Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
Mi nahama mtaa kidogo maisha ya dar hayana hizo kusontana ila huko miji midogo mbona utakufaHii ndio inamfanya yule Binti mjuaji kutimiza miaka 42 na mtaani kwake kuitwa ajuza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi nahama mtaa kidogo maisha ya dar hayana hizo kusontana ila huko miji midogo mbona utakufaHii ndio inamfanya yule Binti mjuaji kutimiza miaka 42 na mtaani kwake kuitwa ajuza
Ndoa Kama miogo ya kuchemsha tuMkuu! Wewe ndiye umeandika kitu kinachoendana na dunia ya sasa hivi
Kuingia kwenye ndoa huku mkiwa hamna vyanzo vya mapato vya kueleweka ni stress mara mbili yake.
Ifike hatua ndoa isiwe overrated!
Unaingia kwenye ndoa mnahitaji watoto wakati kipato chenyewe kuhudumia watu wawili ni mbinde!
Najitafuta, nikijipata nitageukia ndoa, sasa hivi waniache kwanza na matokeo yoyote sitomlaumu yeyote msalaba wangu nitaubeba mimi mwenyewe..!![]()
Kaombe radhiiNilijua utakuja mzee wa ndale 😁😁😁
Nimekaa miji hatari sana Duniani now nipo kigamboni dada yangu nimekaa msumbiji Angola congo hizo ni sehemu unashuhudia vitu vya ajabu mnoMi nahama mtaa kidogo maisha ya dar hayana hizo kusontana ila huko miji midogo mbona utakufa
Nmekosea boss sikuwa na reply kwako😂🙏Why chuwa mangi?😁😁😁
Enhee tusimulie ulishuhudia vitu gani?Nimekaa miji hatari sana Duniani now nipo kigamboni dada yangu nimekaa msumbiji Angola congo hizo ni sehemu unashuhudia vitu vya ajabu mno
Kwa Nini ukosee mkuu😁🤣🤣Nmekosea boss sikuwa na reply kwako😂🙏
Watoto wa kike kumiliki silaha mtu kukatwa kichwa hadharani watoto wadogo kutolewa kafara ,chuma ulete ,watu kupaa na ungo usikuEnhee tusimulie ulishuhudia vitu gani?
Mkuu usitake nipigwe ban mm nishafunga mjadala ,nilikosea ephen kanipagawisha Hadi msg za kawaida nje nachart JF😂😂Kwa Nini ukosee mkuu😁🤣🤣
Nadhani sio chungu sana kwa mabinti kama kwa wazazi. Binti yupo 28yrs kazi ndio hizi, mitaji nehi...wanaume ndio kina min -me hawataki kuoa ila kuweka na kuzalisha tu. Mzazi anaumia sana...Huyu bado anajishebedua, hajui hii mada ni chungu kwa mabinti wengi tu huku mtaani,
Hii iko nje ya mada lakiniWatoto wa kike kumiliki silaha mtu kukatwa kichwa hadharani watoto wadogo kutolewa kafara ,chuma ulete ,watu kupaa na ungo usiku
Duniani Kuna vitu vya ajabu sanaHii iko nje ya mada lakini
Baba anaongea ukweliNdio maana navyosoma comments zenu wazazi nacheka jinsi mlivyopanic mnaongea kwa hisia😂😂
Kuolewa mimi bado! Tuangalie miaka 5 ijayo😂Mkuu ephen_ ni Jambo jema kwa wazazi kufanya hivyo niko hapa kukuomba tena ikiwa bado haujaolewa naomba nikuoe binti maana sidhani Kama mkuu Lucas Mwashambwa atakuoa na hizi pilika zake za uchaguzi 2025 namuona akifia majukwaani alafu hasahau ndoa kabisa
Binti labda awe 23-25 hapo anaweza asiumie zaidi ya hapo ni maumivu sana kuliko na wazazi,Nadhani sio chungu sana kwa mabinti kama kwa wazazi. Binti yupo 28yrs kazi ndio hizi, mitaji nehi...wanaume ndio kina min -me hawataki kuoa ila kuweka na kuzalisha tu. Mzazi anaumia sana...
Hahahahaha,Kuolewa mimi bado! Tuangalie miaka 5 ijayo😂
Endelea kucheka mtoto mzuri.Ndio maana navyosoma comments zenu wazazi nacheka jinsi mlivyopanic mnaongea kwa hisia😂😂