi, pia huwa ni mtoaji kwa chochote kidogo. So ni rahisi mtu akiwa na shida kunitafuta hata kama namba yangu hana, au rafiki yake kunitafuta.na wewe mbea
yaani umechunguza wee daah umetisha π π π π
Duh hivyo tena ? Utaitwaje Mchumba humu na Maroboti????Wewe na aliyeleta ushauri Manyanza mnawaza sawa tofauti ni kwamba wewe nimechagua kukujibu yeye nikamdharau
Mbwembwe zote mwisho wa siku unauliza kama jimbo liko wazi!
Siwezi kujibu maswali mepesi
Bonge tulia basi.Uliniona wapi?π€*
π π π π π π sawa bhana
mbona ka unafoka boss π π π π πHuna adabu.
Ndiyo maana huolewi..
Sasa miaka 37 ni yakuwahi ndoa?π€ Bado nina miaka 3 free, nikifunga 40 ndio nitatafuta mumeUmesoma Uchumi kidogo?
Kuna kitu wanakiita depreciation. Yaani kushuka thamani kwa kitu kutokana na muda pamoja na matumizi.
Sasa, wewe unadepreciate tu tangu ulipotimu 26. Tayari thamani yako inazidi kutetereka kila leo. Ukifunga 30 hakuna kijana atakutaka.
Utaanza kutumendea sisi wazee. Nasi tumeshtuka, hatukutaki.
Una mwaka wa kuamua. Shauri yako.
Baki na 29 yakoSasa miaka 37 ni yakuwahi ndoa?π€ Bado nina miaka 3 free, nikifunga 40 ndio nitatafuta mume
Acha kuni-quote. Unayemtegemea akustiri, min -me yupo hapa anaona unavyopapatikia wazee.Usinifokeek
hahahahah hio anaeza asieleweUmesoma Uchumi kidogo?
Kuna kitu wanakiita depreciation. Yaani kushuka thamani kwa kitu kutokana na muda pamoja na matumizi.
Sasa, wewe unadepreciate tu tangu ulipotimu 26. Tayari thamani yako inazidi kutetereka kila leo. Ukifunga 30 hakuna kijana atakutaka.
Utaanza kutumendea sisi wazee. Nasi tumeshtuka, hatukutaki.
Una mwaka wa kuamua. Shauri yako.
Hiki ndicho mimi ninakiwaza! Lakini mzee wa hovyo Dr Restart anaforce niolewe sasa hivi hovyoo kabisakwa karne ya sasa nafikiri a girl anatakiwa apate her life kwanza/ aweze kulipa bills ya aina yeyote ile i mean awe na financial freedom
Maidha ya ndoa ni zaidi ya ndoa yenyewe kukosa hata mia ya kumnunulia mwanao hata bigbom au kangua kazuri umekaona ni huzuni sana