Wazazi mmezidi kuwaadhibu watoto wenu wa kike

Mpka ID yako ni Chapwa kweli wanachapika
 
Wazazi wote wangekua kama wewe mkuu ingekua raha sana...hongera mkuu👏👏
 
Usipo mchapa viboko binti yako akae kwenye laini kwa kisingizio cha miaka 16 amekua na sijui anavuja nini au nini , sisi vijana wa hovyo tutamuadhibu kwa kumpima oil na kumpiga pipe tuu mpaka akili imkae sawa na asipo kaa sawa tunamgeuza single mother chapu.


Sasa mzazi uchaguzi ni wako umwadhibu mwenyewe au sisi vijana wa hovyo tukusaidie kumuadhibu
 
Hatupigi mtoto asiyestahili kupigwa,
Mtoto wangu nimsikivu sioni sababu ya kumpiga kabisa ila
angekuwa kichwa kigumu kama DP World inabidi nipige tu.
 
inategemea na mtoto mwenyewe, wengine hizi barehe za kwanza zinawafanya viburi na kujiona wao ndiyo wao, dawa ni fimbo tu dadeq.

Yaani ametoka kaenda kuzururaa anarudi home saa 3 usiku, unamuuliza amenyamaza hapo dawa ni fimbo
 
...si mnasemaga haki sawa kwa wote... Inakuwaje kwenye viboko tunabaguana tena... Bana mimi amna... Sipingi lakini na nyie muache kujifananisha na wanaume... Unajua twanamke tunajionaga sana kwenye tumambo twa twenyewe...
 
inategemea na mtoto mwenyewe, wengine hizi barehe za kwanza zinawafanya viburi na kujiona wao ndiyo wao, dawa ni fimbo tu dadeq.

Yaani ametoka kaenda kuzururaa anarudi home saa 3 usiku, unamuuliza amenyamaza hapo dawa ni fimbo
ata ka biblia kanasisitiza tusiwanyime wanetu tuvipigo... Watoto jeuri sana... Lakn kwel inategemea na mtoto mwenyew...
 
...unakuta unawachapa wote wamekosea... Af et umchape wa kiume then wa kike umwache... Unafkir apo unatafta nin kama so kutengeneza matabaka mnavosemaga... HAKI SAWA KWA WOTE!
 
Mkanye muwadhibu sio lazima fimbo mgomo tu atabadilika mwambie kama umekuwa basi jitunze . Mbona mie baba yangu alikuwa anazira kabisa wala hakupi mahitaji ya shule wala nini hadi umwambie hutofanya ulilomfanyia . Unakoma mbona unamuomba msahama kabisa baada yawenzako wanaenda shule wewe upo unang'aa machoo
 
Nimekumbuka zamani mama alikua anatuambia atatupiga hata kama tumeolewa tukivurunda mambo. Dah sa sijui alikua anamaanisha kweli.
Kwenye malezi wazazi tunatakiwa kuwa marafiki kwa watoto wetu ukali kiasi pale inapobidi. Lakini sio ukali wa kumfanya mtoto akuogope.
Namshukuru Mungu sijafikia hata nusu ya ukali alokua nao mamangu. Wanangu wangekoma.
 
mimi fimbo atapigwa tu, na sio kwamba nitasusa nisimhudumie, atahudumiwa, shule ataenda apende asipende, na ujinga ataacha kwa lazima. mtu yeyote anayeishi kwangu anaweza kuchapwa isipokuwa mke wangu. labda kama haishi kwenywe nyumba yangu. wangelijua tunavyoteseka hadi tunahatarisha maisha kwa ajili yao halafu walete ujinga, mbona panakuwa hapatoshi? unamchapa fimbo, unamkalisha hapo unamsema na unahitaji akujibu maswali yote utakayomuuliza kwa lazima tena, aeleze madhara ya yale anayoyafanya hadi aelewe, mkimaliza unamwambia asirudie na umemkanya kwa faida yake mwenyewe. toa mifano ya watoto wa wenzako ambao wana tabia nzuri na ambao wamefanikiwa kimasomo n.k, mwambie awaangalie, tabia njema imewafikisha pale. mfanye aone wivu na aone mtu yeyote atakayemshawishi ujinga anataka kumkosesha future. although kwangu mimi wakimaliza tu chuo degree ya kwanza, ruksa kuolewa.
 
Mpka ID yako ni Chapwa kweli wanachapika
chapwa ni eneo la origin yangu, Tunduma kuna eneo linaitwa Chapwa. kwahiyo usihofu na jina. vilevile, niko vizuri kwa mkono, wakazi wengi wa mpakani na zambia zamani kulikuwa na dojo nyingi za kong fu na shotokan karate. kwenye izo mambo niko vizuri na mkanda wangu nikikutajia hata utastuka sana. ajabu yake pamoja na kwamba ni professional fighter (martial artist) sijawahi kupigana zaidi ya cumite. nakumbuka siku moja nilikuwa napigana kwenye comite, nilimtandika jamaa mmoja tena alikuwa senior kwangu hadi nakoz za mkono zilivimba, nilijua nimeua.
 
Simchapi mtoto wangu wakike ni umri tu 14 ni mwanamama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…