Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Wewe ni mzazi tuanzie hapo? Hakuna mzazi anayependa mtoto wake asisogee! Better die trying than regret for doing nothing! Simaanishi kuua! Namaanisha kujitahidi kadri unavyoweza kumsaidia mwanao afanikiwe! Naomba tumtangulize Mungu kwa kila jambo kwanza!Mtoto ni msichana unamuadhibu kama mvulana mpaka 16 na anapata hedhi hii ni aibu.
Tayari ni msichana mtu mzima zamani amekwisha olewa. Ndio maana wengi wanatoroka majumbani kisa wazazi akili zenu mnazijua wenyewe, mtu akianza kuvunja ungo ni wa kumkanya tu hata mvulana haya mna kitu mnakutafuta akija kufa mtu kisa ujinga wa mafimbo mtajijua wenyewe.
Ndo kuchapa fimbo mtoto aliye balehe?? Hapanaaa!!!Wewe ni mzazi tuanzie hapo? Hakuna mzazi anayependa mtoto wake asisogee! Better die trying than regret for doing nothing! Simaanishi kuua! Namaanisha kujitahidi kadri unavyoweza kumsaidia mwanao afanikiwe! Naomba tumtangulize Mungu kwa kila jambo kwanza!
kulea mtoto wa kike, hasa akivunja ungo/pale awali anapobalehe, ni kazi ngumu sana. na ni hatari, ukizembea utavuna mabua, aidha ataambukizwa ngoma umpoteze kabisa au atapata mimba, au mabonjwa mengine ya zinaa au atashindikana hata shule hata soma. binafsi niliamua, na niliwaeleza mabinti zangu kwamba, kuchapwa mtachapwa tena sana na sihitaji mnipende kama mna tabia mbaya, mtakuja kunishukuru mkiwa watu wazima baada ya kugundua nilichokuwa nakifanya kwenu. sio kwamba siwapendi, ninakaa nao, ninacheza nao, na ninawaeleza ukweli madhara ya ngono za utotoni, umuhimu wa shule kwao na wakikosea nahakikisha wamejua kuwa wamekosea na wamejutia. imefika wakati wanalindana wao kwa wao, mmoja akifanya ujinga mwezake anakuja kumsemelea kwangu. Mungu anatakiwa kuhusika.Mtoto ni msichana unamuadhibu kama mvulana mpaka 16 na anapata hedhi hii ni aibu.
Tayari ni msichana mtu mzima zamani amekwisha olewa. Ndio maana wengi wanatoroka majumbani kisa wazazi akili zenu mnazijua wenyewe, mtu akianza kuvunja ungo ni wa kumkanya tu hata mvulana haya mna kitu mnakutafuta akija kufa mtu kisa ujinga wa mafimbo mtajijua wenyewe.
Meseji imekosewa/imejituma kusikoWaambie watayarishane kwa muda kabla ya kipachikana ayo mavitu, ikiwezekana watumie trick ya kufanyiana massage, wagusane kila idara, mafuta ya massage mbona sio bei, alafu atakuja kukwambia. Apo Mwanaume inabid amfanyie zaid mwanamke ad afike hata kabla. Kama awezi njo inbox nikupe video za massage, kwamba anashindwa kutafuta ata porn video za massage na zimezagaa kila mahali.
Are you okey ?[emoji848]Waambie watayarishane kwa muda kabla ya kipachikana ayo mavitu, ikiwezekana watumie trick ya kufanyiana massage, wagusane kila idara, mafuta ya massage mbona sio bei, alafu atakuja kukwambia. Apo Mwanaume inabid amfanyie zaid mwanamke ad afike hata kabla. Kama awezi njo inbox nikupe video za massage, kwamba anashindwa kutafuta ata porn video za massage na zimezagaa kila mahali.
Pole sana.Mtoto ni msichana unamuadhibu kama mvulana mpaka 16 na anapata hedhi hii ni aibu.
Tayari ni msichana mtu mzima zamani amekwisha olewa. Ndio maana wengi wanatoroka majumbani kisa wazazi akili zenu mnazijua wenyewe, mtu akianza kuvunja ungo ni wa kumkanya tu hata mvulana haya mna kitu mnakutafuta akija kufa mtu kisa ujinga wa mafimbo mtajijua wenyewe.
[emoji419][emoji419][emoji419][emoji375]Inategemea na tabia zake,
Sasa tabia zake alianza akiwa wapi si kwa wazazi sasa kwanini wao hawakumkanya walipoona hana tabia nzuri kua njia za kuishi na watoto bila kumpiga kila wakati mwanadada wa 16 years old unamtandika kama ana miwili jamani??Inategemea na tabia zake,