Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
- Thread starter
-
- #21
Uongo mnawazima sana kama nini ni watu wazima ongeeni nao taratibuMalezi ya watoto wakizazi hiki tatizo sana wanalelewa kama keki ukimgusa kidogo serikali hiyo ukimfokea mara katoroka ndo maana haya sikii vitoto vya sasa hata uwafanyie nin havina heshima malezi ya kizungu sana
hawa watoto wamwendokasi wa kiafrika bila fimbo hamtaenda sawa,mtoto kibongo ukimdekeza unakuzalilisha ndo uje umgombeze kibahati mbaya kesho kajinyonga malezi ya sasa hivi niyaonyo sanaUongo mnawazima sana kama nini ni watu wazima ongeeni nao taratibu
Haki sawaMtoto ni msichana unamuadhibu kama mvulana mpaka 16 na anapata hedhi hii ni aibu.
Tayari ni msichana mtu mzima zamani amekwisha olewa. Ndio maana wengi wanatoroka majumbani kisa wazazi akili zenu mnazijua wenyewe, mtu akianza kuvunja ungo ni wa kumkanya tu hata mvulana haya mna kitu mnakutafuta akija kufa mtu kisa ujinga wa mafimbo mtajijua wenyewe.
Akiolewa akakosa ushirikiano utamwoa weweHaki sawa
unapatikana wapi mremboAkiolewa akakosa ushirikiano utamwoa wewe
Fimbo mwisho miaka 7 kwa msichana maana anaanza kuwa mama .hawa watoto wamwendokasi wa kiafrika bila fimbo hamtaenda sawa,mtoto kibongo ukimdekeza unakuzalilisha ndo uje umgombeze kibahati mbaya kesho kajinyonga malezi ya sasa hivi niyaonyo sana
Kwaniniunapatikana wapi mrembo
Watoto wasasa unahitaji umakini mkubwa sana kwenye malezi,tafuta kwanza utuletee mrejeshoFimbo mwisho miaka 7 kwa msichana maana anaanza kuwa mama .
Nikija kuwa na msichana wangu fimbo kidogo , akili nyingi akishajua kuandika tu tunaingia mkataba .
Ambao akivunja sheria anaadhibiwa kisaikolojia labda alikuwa ni free kula kila kitu nakufanya kila kitu ila kwa maana amekosea anakaa ndani tu hadi ajutie kuwa amekosea na hatorudia simu hashiki wala nini
nimeuliza tuu mremboKwamhonini
Basi sawaSasa tabia zake alianza akiwa wapi si kwa wazazi sasa kwanini wao hawakumkanya walipoona hana tabia nzuri kua njia za kuishi na watoto bila kumpiga kila wakati mwanadada wa 16 years old unamtandika kama ana miwili jamani??
Hata hao wazungu hiyo psychology kuna muda inawatokea puani mtoto anajibizana na mzazi utasema ni shosti akePsychology and canceling ni Kwa ajili ya wazungu tu
Hawa wenye nywele za kipili pili ni kuwatembezea kichapo tu
Mtot anakuwa under control ya mzazi mpaka atakpo amua kwenda kujitegemea hapo ndio atakuwa free
Yaan unanirudia saa7 ucku nkufungulie mlango kizembe tu bila kukuzabua makofi
Labda sio baba mm nilie kukojoa[emoji16][emoji16][emoji16]
Huyo ni msimbeWewe ni mzazi tuanzie hapo? Hakuna mzazi anayependa mtoto wake asisogee! Better die trying than regret for doing nothing! Simaanishi kuua! Namaanisha kujitahidi kadri unavyoweza kumsaidia mwanao afanikiwe! Naomba tumtangulize Mungu kwa kila jambo kwanza!
Baleee kitu gani wewe! Kwanza una umri gani? Una watoto walioanza kujitegemea? Nyuzi nyingine achia watu wazimaNdo kuchapa fimbo mtoto aliye balehe?? Hapanaaa!!!
Canceling>>CounsellingPsychology and canceling ni Kwa ajili ya wazungu tu
Hawa wenye nywele za kipili pili ni kuwatembezea kichapo tu
Mtot anakuwa under control ya mzazi mpaka atakpo amua kwenda kujitegemea hapo ndio atakuwa free
Yaan unanirudia saa7 ucku nkufungulie mlango kizembe tu bila kukuzabua makofi
Labda sio baba mm nilie kukojoa[emoji16][emoji16][emoji16]
Ujinga tu hao unaowaiga kuelekeza ndio wanaoleta tabia za ovyo kwenye hii Dunia..ulimbukeni tuu unakusumbuaHuwa naamini katika kumuelekeza na kumfundisha mtu kuliko kutumia nguvu. Sisi wazazi wa kiafrika mara nyingi hatujui kuwa marafiki na watoto wetu. Mzazi ukitengeneza urafiki na mwanao ni rahisi mtoto kukuelewa maana anakuwa mzalendo kwako kihisia na hata inapelekea yeye mwenyewe kujiendesha inavyotakiwa. Kuwa mkali mara chache pale anapozidisha na umfundishe sio ajifundishe.