Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuache utani km Wewe ni mzuri km Mama yako anavyosema msikilize Mama yako njoo nikuoe achana na Lucas Mwashambwa😂Huyo amekosea namba, lucas yupo kwenye kikao cha chama
Maisha bado hayajakufurahisha.Mimi ni jukumu lao! Wao ndio walinileta duniani
Upo sahihiMimi ni jukumu lao! Wao ndio walinileta duniani
Olewa na Wewe ukaanzishe kwako hicho ndicho wao wanachokitaka usilale tu nyumbani unapishana na Wanaume kila siku humu kwenye korido za JF kumbe bado hujakatwa utepeMimi ni jukumu lao! Wao ndio walinileta duniani
Astaghafirullah 😁🤣Olewa na Wewe ukaanzishe kwako hicho ndicho wao wanachokitaka usilale tu nyumbani unapishana na Wanaume kila siku humu kwenye korido za JF kumbe bado hujakatwa utepe
Wazazi wapo mbele ya mda, hasa kwa watoto wao. Bahati mbaya madogo wanaona wanajua zaidi, ila mda unawapa somo sio poa.We unafikiri mama yako hasikii simu zako ukiwa unaongea na mpenz wako.
Anakusikia sanaa.Anajua yupo.
Wa mama wana akili sanaa.
Unaongea kwa uchungu mwenyewe!😂Wazazi wapo mbele ya mda, hasa kwa watoto wao. Bahati mbaya madogo wanaona wanajua zaidi, ila mda unawapa somo sio poa.
Imagine binti yupo home, hana kazi ila anaishi poa tu, kuna sponsors wana-cover daily expenses. Hakuna sponsor anayemiliki kwa.mda mrefu, anaingia huyu na kesho anaingia mwingine...end of the day binti anawekwa hovyo tu..angalau basi uwe na binti anajitunza...wengi wanajiachia tu!!
Hii ndio inamfanya yule Binti mjuaji kutimiza miaka 42 na mtaani kwake kuitwa ajuzaWazazi wapo mbele ya mda, hasa kwa watoto wao. Bahati mbaya madogo wanaona wanajua zaidi, ila mda unawapa somo sio poa.
Imagine binti yupo home, hana kazi ila anaishi poa tu, kuna sponsors wana-cover daily expenses. Hakuna sponsor anayemiliki kwa.mda mrefu, anaingia huyu na kesho anaingia mwingine...end of the day binti anawekwa hovyo tu..angalau basi uwe na binti anajitunza...wengi wanajiachia tu!!
Kwa wewe ulileta mada ili tutaniane, basi ungeweka wazi...hii sio mada ya ku~chitchat, inagusa maisha ya vijana wetu, hata kama sio wewe personally.Unaongea kwa uchungu mwenyewe!😂
Masandale kwa mama kibena,kuna watoto wengi sana wanatulilia mkuu , ndio maana kuoa inakua ngumu😁😁😁Nikikumbuka maza alinitafutia binti wa mchungaji then siku ya kuonana nae niliibuka nikiwa kitungi huwa naishia kucheka tu, uzuri kwa sasa wameshajikatia tamaa maana niliwaambia kuoa huwa ni suala ambalo hata silifikirii
kama ana ndoto za kuolewa, kuzaa.... ndo muda huuMng'ang'anie yule dogo mshamba_mwingine
OlewaMchumba yupo ndoa ndio hakunaaa😂
Kama huna D mbili lazima utoke kapa 😉Kumbe kijijini wanakugombania😂
Tajiri kaandika kwa uchungu sana 😁😂😂 atatiwa kimpira 😁😂kama ana ndoto za kuolewa, kuzaa.... ndo muda huu
kama hataki basi aseme, gen z wengi waoga waoga hawa
na akibaki nyumbani aache tamaa lasivyo kifanyio chake kitateseka atatiwa kimpira